Pre GE2025 CCM, oneni aibu basi, acheni kuwajaza Wananchi ujinga kwa Kuwahutubia hotuba zenye upotoshaji

Pre GE2025 CCM, oneni aibu basi, acheni kuwajaza Wananchi ujinga kwa Kuwahutubia hotuba zenye upotoshaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mawele

Senior Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
119
Reaction score
320
Huenda mmeshajua kuwa sehemu kubwa ya Wananchi wana upeo mdogo wa ufahamu kuweza kufikiri na kutambua kuwa mnawapotosha kwa manufaa yenu kulingana na ukosefu wa elimu au kuw na elimu duni inayowanyima ufahamu, nawataka oneni hata aibu msifikie kiwango mlichofikia cha kuwafanya kama hawana hata kiwango kidogo cha akili.

Ukisikiliza Video hiyo hapo chini anachokifanya huyo muongeaji hapo ni upotoshaji wa wazi kwa Wananchi, huku akihitaji Wananchi wamuunge mkono, huenda anafanya hivyo kwa kuwa kawadharau, kawaona kama hawajitambui, anawalisha taarifa potofu na kuwaamisha kufuga kuku na kwenda kuwatembelea watu ni kipimo cha amani na utulivu wa nchi na maandamano ni kitu kibaya na chenye matokeo mabaya huku akito mifano ya kutunga ya uongo, inasikitisha sana na kutia hasira kumsikiliza.

CCM, Hebu mnapotutubia Wananchi waambieni yaliyo ya kweli ili wafanye maamuzi sahihi, waelezeni ukweli acheni kuwadanganya ili mchaguliwe, achane kutumia ufahamu mdogo wa wananchi kujipatia kura siyo kitu kizuri.

Halafu neno amani mnalitumia vibaya sana kama mwamvuli wa kuficha maovu yenu, mnalitumia kuwatisha wananchi ili washindwe kufanya maamuzi sahihi dhidi yenu, acheni ivyo.


 
Huenda mmeshajua kuwa sehemu kubwa ya Wananchi wana upeo mdogo wa ufahamu kuweza kufikiri na kutambua kuwa mnawapotosha kwa manufaa yenu kulingana na ukosefu wa elimu au kuw na elimu duni inayowanyima ufahamu,
Tanzania Ina shida ya ujinga. Hasa wanavijiji...Kenya wanakuja Tanzania na kurudi..UJINGA NA UOGA WETU TU
 
Huenda mmeshajua kuwa sehemu kubwa ya Wananchi wana upeo mdogo wa ufahamu kuweza kufikiri na kutambua kuwa mnawapotosha kwa manufaa yenu kulingana na ukosefu wa elimu au kuw na elimu duni inayowanyima ufahamu, nawataka oneni hata aibu msifikie kiwango mlichofikia cha kuwafanya kama hawana hata kiwango kidogo cha akili.


Wanaota ndoto za Alinacha
 
Tanzania Ina shida ya ujinga. Hasa wanavijiji...Kenya wanakuja Tanzania na kurudi..UJINGA NA UOGA WETU TU
CCM inakera sana kutumia ujinga wa watu kama mtaji, labda ndio sababu hawafanyi maboresho ya elimu
 
Huenda mmeshajua kuwa sehemu kubwa ya Wananchi wana upeo mdogo wa ufahamu kuweza kufikiri na kutambua kuwa mnawapotosha kwa manufaa yenu kulingana na ukosefu wa elimu au kuw na elimu duni inayowanyima ufahamu, nawataka oneni hata aibu msifikie kiwango mlichofikia cha kuwafanya kama hawana hata kiwango kidogo cha akili.

Hujui hotuba za kupotosha anazozitoa Lissu na Mboye??
 
Duh, chama kimejaa matapeli hiki..

