CCM ni zaidi ya chama, Hayati Magufuli na sasa Rais Samia tunawaonea tu

CCM ni zaidi ya chama, Hayati Magufuli na sasa Rais Samia tunawaonea tu

Jamii ndiyo inaweza kuitoa CCM siyo chama cha siasa, ni kweli mimi naupinga kwa dhati udhalimu.

Mimi kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia kuhusu, changamoto, (uncertainty), majanga na binadamu husababisha changamoto.

Binadamu huchangia kwa asilimia kubwa zaidi, binadamu hujisabanishia Changamoto kwa uzembe uvivu ujinga na ushamba anaweza kusabishiwa na mtu mwingine kwa makusudi ama kwa kutokujua,

Jamii zetu za Afrika, (Tanzania), tumeandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanza kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukivihoji utaambiwa kama umekua uondoke, hii tabia ya kuto toa majibu yaliyo sahihi mtu akihojiwa, imebebwa na jamii kwenye ngazi zote za maisha ya mwanadamu.

The assimilation of the aforementioned character, resulted to ostracism and human herding, (unyumbu), human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering, working towards group objectives and hypocrite, well defined as manipulatio
Uko sahihi kabisa
 
Japokuwa bado sijajua bayana hiyo kampeni ya Samia Must Go itafanyikaje, lakini Nina uhakika kabisa kwamba hata kama Rais Samia ataamua kuachia ngazi leo hii bado vitendo viovu vya utekaji Watu, utesaji na Mauaji vitaendelea kuwepo. Kwa jinsi ninavyofahamu, kiini Cha kuwepo kwa matatizo haya siyo Samia, Bali chanzo halisi Cha kuwepo kwa matatizo haya ni kutokana na kuwepo kwa Katiba ya nchi ambayo ni mbaya sana, pamoja na Sheria zingine ambazo pia ni mbaya au Sheria kandamizi,
Hivyo basi, kitu sahihi kabisa kinachopaswa kuondoka hapa nchini Tanzania ni Katiba iliyopo pamoja na Sheria kandamizi zilizopo. Katiba iliyopo ikiondoka, na Sheria kandamizi zilizopo zikiondoka, automatically hata mamlaka ya kuteka Watu waliyonayo hao Watekaji pia yataondoka, hatimaye sasa Tanzania itakuwa ni mahali salama na pazuri pa kuishi, Wananchi wote wa nchi hii ya Tanzania tutakuwa tumejikomboa kutoka Jehamu tulipo hivi sasa na kwenda peponi katika nchi ya ahadi ya asali na maziwa.
Katiba mpya muhimu sana
 



Nadhani ni kwasababu wana hasira sana kwa maana kila binadamu ni kichaa na ukichaa humfika akikasirika sana
Kwa Jamii yetu inahitaji sana mtu ya kuwa hamasisha ambae ni wana harakati na vyama vya siasa
 
Basi wafute vyama vingi, lakini kama kuna vyama vingi wajue siku moja watatoka na hata kama sio leo wala kesho, kizazi kinazaliwa upya kinachotaka mabadiliko, hata kama wamefanya nini ila ninachojua mambo mengi yamefanyika kwa sababu ya upinzani, ukiwa madarakani na kuna vyama vingi lazima ujitahidi uonekane bora zaidi ili watu waendelee kukuamini so kama wangekuwa wenyewe wasinge fanya mambo makubwa hivyo tunataka siku moja na wengibe wafanye makubwa zaidi
 
Basi wafute vyama vingi, lakini kama kuna vyama vingi wajue siku moja watatoka na hata kama sio leo wala kesho, kizazi kinazaliwa upya kinachotaka mabadiliko, hata kama wamefanya nini ila ninachojua mambo mengi yamefanyika kwa sababu ya upinzani, ukiwa madarakani na kuna vyama vingi lazima ujitahidi uonekane bora zaidi ili watu waendelee kukuamini so kama wangekuwa wenyewe wasinge fanya mambo makubwa hivyo tunataka siku moja na wengibe wafanye makubwa zaidi
Tatizo CCM ni dubwana kubwa sana
 
Basi wafute vyama vingi, lakini kama kuna vyama vingi wajue siku moja watatoka na hata kama sio leo wala kesho, kizazi kinazaliwa upya kinachotaka mabadiliko, hata kama wamefanya nini ila ninachojua mambo mengi yamefanyika kwa sababu ya upinzani, ukiwa madarakani na kuna vyama vingi lazima ujitahidi uonekane bora zaidi ili watu waendelee kukuamini so kama wangekuwa wenyewe wasinge fanya mambo makubwa hivyo tunataka siku moja na wengibe wafanye makubwa zaidi
Uko sahihi lakini wanapambana na washika tonge ambao hawataki kuliachia tonge kwa amani, ambapo wameamua kuahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data,
Wamekuwa wanatumia propaganda ambazo kumbe unahitaji akili za ziada kuzichambua, zingine unahitaji tu akili ya kuvukia barabara mfano anayesema alienda maporini anajibuwa alienda mwenyewe porini kuchimba dawa hakutumwa
 
Basi wafute vyama vingi, lakini kama kuna vyama vingi wajue siku moja watatoka na hata kama sio leo wala kesho, kizazi kinazaliwa upya kinachotaka mabadiliko, hata kama wamefanya nini ila ninachojua mambo mengi yamefanyika kwa sababu ya upinzani, ukiwa madarakani na kuna vyama vingi lazima ujitahidi uonekane bora zaidi ili watu waendelee kukuamini so kama wangekuwa wenyewe wasinge fanya mambo makubwa hivyo tunataka siku moja na wengibe wafanye makubwa zaidi
Binafsi nadhani hizi ngumu tunazotumia Upinzani zingeelekezwa zaidi kwenye kupata katiba Mpya na Tume huru
 
Kumtoa Rais Samia madarakani na kuiacha CCM madarakani ni kazi bure.

