Wajumbe wasema Lowassa awajibishwe kwakuwa chama kimechafuka sana na asipo wajibishwa wasilaumiwe kwa yale yatakayo tokea.
Upande wa Lowassa wasema hamna cha kumuwajibisha Lowassa kama ni suala la ufisadi chama kiwajibike na si Lowassa
kwa hili niko upande wa Lowassa. Uchafu wa CCM chanzo chake si Lowassa. Lowasa hakuwa na ubavu wa kufungua milango ya BoT kukwapua pesa ya EPA. Lowasa ana makosa yake na CCM ina makosa yake ambayo ni mengi kuliko ya Lowassa. Kila mtu ababe msalaba wake.