CCM pawaka moto Dodoma

CCM pawaka moto Dodoma

Asnte sana best kwa kutu apdeit. Hawa jamaa wanatuchezea tu. Hiki chama si kife tu na Lowassa alest in peace tatizo CCM hakuna wazalendo. Huku kenya jamaa hawafichani wala nini. Praimu minista akitmtimua minista prezida anamrudisha hakuna woga but for CCM eti wanalinda umoja wa chama. shwaini!
 
hata kwa kuongezewa muda -hakuna lolote,lakini CCM kuna ufa tena mkubwa,mwenyekiti ajaribu kuziba nyufa hizo,jmba lisije dondoka mikononi mwake-tutamkaumu,sana kwani CCM tunaipenda sana,lakini sasa tunafikia ukingoni.

kwa lipi mkuu?
 
Mhh!!!!! mambo kweli kweli kwa data hizi inaonyesha Pasco kilewo na wa16 wanajuana kwa karibu sana wanapeana data kila wakati yetu macho tunasubiri.
.
Japo nilikuwa Dodoma na hapo White House huwa naenda, simfahamu kilewo wala wa 16, ila jamaa nimewakubali sana, maana bado sipati picha, reporting live from within!, this is not a joke!. I was just thinking aloud and formulating my own hypothesis na modus operandi yao humo ndani kwenye manyoka tele tena wale wenye sumu kali! Nimewavulia kofia!
 
anachanganya


Mkuu kwa record ya masaa sita na kuendelea, audio ya 4GB inawezekana hasa ikiwa amerecord katika WAV formart high quality kitu ambacho si cha muhimu sana hasa pale unapotaji just sauti tu ya kuelewa mtu aliongea nini.
Ila kwa aina hiyo ya most sofiscated device aliyonayo (kama ni kweli) bila shaka itakuwa inarecord audio katika MP3 au other audio formats kwa sababu atatakiwa kurecord kwa muda mrefu na kukeep capacity(in Gbs au Mbs) kuwa ndogo as much as possible
.
 
Mkuu Pasco licha ya kwamba sijarejea nakwenda kuisoma ile post ya wa 16 kuhusiana na vifaa vya kijasusi,sidhani kama ni kweli alisema anatumia vifaa hivyo,nakumbuka akisema na kutoa reference kuwa kuna uwezekano kwa namna moja ama nyingine ya kupata data hizo kwa njia za tofauti,na alimention vifaa hivyo kama miwani,viatu nk kuwa vinaweza kufanikisha zoezi hilo,lakini hakusema specifically kuwa yeye ama wao wametumia njia gani,hapa JF tukishapata hiyo audio hatuna haja ya kujua wametumia nini,hiyo si kazi yetu hapa unless ni mtu mwenye madhumuni mengine ya tofauti.....tunachotaka sisi ni kuvery tu kuwa contents ni legit,and then ndicho tunachojadili (content)

Lastly, nakubaliana na wewe kuwa tuwape benefit of doubt.....Unajua JF kama darasa,ukikosa baadhi ya vipindi(mijadala/Threads)Ni lazima uwe makini kabla ya kuchangia mjadala utakaoukuta,kwasababu sometimes ni lazima urejee mijadala iliyopita,la sivyo hutauelewa uliopo,kwa mtu kama wewe ni msoma ramani kwani pia uko karibu na matukio hayo,uko updated na uko familiar na the whole situation,na ndio mana ukakubali pia kutoa benefit of doubt, maana kuna watu wanapata shida ya kuweza kutumia common sense based on the knoweledge aquired here in JF,either previously or currently,kuweza kutenganisha kati ya pumba na mchele,kimtizamo, inaonyesha wazi kuwa kutokana na mtiririko wa matukio mbali mbali ya siku za karibuni na hata pia siku za nyuma,habari hii still bado inamake sense,na siwezi kusema moja kwa moja kuwa si za kweli kwasababu uwezekano wa kuwa kweli ni mkubwa... ..Hata hivyo wa 16 pia nampa ushauri kuwa alitoa ahadi na hivyo ahadi huwa deni,ahadi hiyo iliwaexcite wengi wetu,kama ana uhakika na habari zake hizo alikuwa hana haja ya kusema hayo kwani when the whole story comes out,watatoka nishai,na kama hawajui,wamwulize Mh Mo Dewji.