Mambo mengi yanayoendelea ni matokeo ya mifumo iliyoweka na CCM na awamu zote haya mambo huwepo japo yanapishana kiwango

Na ili mtu abakie kwenye cheo lazima aingie kwenye mfumo .

Ni bora Upinzani kuangalia namna ya kuitoa CCM madarakani kuliko kumtoa Rais Samia .

Soma Pia: Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'


Rais ni nguzo kuu ya uovu.

Matendo ya kishetani kumwakilisha shetani mwenyewe.

Magufuli aliinyoosha CCM kisawasawa kama sio genge la majizi ndani ya CCM kuanza kuua wetu na wengine kufadhili ugaidi hakika haya mavyama yangenyooka na kuzaliwa Tanzania ya Magufuli yenye uzalendo na maendeleo makubwa sana.

Kosa lingine ni kuacha kuwashughulikia majambazi ndani ya CCM yaliyompiga Tundu Risasi.

Kudanganya wetu kubwa CCM ndio Mungu mwenye nguvu zote ni kulea ushetani kwenye ardhi hii .

CCM wamesahau kuwa umma una nguvu kubwa ndio maana hata Marekani wakati ulipofika waliachana na ubaguzi dhidi ya watu weusi.
 
Rais ni nguzo kuu ya uovu.

Matendo ya kishetani kumwakilisha shetani mwenyewe.

Magufuli aliinyoosha CCM kisawasawa kama sio genge la majizi ndani ya CCM kuanza kuua wetu na wengine kufadhili ugaidi hakika haya mavyama yangenyooka na kuzaliwa Tanzania ya Magufuli yenye uzalendo na maendeleo makubwa sana.

Kosa lingine ni kuacha kuwashughulikia majambazi ndani ya CCM yaliyompiga Tundu Risasi.

Kudanganya wetu kubwa CCM ndio Mungu mwenye nguvu zote ni kulea ushetani kwenye ardhi hii .

CCM wamesahau kuwa umma una nguvu kubwa ndio maana hata Marekani wakati ulipofika waliachana na ubaguzi dhidi ya watu weusi.
Nimekupenda bureee, ahsante kwa kunifurahisha leo
 
Rais ni nguzo kuu ya uovu.

Matendo ya kishetani kumwakilisha shetani mwenyewe.

Magufuli aliinyoosha CCM kisawasawa kama sio genge la majizi ndani ya CCM kuanza kuua wetu na wengine kufadhili ugaidi hakika haya mavyama yangenyooka na kuzaliwa Tanzania ya Magufuli yenye uzalendo na maendeleo makubwa sana.

Kosa lingine ni kuacha kuwashughulikia majambazi ndani ya CCM yaliyompiga Tundu Risasi.

Kudanganya wetu kubwa CCM ndio Mungu mwenye nguvu zote ni kulea ushetani kwenye ardhi hii .

CCM wamesahau kuwa umma una nguvu kubwa ndio maana hata Marekani wakati ulipofika waliachana na ubaguzi dhidi ya watu weusi.
Uko sahihi
 
Sasa unashindwa kujua jambo hili dogo kuwa,

Ukitaka kumhamisha kichaa, unahamisha kwanza makopo yake?
 
Ukimtoa Samia, unapata Rais Mwenye nafuu kidogo labda hata Majaliwa. Pia inatuma message kwa viongozi wanaofuata hawawezi kuchezea maisha ya watu. Mwisho wa sikku unaweeza kupata katiba mpya..

aliekwambia kutakua na unafuu raisi akiwa Maajaliwa ni nani? hujaielewa CCM bado mkuu
 
Japokuwa bado sijajua bayana hiyo kampeni ya Samia Must Go itafanyikaje, lakini Nina uhakika kabisa kwamba hata kama Rais Samia ataamua kuachia ngazi leo hii bado vitendo viovu vya utekaji Watu, utesaji na Mauaji vitaendelea kuwepo. Kwa jinsi ninavyofahamu, kiini Cha kuwepo kwa matatizo haya siyo Samia, Bali chanzo halisi Cha kuwepo kwa matatizo haya ni kutokana na kuwepo kwa Katiba ya nchi ambayo ni mbaya sana, pamoja na Sheria zingine ambazo pia ni mbaya au Sheria kandamizi,
Hivyo basi, kitu sahihi kabisa kinachopaswa kuondoka hapa nchini Tanzania ni Katiba iliyopo pamoja na Sheria kandamizi zilizopo. Katiba iliyopo ikiondoka, na Sheria kandamizi zilizopo zikiondoka, automatically hata mamlaka ya kuteka Watu waliyonayo hao Watekaji pia yataondoka, hatimaye sasa Tanzania itakuwa ni mahali salama na pazuri pa kuishi, Wananchi wote wa nchi hii ya Tanzania tutakuwa tumejikomboa kutoka Jehanamu tulipo hivi sasa na kwenda peponi katika nchi ya ahadi ya asali na maziwa.

N samia ndio mtu mwepesi zaidi ndani ya CCM kuleta katiba mpya
 
Back
Top Bottom