Freetown
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 882
- 78
Jibu mbona ni rahisi sana,CCM ni Nambari One Katika UFISADI.
101% right
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu mbona ni rahisi sana,CCM ni Nambari One Katika UFISADI.
Chama cha kwanza kusajiliwa baada ya mfumo wa vyama vingi.
Kwa Muda mrefu nimekuwa nikisikia mbiu hii kwamba ''CCM NI NAMBARI ONE''.
Yaani CCM NI NAMBA MOJA.
Baada ya kufikiri sana, nimegundua kuwa sijui maana ya SLOGAN hii.
Naamini hapa jamvini huenda mwaweza kunijulisha kuwa ,
CCM NI NAMBARI ONE katika nini hasa?
Au ni msemo tu wana JF?
Ulikuwa hujui ni mambari one kwa UFISADI