Hata hivyo cha muhimu si hayo yanayoendelea humo ndani,cha muhimu ni hatma yake,hatma ya chochote kinachoendelea humo ndani,na pengine hatma ya mustakabali wa Taifa letu changa kimiaka lakini lililokubuhu kwa ukahaba wa kifisadi......Kwamba Sitta alikunywa maji akatoka nje kwa zaidi ya lisaa na JK kutokufahamu baadhi ya mambo yanayoendelea huku ukweli ukisemekana kuwa mafisadi ndo wenye nguvu na kwa hivyo ccm=ufisadi,havitabadilisha sana chochote kwasasa,hayo yote tisa,kumi ni hatma ya mjadala huo,Sasa kuna taarifa kuwa kamati ya Mwinyi ambayo primarily iliundwa kwa mdhumuni ya kutoa mapendekezo kuhusiana na wanachama wenye kashfa za ufisadi,imeongezewa muda huku terms of reference zikibadilishwa,sasa hivi kamati hiyo itaendelea kulifuja jasho la watanzani kwa kutafuta namna ya kuwasuluhisha wana ccm hao vs mafisadi...2010 hii hapa,nachelea kusema siwezi cheza mbali na JF kwasababu nataka kujua ni nini hatma ya Tanzania na watu wake.
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki JF.
J.Mushi, thanks, very objective.
 
Waongezeeni tu na allawansez wapeni si ndivyo mlivyoamua kuila nchi?
 
Kurasa 19 zazungumzia mvutano kati ya Mafisadi na Wapiganaji.

Nikiweka mizani kupima joto na hali halisi ya Tanzania ndani ya CCM nitasema suala la Muungano na Serikali ya Mseto Zanzibar lipo juu na la muhimu kuliko eti Lowassa afukuzwe uanachama.

Mtazamo wangu ni huu kuhusu kikao hiki na nitaupanga kwa Umuhimu wake.

1. Suala la Zanzibar na Muungano
2. Chama kipya cha Upinzani CCJ
3. Uchaguzi Mkuu 2010
4. Ripoti ya Mwinyi (Ufisadi v/s Upiganaji)
5. Bajeti ya Serikali 2010

Lakini kwa kuwa CCM hakina mwelekeo, sitashangaa kuwa wamepoteza muda kusutana na kutunishiana mishipa na misuli halafu wakimaliza kikao, bado watu wana madonge na mihasira iliyojaa ugwadugwadu!
 
Kurasa 19 zazungumzia mvutano kati ya Mafisadi na Wapiganaji.

Nikiweka mizani kupima joto na hali halisi ya Tanzania ndani ya CCM nitasema suala la Muungano na Serikali ya Mseto Zanzibar lipo juu na la muhimu kuliko eti Lowassa afukuzwe uanachama.

Mtazamo wangu ni huu kuhusu kikao hiki na nitaupanga kwa Umuhimu wake.

1. Suala la Zanzibar na Muungano
2. Chama kipya cha Upinzani CCJ
3. Uchaguzi Mkuu 2010
4. Ripoti ya Mwinyi (Ufisadi v/s Upiganaji)
5. Bajeti ya Serikali 2010

Lakini kwa kuwa CCM hakina mwelekeo, sitashangaa kuwa wamepoteza muda kusutana na kutunishiana mishipa na misuli halafu wakimaliza kikao, bado watu wana madonge na mihasira iliyojaa ugwadugwadu!
Rev Kishoka, maadam hiki ni kikao na kikao kina mwenyekiti anayekiendesha, huku kuwekana mpaka usiku wa manane, ni uthibitisho tosha Mwenyekiti is too weak, badala ya kuendesha kikao, yeye ndiye anayeendeshwa na makundi humo ndani, ukijumlisha na tabia za Pwani kukalia umbea na majungu kila kukicha, humo ndani sasa hawasutani tena, mwisho wa msutano ni mpatano, wagombanao ndio wapatanao, wameshamaliza tofauti zao, sasa wamekalia kupiga soga tuu, na jamaa asivyoliwa na nidhamu ya muda, tusitarajie lolote la maana, mimi naona bora nijilalie kama usingizi nao utakuja! .
Alamsiki!.
 
.
Japo nilikuwa Dodoma na hapo White House huwa naenda, simfahamu kilewo wala wa 16, ila jamaa nimewakubali sana, maana bado sipati picha, reporting live from within!, this is not a joke!. I was just thinking aloud and formulating my own hypothesis na modus operandi yao humo ndani kwenye manyoka tele tena wale wenye sumu kali! Nimewavulia kofia!

