Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliouthuria wangetakiwa waguneWala nisiseme mengi bali msikilizeni Mbunge wa Kawe na mjumbe wa NEC ya CCM anavyo wapiga fix wakazi wa Kawe na Watanzania akiwa mbele ya viongozi wenzake wa CCM.
Uongo hadi Shetani anashika mdomo kwa mshangao!
Huyo UWT atasifiaLucas Mwashambwa aione kwenye faili lake
Duh!... kazi kweli kweli ...Wala nisiseme mengi bali msikilizeni Mbunge wa Kawe na mjumbe wa NEC ya CCM anavyo wapiga fix wakazi wa Kawe na Watanzania akiwa mbele ya viongozi wenzake wa CCM.
Uongo hadi Shetani anashika mdomo kwa mshangao!
Meli 50 za uvuviWala nisiseme mengi bali msikilizeni Mbunge wa Kawe na mjumbe wa NEC ya CCM anavyo wapiga fix wakazi wa Kawe na Watanzania akiwa mbele ya viongozi wenzake wa CCM.
Uongo hadi Shetani anashika mdomo kwa mshangao!
Yuko Machame anakula sikukuu 😂Lucas Mwashambwa aione kwenye faili lake
Hizo meli 50 zitakuwa mfukoni mwakeUongo hadi Shetani anashika mdomo kwa mshangao!
Ana ahadi ya kupelekwa barminghamm ndio maana anajuhudi kweli kweli kumsemea swahiba wa rafiki zake.Lucas Mwashambwa aione kwenye faili lake
mbaaf !Wala nisiseme mengi bali msikilizeni Mbunge wa Kawe na mjumbe wa NEC ya CCM anavyo wapiga fix wakazi wa Kawe na Watanzania akiwa mbele ya viongozi wenzake wa CCM.
Uongo hadi Shetani anashika mdomo kwa mshangao!
Video inasumbua mpaka nimeshindwa kuisikiliza.Lucas Mwashambwa aione kwenye faili lake
Meli 50 zote Kawe??!!!Meli 50 za uvuvi
Kawe mpya inakuja na kung'aa kwelikweli
😆🙏
Alisema meli 52 toka Okinawa JapanMeli 50 za uvuvi
Kawe mpya inakuja na kung'aa kwelikweli
😆🙏