1727856078131.png
 
Huenda mmeshajua kuwa sehemu kubwa ya Wananchi wana upeo mdogo wa ufahamu kuweza kufikiri na kutambua kuwa mnawapotosha kwa manufaa yenu kulingana na ukosefu wa elimu au kuw na elimu duni inayowanyima ufahamu,
Hao ccm wenyewe ukianzia na chura kiziwi elimu zao ni za kuunga unga ndio unategemea wawe na uwezo wa ku deliver speeches za kisomi na maono ya kulitoa taifa kwenye matope ya umaskini ambayo hao hao ccm ndio wamesababisha lizame huko.
 
Huyo anayeongea unamwonaje? Itakuwa hajui kinachoendelea nchini! Hajui kuwa kuna watu wanatekwa, hajui kuna watu wanauawa, hajui hata ufisadi unaondelea.
Dawa ni Moja, kupata viongozi wengi wa upinzani mitaani kutolea majibu ya hayo yanayosemwa.
 
Huyo anayeongea unamwonaje? Itakuwa hajui kinachoendelea nchini! Hajui kuwa kuna watu wanatekwa, hajui kuna watu wanauawa, hajui hata ufisadi unaondelea.
Dawa ni Moja, kupata viongozi wengi wa upinzani mitaani kutolea majibu ya hayo yanayosemwa.
Ninaamini anajua hayo matukio ila anajitoa akili tu ili kupotosha na kuwapumbaza wananchi wazidi kuwatawala
 
CCM inakera sana kutumia ujinga wa watu kama mtaji, labda ndio sababu hawafanyi maboresho ya elimu
Elimu YETU ni locally sana. Shule za kata. Exposure na uelewa wa mambo utaupata wapi,
 
Huenda mmeshajua kuwa sehemu kubwa ya Wananchi wana upeo mdogo wa ufahamu kuweza kufikiri na kutambua kuwa mnawapotosha kwa manufaa yenu kulingana na ukosefu wa elimu au kuw na elimu duni inayowanyima ufahamu, nawataka oneni hata aibu msifikie kiwango mlichofikia cha kuwafanya kama hawana hata kiwango kidogo cha akili.


Tuna chakula bora au tunachakula tu. Kwani madai cha chadema yalihusu chakula tu. Au mbunge amepanic?
 
Huenda mmeshajua kuwa sehemu kubwa ya Wananchi wana upeo mdogo wa ufahamu kuweza kufikiri na kutambua kuwa mnawapotosha kwa manufaa yenu kulingana na ukosefu wa elimu au kuw na elimu duni inayowanyima ufahamu, nawataka oneni hata aibu msifikie kiwango mlichofikia cha kuwafanya kama hawana hata kiwango kidogo cha akili.

Ukisikiliza Video hiyo hapo chini anachokifanya huyo muongeaji hapo ni upotoshaji wa wazi kwa Wananchi, huku akihitaji Wananchi wamuunge mkono, huenda anafanya hivyo kwa kuwa kawadharau, kawaona kama hawajitambui, anawalisha taarifa potofu na kuwaamisha kufuga kuku na kwenda kuwatembelea watu ni kipimo cha amani na utulivu wa nchi na maandamano ni kitu kibaya na chenye matokeo mabaya huku akito mifano ya kutunga ya uongo, inasikitisha sana na kutia hasira kumsikiliza.

CCM, Hebu mnapotutubia Wananchi waambieni yaliyo ya kweli ili wafanye maamuzi sahihi, waelezeni ukweli acheni kuwadanganya ili mchaguliwe, achane kutumia ufahamu mdogo wa wananchi kujipatia kura siyo kitu kizuri.

Halafu neno amani mnalitumia vibaya sana kama mwamvuli wa kuficha maovu yenu, mnalitumia kuwatisha wananchi ili washindwe kufanya maamuzi sahihi dhidi yenu, acheni ivyo.

Hakuna alipodanganya. Ni ukweli mtupu. Tatizo hujatembea.
 
Hakuna alipodanganya. Ni ukweli mtupu. Tatizo hujatembea.
Acha ujinga, kwa hiyo kutembea hapo kijijini kwako unahisi umetembea, So kufuga kuku ndio mfano wa amani ya nchi?
 
Back
Top Bottom