Please pasco sisi ni watu wazima inabidi sasa tuelezane ukweli unasema huwajui kilewo na wa 16 mbona inaonekana una data zao nyingi sana kwa akili ndogo katika post yako hapo juu ya 178 umesema nanukuu
- huyo mwenye 4GB sound recorder ana tenda ya kurecord officialy humo ndani, umejuaje?
- umesema by now wameshamjua huyo anayeleta info leo hawatamruhusu kutoka na kitu, umejuaje?
- ukasema kashindwa kutaja majina kwa sababu hawajui, kweli hawajui? hata sophia simba
- ukasema walijiunga na JF wiki iliyopita kwa sababu walijua vikao vitakuwa wiki hii walikueleza sababu ya kujiunga na JF

yote haya umejuaje kama hufahamiani nao nachelea kusema isije kuwa pasco ndiye kilewo ndiye wa 16 kwa sababu umekuwa concern sana na wao
 
Please pasco sisi ni watu wazima inabidi sasa tuelezane ukweli unasema huwajui kilewo na wa 16 mbona inaonekana una data zao nyingi sana kwa akili ndogo katika post yako hapo juu ya 178 umesema nanukuu
- huyo mwenye 4GB sound recorder ana tenda ya kurecord officialy humo ndani, umejuaje?
- umesema by now wameshamjua huyo anayeleta info leo hawatamruhusu kutoka na kitu, umejuaje?
- ukasema kashindwa kutaja majina kwa sababu hawajui, kweli hawajui? hata sophia simba
- ukasema walijiunga na JF wiki iliyopita kwa sababu walijua vikao vitakuwa wiki hii walikueleza sababu ya kujiunga na JF

yote haya umejuaje kama hufahamiani nao nachelea kusema isije kuwa pasco ndiye kilewo ndiye wa 16 kwa sababu umekuwa concern sana na wao
.
Luteni, nimesema, na ninasema tena siwajui! ila I was just thinking aloud and formulating my own hypothesis na modus operandi yao humo ndani.

Yote hayo nimefikiria tuu, assumptions nothing more, nothing less, ila pia, siwezi kuzuia fikra za mtu.
Kitu kimoja naomba nikuhakikishie Luteni, I take JF very seriously na kuitreat with much respect, mimi sio miongoni mwa wasanii humu ndani wenye mi ID kibao na wengine huleta maigizo ya kujiuliza na kujijibu, mimi ni Pasco tuu na Pasco ni mimi ingawa hili nalo ni pen name sio jina halisi!.

Ukimya wa hawa jamaa, unanipelekea kuamini ni kweli kwa jinsi nilivyo wafikiria.
 
Wategemezi wetu wote wawili, kilewo na 16 wamesha sign off, hata hivyo nimeongea na mdau mmoja yuko pale nje ya ukumbi, amenijulisha game bado ni bila bila!.
 
CCM ilikufa na marehemu J K Nyerere, kwa wale mnaokumbuka siku Aboud Jumbe alivyotolewa nishai Dodoma na kurejea Dar jobless yaani kukiwa na kikao ni kikao na matokeo yanaonekana hakuna kutafuna fweza za walipa kodi kwa ngonjera.

Hivi sasa tuna Chama Cha Majambazi ati kuna mawaziri wastaafu kibao pamoja na marais wastaafu na hakuna kazi yoyote ni porojo tu. Ujinga mtupu maswala ya EL na RA yako wazi sasa wanatafuta mbinu ya kuwadanganya wadanganyika kazi kweli kweli ndio sababu nchi haiendelei. Kama wanaweza kupiga porojo kwenye mambo yaliyo wazi wataweza yaliyojificha.
 
CCM ilikufa na marehemu J K Nyerere, kwa wale mnaokumbuka siku Aboud Jumbe alivyotolewa nishai Dodoma na kurejea Dar jobless yaani kukiwa na kikao ni kikao na matokeo yanaonekana hakuna kutafuna fweza za walipa kodi kwa ngonjera.

Hivi sasa tuna Chama Cha Majambazi ati kuna mawaziri wastaafu kibao pamoja na marais wastaafu na hakuna kazi yoyote ni porojo tu. Ujinga mtupu maswala ya EL na RA yako wazi sasa wanatafuta mbinu ya kuwadanganya wadanganyika kazi kweli kweli ndio sababu nchi haiendelei. Kama wanaweza kupiga porojo kwenye mambo yaliyo wazi wataweza yaliyokificha.
.
EL na RA.. we acha tuu, "He who pays the piper...." anachofanya Mkulu, is just to dance the tunes, The King Maker is the one calling the shots!.
 
