DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 2,014
- 2,979
Acha kujitoa ufahamu
Video inasumbua mpaka nimeshindwa kuisikiliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Video inasumbua mpaka nimeshindwa kuisikiliza.
Na ni Dr. Na ana waumini wanakuja kwenye congregation Kila jumapiliMeli 50 zote Kawe??!!!
Halafu huyu ni Askofu.
Amesema video inasumbua hawezi kusikilizwa mjinga yuleYuko Machame anakula sikukuu 😂
Kaupata ubunge, je yametokea?Wala nisiseme mengi bali msikilizeni Mbunge wa Kawe na mjumbe wa NEC ya CCM anavyo wapiga fix wakazi wa Kawe na Watanzania akiwa mbele ya viongozi wenzake wa CCM.
Uongo hadi Shetani anashika mdomo kwa mshangao!
Mtanzania afadhali ya ng'ombe. Sometimes huwezi kumswaga bila hiari. Mtanzania ukimwambia ukinichagua ninaweza kukuletea mvua mwaka mzima akushangilia na kukupigia makofi. Sababu uwezo wake wa kufikiri umekufa ili mradi uvae nguo zinazofanana na Yanga.Na ni Dr. Na ana waumini wanakuja kwenye congregation Kila jumapili
Kazi kwakeAlisema meli 52 toka Okinawa Japan
Ati ni askofu na watu wanampelekea sadaka na kumsujuduMeli 50 zote Kawe??!!!
Halafu huyu ni Askofu.
Halafu anakundi la watu j2 wanamsikiliza na kumsifu. Angalikuwa upande wa pili wa imani nadhani angalikua peke yake ktk nyumba ya ibadaJamaa hana tabia ya uongo. Huwa anafufua hadi wafu. Muongo hawezi kupewa huo uwezo.
..upande wa pili wa imani nao kuna baadhi wameanza kuchangamkia biashara ya kuuza mafuta.Halafu anakundi la watu j2 wanamsikiliza na kumsifu. Angalikuwa upande wa pili wa imani nadhani angalikua peke yake ktk nyumba ya ibada
Tuendelee kuzisubiri.....Alisema meli 52 toka Okinawa Japan
Lazima watakuwepo watu kama hao, penye msafara wa mamba Kenge hakosi. Lkn wanapingwa hadharani..upande wa pili wa imani nao kuna baadhi wameanza kuchangamkia biashara ya kuuza mafuta.
Lazima watakuwepo watu kama hao, penye msafara wa mamba Kenge hakosi. Lkn wanapingwa hadharani
Wewe unasema jipya kwa sababu husomi historia...hilo ni jambo jipya limeanza kujitokeza karibuni.
..inaelekea kuna baadhi wamevutiwa na utajiri waliojilimbikizia wenzao.
Mbona alinifufua mimi 😇Jamaa hana tabia ya uongo. Huwa anafufua hadi wafu. Muongo hawezi kupewa huo uwezo.