LGE2024 CCM pekee imekamilisha maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, huku vyama vingine vikiandaa visingizio vya kushindwa

LGE2024 CCM pekee imekamilisha maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, huku vyama vingine vikiandaa visingizio vya kushindwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
02 October 2024
Jimbo la Kibamba
Dar es Salaam, Tanzania

:FIRE:🅻🅸🆅🅴 : TUNDU LISSU ANANGURUMA MUDA HUU


View: https://m.youtube.com/watch?v=YWlRiTOLFXs
Miongozo ya waziri wa TAMISEMI kuchukua na kurudisha fomu, ni njama za kufanya wagombea kuenguliwa. Tundu Lissu awataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi tunataka fomu sasa hivi hatusubiri tarehe 1 November. Maana mitego ya waziri Mohamed Mchengerwa kusambaza taarifa potofu kuhusu uchaguzi wa November 2024 ni mingi wanaCHADEMA

Madudu mengine mengi ni pamoja na yafuayo...

nimesema kwenye hoja ya msingi kwamba badala ya kujiandaa na kujipanga na Uchaguzi wa serikali za mitaa wanaandaa visingizio na sababu za kushindwa Uchaguzi huo 🐒
 
si ndivyo mlivyo ambiwa hata na waganga wenu , ndrugu zangu wa imani potofu na ushirikiana?🐒

Yes Dr ng’umbi na Dr nape washatangazia umma! Au bado mnazuga waswahili wajiandae kisaikolojia kupokea ushindi wa 99%? Utoeni tu hata sasa hivi why wasting time, mna power zote hamna wa kuwahoji, wapinzani wenu watalialia tu yataisha na mtaendelea na maisha kama alivofanya jiwe
 
Wanajua tushasahau kwamba wamemaliza mchakato maporini wanasubiri muda tu watangaze, huyu boss anaposema ccm pekee imemaliza maandalizi anamaanisha haya...
 

Attachments

  • 5770917-12f2f23d25bbe7fc3516e11af8120993.mp4
    15.1 MB
Vyama vingine baada ya wanachama wao kugoma kushiriki maandamano haramu yaliyopigwa marufuku na kudhibitiwa na polisi, wame nyong'onyea, wamesinyaa na wamekua kama wamepigwa ganzi hivi, Lakini pia ni kama wamepoteza uelekeo kabisa. Na kwasababu hiyo eti sasa wanalumbana washiriki au wasishiriki uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa. Na mara nyingi matokeo ya malumbano yao huwaathiri woa wenyewe na wanachama wao.

Vyama vingine kwa uchache vinafanya mikutano ya hadhara kwa kusua sua, hawana ratiba ndefu za mbwembwe kama ilivyokua mara baada tu ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuruhusu mikutano ya hadhara na maandamano, baada ya mtangulizi wake hayati J.Magufuli kuzuia mambo hayo. Na ukifuatilia kwa karibu hakuna maandalizi ya uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa badala yake ni muendelezo wa siasa za lawama na kulalamika tu bila kua na mbadala wa mipango mikakati ya malalamiko hayo. Bila shaka maandalizi ya zima moto yanatarajiwa.

Kwa hali hiyo,bila shaka yoyote, ukata wa fedheha, madeni ya kupindukia ndani ya vyama vya siasa yana chochea pakubwa maandalizi ya uchaguzi huo muhimu kwa kiasi hiki ambacho kinachoonekana bayana.

Kwa ujumla vyama vya siasa, vinapitia wakati mgumu zaidi kiuchumi kutokana na kutokua na mipango mikakati bora mbadala ya kiuchumi, na badala kutegemea michango ya wanachama, wadau, wafadhili na wafanyabiashara wenye maslahi ya kisiasa kwenye vyama hivyo..

Ukata wa fedha unaweza kuchochea baadhi ya vyama kutoshiriki uchaguzi huo muhimu kwa kisingizio cha kuzuiwa na polisi kufanya maandamano haramu, lakini pia hofu ya kushindwa kufanya kampeni, fedheha na aibu ya kushindwa vibaya sana na vyama vilivyo jiandaa vizuri sana kwa uchaguzi huo muhimu mathalani CCM n.k 🐒

Una maoni gani kwenye hilo?

Mungu Ibariki Tanzania
Kwa io tume yenu ya magumashi huo uchaguzi shirikini wenyewe
 
Vyama vingine baada ya wanachama wao kugoma kushiriki maandamano haramu yaliyopigwa marufuku na kudhibitiwa na polisi, wame nyong'onyea, wamesinyaa na wamekua kama wamepigwa ganzi hivi, Lakini pia ni kama wamepoteza uelekeo kabisa. Na kwasababu hiyo eti sasa wanalumbana washiriki au wasishiriki uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa. Na mara nyingi matokeo ya malumbano yao huwaathiri woa wenyewe na wanachama wao.

