LGE2024 CCM pekee imekamilisha maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, huku vyama vingine vikiandaa visingizio vya kushindwa

LGE2024 CCM pekee imekamilisha maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, huku vyama vingine vikiandaa visingizio vya kushindwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Subiri sanduku la matusi livunguliwe kutoka kwa BAVICHA. Mmewanyima kuandamana alafu bado mnaendelea Kuwakochakocha.
katika mambo ambayo ni rahisi sana duniani, ni pamoja na kuwakabili washirikina wenye mihemko na misukule wenye ghadhabu kwenye siasa za hoja kama hao ulowataja 🐒
 
Kwa io tume yenu ya magumashi huo uchaguzi shirikini wenyewe
nimesema vyema sana kwenye maelezo yangu ya msingi kwamba kuna vyama badala ya kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa,

vinaandaa visingizio na sababu za kujitetea baada ya kushindwa kwa fedhaha uchaguzi huo muhimu wa kihistoria kwenye Taifa letu,

nawe nadhani umo mule mule kule kwenye kutafuta Huruma 🤣
 
Wameshamaliza kuprint kura fake za kutosha
hukana mzaha, hakuna huruma wala hakuna kumuonea haya katika suala muhimu sana, la gharama na nyeti mno la maandalizi ya Uchaguzi kampeni za uchaguzi, kushinda uchaguzi na hatimae kuunda serikali na kuongoza dollar

mzaha na ushirikiana wenu fanyeni huko huko gentleman 🐒
 
katika mambo ambayo ni rahisi sana duniani, ni pamoja na kuwakabili washirikina wenye mihemko na misukule wenye ghadhabu kwenye siasa za hoja kama hao ulowataja 🐒
Ukimkimbiza mbaya wako kisha upepo ukakata, unazani kinachofuata ni nini? Hoja hawana tena, mama Abdul kawachakaza vbaya sana.
 
Tayari CCM imeshakamilisha kutengeneza kura fake kwa vituo vyote?
muhimu zaidi ni kuandaa wagombea makini wanaojulikana, wanaoaminika na kukubalika katika vya kutosha katika jamii, na kubeba na kueleza vyema sera na mipango mikakati ya Maendeleo kwa wanainchi kwa niaba ya Chama...

Na zaidi sana kuwaandaa na kuwahamasisha wanachama wa CCM kujitokeza kwa wingi bila kukosa, hasa siku ya uchaguzi katika vituo vya kupigia kura walikojiandikisha na kuwachagua viongozi wote madhubuti wa CCM watakao pitishwa na chama kugombea nafasi hizo 🐒
 
Vyama vingine baada ya wanachama wao kugoma kushiriki maandamano haramu yaliyopigwa marufuku na kudhibitiwa na polisi, wame nyong'onyea, wamesinyaa na wamekua kama wamepigwa ganzi hivi, Lakini pia ni kama wamepoteza uelekeo kabisa. Na kwasababu hiyo eti sasa wanalumbana washiriki au wasishiriki uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa. Na mara nyingi matokeo ya malumbano yao huwaathiri woa wenyewe na wanachama wao.

Vyama vingine kwa uchache vinafanya mikutano ya hadhara kwa kusua sua, hawana ratiba ndefu za mbwembwe kama ilivyokua mara baada tu ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuruhusu mikutano ya hadhara na maandamano, baada ya mtangulizi wake hayati J.Magufuli kuzuia mambo hayo. Na ukifuatilia kwa karibu hakuna maandalizi ya uchaguzi huo muhimu sana wa serikali za mitaa badala yake ni muendelezo wa siasa za lawama na kulalamika tu bila kua na mbadala wa mipango mikakati ya malalamiko hayo. Bila shaka maandalizi ya zima moto yanatarajiwa.

Kwa hali hiyo,bila shaka yoyote, ukata wa fedheha, madeni ya kupindukia ndani ya vyama vya siasa yana chochea pakubwa maandalizi ya uchaguzi huo muhimu kwa kiasi hiki ambacho kinachoonekana bayana.

Kwa ujumla vyama vya siasa, vinapitia wakati mgumu zaidi kiuchumi kutokana na kutokua na mipango mikakati bora mbadala ya kiuchumi, na badala kutegemea michango ya wanachama, wadau, wafadhili na wafanyabiashara wenye maslahi ya kisiasa kwenye vyama hivyo..

Ukata wa fedha unaweza kuchochea baadhi ya vyama kutoshiriki uchaguzi huo muhimu kwa kisingizio cha kuzuiwa na polisi kufanya maandamano haramu, lakini pia hofu ya kushindwa kufanya kampeni, fedheha na aibu ya kushindwa vibaya sana na vyama vilivyo jiandaa vizuri sana kwa uchaguzi huo muhimu mathalani CCM n.k 🐒

Una maoni gani kwenye hilo?