Tutasubiri taarifa ya katibu mwenezi si ndo huwa anakuwa responsible manake naona jamaa alipopewa nafasi ya kuupload kaingia mitini kabisa wa 16 na mwenzio kilewo hasa wa 16 ulikuwa unatoa updates hapa mpaka sasa nawaona ni wababishaji au na mko huko na hapa mmetumwa tu la kama ukiniprove wrong naahidi kuwaomba radhi lakini as things stand now with no proof no names habari yenu haijawa valid na haina heshima ya kuajadiliwa kiasi hiki hapa na ndo maana tulipokuwa tuanomba majina ya wanaochangia hizo mada mkawa mnababaisha mbona 6 mlimtaja?

JF IS MORE CLEVER THAN U THINK
Vigezo vyenu vya kupata proof vimekaa kiupande upande. Suppose jamaa akaamua kuweka majina, mfano akasema Anne Kilango kasema hivi, Mpendazoe kasema vile au Mwakyembe kasema vile, je hiyo itakuwa prof kwako. Ni ama unaamua kuiona habari yote kuwa uzushi au unaiona ina ukweli ndani yake. Names or names doesn't matter.
 
- Mkuu watu wenye akili nyingi sana duniani wanapokwama hurudi kwenye msingi wa walipotokea, binafsi ninakumbuka Lowassa na Rais wa sasa wakiitwa Boyz To Man, wakakodiwa ndege maalum ya kuwapeleka Dodoma dakika za mwisho wa kikao cha NEC ili wawe alternative ya kugombea urais, wananchi wa taifa hili we never questioned nani amelipia ile ndege, na WHY? Lowassa na Rais wa sasa nani aliwaita dakika za mwisho kwenda Dodoma kwa sababu no question kwamba hawakuitwa na Mwalimu!

- Lowassa alikuwa njiani kugombea urais ninachojua ni kwamba he was a serious candidate kuliko Rais wa sasa, sasa ilikuwaje akaamua kukaa pembeni na kumuachia Muungwana? Kuna dataz moja niliwahi kuzipata then, one time Lowassa alikuwa mahali akizungumza na mtu kwa siri sana, aliulizwa vipi Urais, akamjibu yule mtu tena with confdence sana kwamba "..ninaweza kuwa rais nikitaka maana this is my chance, lakini siwezi kuharibu utamaduni ambao inayokuja ni zamu ya Muisilamu kuwa Rais..." akaendelea "..mimi na Jakaya ni kitu kimoja, tumeongea na nimemfahamisha hilo kwamba ninamuachia kwa sasa.." haya yote niliyasema zamani

- Kwamba Lowassa atapata matatizo ya kisheria under Muungwana's watch haitakuja kutokea, kwamba atakuwa Rais in our watch ninasema haitakuja kutokea unless CCM ivunjike, yanayotukuta sasa ni matatizo tuliyoyataka wenyewe wananchi na hasa hawa waandishi wetu wa habari, we were so happy na political deals za short terms bila kujua nini hasara zake in the long terms na ndio what we are paying for now, Lowassa is fine for now, ingawa matatizo yake kisheria yapo pale pale ndio maana Rostam anayejua better analilia sana majaji kuamua kuhusu Richmond.

- Wananchi tunahitaji kua macho sana, ninaamini sana kwamba huyu Lowassa anajua kwamba yeye alivyo hawezi kugombea urais, isipokuwa kwa sababu he is so determined kua Rais, ataishia siku moja kutupiga changa zito sana la macho, ninaamini and I could be wrong pia, kwamba ata-push to end kugombea urais 2010 akijua sana kwamba hawezi kupata nafasi, in the process ataisukuma na kui-pressure our political system nzima to the wall that kutakua na a political deal ya kumrudisha kwenye power under some capacity, itakapofika 2015 Lowassa atamuweka mtu wake kuchukua urais halafu yule mtu hatamaliza kwa sababu atakazopewa na Lowassa yaani atajiuzulu, hapo ndipo huyu Lowassa ataliliwa na chama kizima achukue Urais ndio the only chance aliyonayo na ninaamini ndiyo njia atakayotumia kushika urais kama ndoto yake inavyomtuma.

Respect.

