CCM nini kinawashinda kutuwekea free and fair election?

CCM nini kinawashinda kutuwekea free and fair election?

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Hivi kuweka free and fair election ni kitu kimewashinda KABISA?

KWAMBA hii nchi Ina milikiwa na CCM?

Huwa napata mashaka sana ndani ya icho chama kama Kuna wasomi walio eleweka na walio na ubinadamu

Mkifanya uchaguzi fair sio tu mtashindwa msiogope kushindwa mtaleta maendeleo Wananchi watawawachagua mtaacha kufanya vitu kimazoea kama mnataka tubaki hapa tulipo endeleeeni na huu utaratibu

Ila ni kukosa utu tu hii nchi ata ikiongozwa na mtu wa CDM inacase ni mtanzania kutakuwa na shida gani ?

CCM punguzeni uchu na tamaa ya madaraka na kulazimishwa mpendwe sio tabia nzuri
 
Wangekua na ubavu wa kuwa na fair election wangejibu hoja za TAL, lkn ubavu huo hawana.
 
Wewe fair election ni CHADEMA kushinda basi! Tengenezeni hoja na ushawishi kwa wananchi!
Hoja za kijinga jinga kama No reform no Election za akina Tundu Lissu zitawafikisha wapi!?
Hizo Reform atazifanyia nyumbani kwake?! Ana Wabunge wangapi Bungeni? Acheni upuuzi!
 
Hivi kuweka free and fair election ni kitu kimewashinda KABISA?

KWAMBA hii nchi Ina milikiwa na CCM?

Huwa napata mashaka sana ndani ya icho chama kama Kuna wasomi walio eleweka na walio na ubinadamu

Mkifanya uchaguzi fair sio tu mtashindwa msiogope kushindwa mtaleta maendeleo Wananchi watawawachagua mtaacha kufanya vitu kimazoea kama mnataka tubaki hapa tulipo endeleeeni na huu utaratibu

Ila ni kukosa utu tu hii nchi ata ikiongozwa na mtu wa CDM inacase ni mtanzania kutakuwa na shida gani ?

CCM punguzeni uchu na tamaa ya madaraka na kulazimishwa mpendwe sio tabia nzuri
MKuu ccm wala hawana kosa.

Kama hakuna free and fair. Nani anawawezesha kutofanya hiyo free and fair. Nguvu na jeuri wanaipata kwa nani?
Usiniulize
 
Hivi kuweka free and fair election ni kitu kimewashinda KABISA?

KWAMBA hii nchi Ina milikiwa na CCM?

Huwa napata mashaka sana ndani ya icho chama kama Kuna wasomi walio eleweka na walio na ubinadamu

Mkifanya uchaguzi fair sio tu mtashindwa msiogope kushindwa mtaleta maendeleo Wananchi watawawachagua mtaacha kufanya vitu kimazoea kama mnataka tubaki hapa tulipo endeleeeni na huu utaratibu

Ila ni kukosa utu tu hii nchi ata ikiongozwa na mtu wa CDM inacase ni mtanzania kutakuwa na shida gani ?

CCM punguzeni uchu na tamaa ya madaraka na kulazimishwa mpendwe sio tabia nzuri
Hili la akina Lissu la mabadiliko linaweza kutusumbua CCM.
Tuwe makini.
 
Mwenyewe huwa nashangaa kwa nini hawafanyi hivyo kwa sababu hata wakifanya hivyo naona watashinda tu , ila inawezekana hawataki kufanya hivyo ili washinde kwa kishindo.
 
Wewe fair election ni CHADEMA kushinda basi! Tengenezeni hoja na ushawishi kwa wananchi!
Hoja za kijinga jinga kama No reform no Election za akina Tundu Lissu zitawafikisha wapi!?
Hizo Reform atazifanyia nyumbani kwake?! Ana Wabunge wangapi Bungeni? Acheni upuuzi!
Sio CDM kushinda kuwe na fairness wakatwe pia wagombea wa CCM kusiwepo na matumizi ya nguvu kwa wapinzani nchi ni yetu sote
 
Mwenyewe huwa nashangaa kwa nini hawafanyi hivyo kwa sababu hata wakifanya hivyo naona watashinda tu , ila inawezekana hawataki kufanya hivyo ili washinde kwa kishindo.
Sjui wanaogopa Nini nchi sio Mali yao hii
 
MKuu ccm wala hawana kosa.

Kama hakuna free and fair. Nani anawawezesha kutofanya hiyo free and fair. Nguvu na jeuri wanaipata kwa nani?
Usiniulize
Hawana kosa na wao ndiyo wanaunda serikali
 
Hivi kuweka free and fair election ni kitu kimewashinda KABISA?

KWAMBA hii nchi Ina milikiwa na CCM?

Huwa napata mashaka sana ndani ya icho chama kama Kuna wasomi walio eleweka na walio na ubinadamu

Mkifanya uchaguzi fair sio tu mtashindwa msiogope kushindwa mtaleta maendeleo Wananchi watawawachagua mtaacha kufanya vitu kimazoea kama mnataka tubaki hapa tulipo endeleeeni na huu utaratibu

Ila ni kukosa utu tu hii nchi ata ikiongozwa na mtu wa CDM inacase ni mtanzania kutakuwa na shida gani ?

CCM punguzeni uchu na tamaa ya madaraka na kulazimishwa mpendwe sio tabia nzuri
ccm wameiteka sanduku la kura,itahitajika nguvu isiyoyakawaida kuirudisha kwa wananchi
 
Hakuna free and fair election Duniani pote!hata america hamna!
Tunachagua kuhalalisha waliopitishwa na wenye mamlaka!!

Ukiona chama kimepoteza dola ujue wenye mamlaka ndio wametaka hivyo na sio wananchi!!

Kungekua na free and fair election Lowasa angekua Rais!hata Mrema angekua pia!!

Wapo watu wanaofinyanga kesho yetu iweje!!!!
 
Hakuna free and fair election Duniani pote!hata america hamna!
Tunachagua kuhalalisha waliopitishwa na wenye mamlaka!!

Ukiona chama kimepoteza dola ujue wenye mamlaka ndio wametaka hivyo na sio wananchi!!

Kungekua na free and fair election Lowasa angekua Rais!hata Mrema angekua pia!!

Wapo watu wanaofinyanga kesho yetu iweje!!!!
Upo sawa mkuu
 
Hakuna free and fair election Duniani pote!hata america hamna!
Tunachagua kuhalalisha waliopitishwa na wenye mamlaka!!

Ukiona chama kimepoteza dola ujue wenye mamlaka ndio wametaka hivyo na sio wananchi!!

Kungekua na free and fair election Lowasa angekua Rais!hata Mrema angekua pia!!

Wapo watu wanaofinyanga kesho yetu iweje!!!!
Ndio maana nikasema ccm hawana uwezo wa kusalia madarakani. Wananchi walishawakataa
 
CCM punguzeni uchu na tamaa ya madaraka na kulazimishwa mpendwe sio tabia nzuri
Kuna mbunge wa CCM, simkumbuki ni nani ila najua bado yuko Bungeni, ni mwanamke, aliwahi kusema kuwa, JINSI UBUNGE ULIVYOMTAMU YUKO TAYARI KUUWA ILIMRADI ABAKIE NA UBUNGE WAKE" Maneno haya aliyasemea BUNGENI na sio mtaani.
 
Back
Top Bottom