Vyama vingine kwa uchache vinafanya mikutano ya hadhara kwa kusua sua, hawana ratiba ndefu za mbwembwe kama ilivyokua mara baada tu ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuruhusu mikutano ya hadhara na maandamano, baada ya mtangulizi wake hayati J.Magufuli kuzuia mambo hayo. Na ukifuatilia kwa karibu hakuna maandalizi ya uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa badala yake ni muendelezo wa siasa za lawama na kulalamika tu bila kua na mbadala wa mipango mikakati ya malalamiko hayo. Bila shaka maandalizi ya zima moto yanatarajiwa.

Kwa hali hiyo,bila shaka yoyote, ukata wa fedheha, madeni ya kupindukia ndani ya vyama vya siasa yana chochea pakubwa maandalizi ya uchaguzi huo muhimu kwa kiasi hiki ambacho kinachoonekana bayana.

Kwa ujumla vyama vya siasa, vinapitia wakati mgumu zaidi kiuchumi kutokana na kutokua na mipango mikakati bora mbadala ya kiuchumi, na badala kutegemea michango ya wanachama, wadau, wafadhili na wafanyabiashara wenye maslahi ya kisiasa kwenye vyama hivyo..

Ukata wa fedha unaweza kuchochea baadhi ya vyama kutoshiriki uchaguzi huo muhimu kwa kisingizio cha kuzuiwa na polisi kufanya maandamano haramu, lakini pia hofu ya kushindwa kufanya kampeni, fedheha na aibu ya kushindwa vibaya sana na vyama vilivyo jiandaa vizuri sana kwa uchaguzi huo muhimu mathalani CCM n.k 🐒

Una maoni gani kwenye hilo?

Mungu Ibariki Tanzania
Subiri sanduku la matusi livunguliwe kutoka kwa BAVICHA. Mmewanyima kuandamana alafu bado mnaendelea Kuwakochakocha.
 
Na waTanzania wazalendo wanaendelea kukuonyesha vizuri sana kwamba bila hata wewe wanaweza kupiga kura kuunda serikali na kuongoza mitaa na nchi bila tashwishwi yoyote ile gentleman 🐒

ni kwamba uwepo, au usuwepo kwenye uchaguzi mambo ni Bam Bam yanasongo tu bila mbambamba yoyote 🐒
Ni kweli kabisa maana mimi kama mimi siwezi kuendelea kushiriki ukhanithi wa aina hiyo.
 
Vyama vingine baada ya wanachama wao kugoma kushiriki maandamano haramu yaliyopigwa marufuku na kudhibitiwa na polisi, wame nyong'onyea, wamesinyaa na wamekua kama wamepigwa ganzi hivi, Lakini pia ni kama wamepoteza uelekeo kabisa. Na kwasababu hiyo eti sasa wanalumbana washiriki au wasishiriki uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa. Na mara nyingi matokeo ya malumbano yao huwaathiri woa wenyewe na wanachama wao.

Vyama vingine kwa uchache vinafanya mikutano ya hadhara kwa kusua sua, hawana ratiba ndefu za mbwembwe kama ilivyokua mara baada tu ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuruhusu mikutano ya hadhara na maandamano, baada ya mtangulizi wake hayati J.Magufuli kuzuia mambo hayo. Na ukifuatilia kwa karibu hakuna maandalizi ya uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa badala yake ni muendelezo wa siasa za lawama na kulalamika tu bila kua na mbadala wa mipango mikakati ya malalamiko hayo. Bila shaka maandalizi ya zima moto yanatarajiwa.

Kwa hali hiyo,bila shaka yoyote, ukata wa fedheha, madeni ya kupindukia ndani ya vyama vya siasa yana chochea pakubwa maandalizi ya uchaguzi huo muhimu kwa kiasi hiki ambacho kinachoonekana bayana.

Kwa ujumla vyama vya siasa, vinapitia wakati mgumu zaidi kiuchumi kutokana na kutokua na mipango mikakati bora mbadala ya kiuchumi, na badala kutegemea michango ya wanachama, wadau, wafadhili na wafanyabiashara wenye maslahi ya kisiasa kwenye vyama hivyo..

Ukata wa fedha unaweza kuchochea baadhi ya vyama kutoshiriki uchaguzi huo muhimu kwa kisingizio cha kuzuiwa na polisi kufanya maandamano haramu, lakini pia hofu ya kushindwa kufanya kampeni, fedheha na aibu ya kushindwa vibaya sana na vyama vilivyo jiandaa vizuri sana kwa uchaguzi huo muhimu mathalani CCM n.k 🐒

Una maoni gani kwenye hilo?

Mungu Ibariki Tanzania
Machizi ya kura
 
Ni kweli kabisa maana mimi kama mimi siwezi kuendelea kushiriki ukhanithi wa aina hiyo.
Ndiyo,
endelea kushiriki ramli na ushirikiana wako kwa uhuru na amani na usije kumbwelambwela hapa tena, sawa gentleman?🐒
 
Back
Top Bottom