Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Leo nauliza swali fupi tu
CCM ni kichwa ngumu...au ni jiko la kupikia fitina?
Tangu mwanzo kabisa, kelele hizi za Bandari zetu na wawekezaji toka Emirate yaani DPW , tumekuwa tukikataa ubovu wa mkataba na siyo kumkataa mwekezaji, kwa nini ccm hamuelewi???
Matokeo yake sasa, CCM wamekuwa wakigeuza maoni ya wananchi kwa tafsiri za kifitina na majungu ili kuwatisha
Kama afavyo mtu na maisha mengine kuendelea, vivyo hivyo na uongozi hukoma!
Nchi hii ni yetu sote, likija baya au zuri, tunaliishi sote bila kujali itikadi zetu
Acheni fitina na majungu hasa mliomo humu Jf,
CCM ni kichwa ngumu...au ni jiko la kupikia fitina?
Tangu mwanzo kabisa, kelele hizi za Bandari zetu na wawekezaji toka Emirate yaani DPW , tumekuwa tukikataa ubovu wa mkataba na siyo kumkataa mwekezaji, kwa nini ccm hamuelewi???
Matokeo yake sasa, CCM wamekuwa wakigeuza maoni ya wananchi kwa tafsiri za kifitina na majungu ili kuwatisha
Kama afavyo mtu na maisha mengine kuendelea, vivyo hivyo na uongozi hukoma!
Nchi hii ni yetu sote, likija baya au zuri, tunaliishi sote bila kujali itikadi zetu
Acheni fitina na majungu hasa mliomo humu Jf,