FMEs!
FMEs,
Respect,
Mkuu kukodisha Ndege toka DAR to DODOMA ni bei gani?
Sidhani kama ghama hiyo yatosha au ni kubwa mno kiasi cha kumnunua na kumweka Rais mikononi, mwa yeyote yule alielipia nauli hiyo, na naamini hao watu wawili wasingeshindwa na gharama hiyo ya ukodishaji.
Na huo utamaduni wa kupokezana Urais kwa zamu ya Mwislam then Mkristo anaujua Lowasa pekee au unajulikana na kila Mtanzania?
Mkuu para ya mwasho umetaja neno Ndoto, naamini kwa nafasi ya Uraisi Lowasa ataendelea kuwa ndotoni.
Respect.
 
20751_303384212970_658587970_3501356_7035608_n.jpg


- Wakuu heshima mbele sana, sasa ni usiku sana wakulu wote wameenda kulala, shughuli zimekua nyingi sana lakini by kesho tutatafuta exactly kilichojiri huko ndani, ingawa nimeona kuna waliojaribu kuleta dataz za kikao, waletaji wa hizo dataz hawakuwa na sababu ya kusema wanazo kanda za kikao, that was a liitle over the board lete dataz tu JF we are very good at reading betweeen the lines, na at the end of the day jamani hawa ndio wananchi tunaowalilia kuwakomboa huu ni mkutano wa CCM jana tu!

- I mean think about it huu mkutano ni jana tu, sio mwaka juzi wakati Muungwana anaingia urais, ni jana tu baada ya bunge kumsafisha Lowassa, jamani tuna kazi kubwa ana ndefu sana mbele yetu, tusikate tamaa!

Respect.


FMEs!
 
20751_303384212970_658587970_3501356_7035608_n.jpg


Wako wengi hawa wanafuata upepo tu. Ndio wale asilimia 70... ... ... LOL
 
.
Japo nilikuwa Dodoma na hapo White House huwa naenda, simfahamu kilewo wala wa 16, ila jamaa nimewakubali sana, maana bado sipati picha, reporting live from within!, this is not a joke!. I was just thinking aloud and formulating my own hypothesis na modus operandi yao humo ndani kwenye manyoka tele tena wale wenye sumu kali! Nimewavulia kofia!


Rahisi sana.
wala usiumize kichwa ktk hilo,technologia ya leo iko mbali sana. Labda sema tu jamaa alikuwa anachemsha jamaa wa jf. Lakini hilo la ku-report very simple.
 
CCM imvue uanachama Waziri Mkuu wa zamani...!!!

Please tell me you guys are joking.
 
.
Nimesema tuwape benefits of doubt, mimi bado nawaaminia kwa sababu kwanza wana guts za ajabu, kwa maoni yangu, kwanza hawa jamaa, sio wajumbe, wao humo ndani ni wahudumu tuu, wawe ni wapitisha maji, fundi umeme, ama watu wa PA Systeam ya sound.

Kutokana na mapenzi makubwa ya JF na walijua mkutano unafanyika hapo, last week, wote wawili ndio wakajiunga JF wiki iliyopita, bahati mbaya mkutano ukasogezwa mpaka wiki hii, kwa vile wako behind the scenes, ndio wameweza kupost.

Huyo mwenye 4 GB sound recorder, ana tenda ya sound kurekodi kila kitu officially, ili apate kutuletea na sisi, lazima kwanza amalize kazi aliyotumwa ndipo usiku atuibie na sisi.

Jamaa wa UWT, wanamonitor JF, 24/7, hivyo by now, wameshamjua huyo ni nani, na leo atashangaa hawatamruhusu kuondoka na chochote. Alitaja highy sophisticated soind recording kama kwenye fremu za miwani ama kwenye sole ya viatu ili kutupa make belive yeye ni mtu muhimu mule ndani. Wenye vifaa hivyo kiukweli wako na ni watu wa ukweli wao wamejinyamazia, ma impostors ndio wapiga kelele!.

Kushindwa kutaja majina, hajui who is who, alimkumbuka Sitta tuu kwa sababu ni known face kufuatia live za bungeni.

Hivyo jamaa kweli wako ukumbini, huyu thread starter amesha log out asije shtukiwa, na 16 bado yuko on line. Ndio maana nasisitiza lets give them the benefits of doubt.
Mkuu Pasco,
Sio kweli kuwa UWT wameweka jicho JF 24/7 nakupa habari yenye uhakika 99% Kuna haja ya kutafuta mbinu nyingine ya kuwafanya washughulike. Hizi tunazopiga hapa ni kelele za Mlango................!
 
Back
Top Bottom