Pokea simu basi...Inv, usimuunder estimate jamaa, kule nyuma amezungumzia recorders za kwenye peni, frame za miwani mpaka zile za kwenye sole za viatu.
Mimi namuaminia, jamaa karekodi kila kitu toka jana, shughuli yake ni kuupload hiyo 4GB!.
Mkuu,
Kwa hili naomba nitofautiane na wewe.
Sioni busara ya kuweka Audio tape haa jamvini ya kikao halali cha chama.
Ningeshauri utaratibu wa mmoja wetu kusoma na kutupatia briefing kama ambavyo FM ES huwa anafanya.
YY
Mkuu;Ila Invisible una uhakika na usalama wa jamvi letu? Manake kuikosa JF its unbearable zile siku mbili au moja zilikuwa ni kama mwaka kila dk nilikuwa nachek kama imerudi
Pole mkuu;soon kutakuwa na uchaguzi CHADEMA.....tutaomba tena kwa msisitizo AUDIO-UPLOADING ya the whole saga.....!
Pole mkuu;
Nothing personal here... Akija mtu na madai kuwa ana audio ya kikao tutamkomalia atoe japo vijidakika vitatu hivi, kuonyesha uhakika wa anachoandika!
Mkuu,Jamani mbona tunadanganyika kirahisi namna hii hao jamaa wawili wa 16 na kilewo inawezekana kweli walikuwa kwenye kikao lakini wako kikazi zaidi ya kuihabarisha JF inawezekana wanataka kujua ni vipi tunapa sources za mambo humu nachotaka kuwaambia wengine humu ni ma psycologist wana uwezo wa kumsoma mtu nini anataka hata kwa maandishi yake believe me or not sisi tusubiri yatakayojiri hata kama yatatolewa na Chiligati tutayajadili hayo hayo na kuyapima ukweli wake.
Source TBC.
Taarifa toka Dodoma, ni kuwa wajumbe karibu wengi kwenye mkutano wa NEC ya CCM wanapendekeza kamati ya Mzee Mwinyi iongezwe muds ili kuweza kuendelea kumalizia tofauti zilizopo baina ya wana CCM.
Katibu mwenezi wa CCM, kutoa taarifa rasmi mara tu baada ya mkutano kumalizika hata iwe saa nane ucku, atakuwa na press confrence muda huwo!!!!!!!
Mkuu,
I salute you! Hatukatai kila hoja anayoleta mtu, tunapenda mtu aje na walau uthibitisho wa kauli yake. Sasa kama kilewo na mwenzake walikuja kuyapima maji kina basi huenda yameishia kwenye magoti tu...
Naamini watarejea na walau dakika 3 tulizoomba na wakaahidi kuleta hahahaha!