Mungu Ibariki Tanzania
Kwani uchaguzi upo? Si kuna kesi mahakamani?
 
Kwani uchaguzi upo? Si kuna kesi mahakamani?
ndiyo visingizio navyozungumzia kwamba kuna vyama vya siasa vinajifichia kwenye vichaka kama hivi kumbe wanapitia ukata mkali sana wa kiuchumi kusponsa hata wagombea uchaguzi wa serikali za mitaa hata wa kata 3 tu...

by the way,
unadhani hiyo kesi ni ya kupinga uchaguzi usifanyike au kupata ufafanuzi tu wa kisheria juu ya namna uchaguzi huo utakavyofanyika na ulivyokua ukifanyika miaka yote?

Infact,
haina nguvu ya kuzuia uchaguzi huo muhimu wa kihistoria but ni muhimu kusubiri uamuzi wa mahakama 🐒

Kumbuka uchaguzi ni Nov 27 mwaka huu gentleman
 
Manufaa ya uchaguzi ukiwa wa uwazi, huru na wa haki ukijumuisha wote kuanzia mwanzo wa mchakato mzima ni haya katika mfano wake hapa chini:

23 September 2024
New York City

Mahojiano na rais Cyril Ramaphosa kuhusu jinsi 4R zilivyoiinua imani ya wananchi na wafanyabishara ndani ya nchi na wale wawekezaji kutoka nje


JINSI CYRIL RAMAPHOSA ANAVYOTUMIA 4R ZA UKWELI, KAMA ZANA YA KUVUTIA MAENDELEO


View: https://m.youtube.com/watch?v=4gF-YkcFMFQ

Kwa kujivunia kutoka moyoni bila kuwa na ulaghai wa kutumia 4R kuwezesha chama chake pekee kuwa na wabunge 100% bunge la taifa na bunge la majimbo, Mheshimiwa Cyril Ramaphosa wa South Africa anajivunia jinsi ANC ilivyovuna 40 % ya kura huku chama kinachofuatia DA 21 % huku asilimia zilizobaki 39% zimegawana vyama vingine vidogo.

Kupitia 4R za ukweli nchi inaendelea kuwa na mihimili huru ya Bunge, Mahakama na vyombo vya habari.

Hali hiyo imewapa imani wawekezaji wa ndani wana imani kuwekeza zaidi ndani na pia hali hiyo inavutia wawekezaji zaidi kutoka nje.

Kutokana na kuwa na kuaminiana ndani, South Africa imekuwa mfano kwa mataifa dada jirani zilizo nchi za SADC na mbali zaidi.

4R za ukweli zisizo na hila ovu zimemuondolea rais wa South Africa kutokukosa usingizi na kuwaza kutumia majeshi ya usalama kama polisi na usalama wa taifa kuwatishia raia.

kutokana na mazingira mazuri yaliyoletwa na 4R kupitia serikali ya Umoja wa Kitaifa GNU, sana nchi ina nafasi ya kutumia viongozi wa vyama vingine vya kisiasa katika kulitumikia taifa ktk nafasi za kiuongozi na hivyo nchi kufaidika na kila raia aliye na upana wa maono bila kujali wametoka vyama vingine.

Tofauti na kama ingekuwa utawala wa kimabavu, kuzuia raia kufikia nafasi za kiuamuzi kupitia kura walizopata baada ya kuaminiwa na wapiga kura waliowacgagua katika uchaguzi ulio wazi, huru na wa haki kuanzia ngazi ya mchakato wa mikutano ya vyama vyao, kampeni hadi kutangazwa wameshinda.
Source: SABC News

CCM watambue kuwa uchaguzi ulio huru na haki una manufaa makubwa mtambuka, badala ya wao chama dola kongwe kufikiria jambo kubwa ni kuingia ofisini kwa uchaguzi usio wa haki, ulioporwa kwa hila kama ule wa 2019, 2020 kurudiwa tena 2024 na 2025 serikali itakayoingia madarakani kupitia uchaguzi fiche wa hila itapata tabu siyo tu kutoka kwa raia tu bali nchi kukosa maendeleo.

Maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji utakao fanyika Nov.27.2024 yanaendelea vizuri na ratiba iko pale pale kwamba kampeni ni kuanzia tar 20-26 November..

Ni uchaguzi huru, wa wazi, na wa haki wa kihistoria Tanzania.

Halazimishwi mtu kushiriki uchaguzi huo muhimu sana kwa mustakabali wa maendeleo ya wanainchi huko katika maeneo wanamoishi..

Imani haba na potofu za kutengemea ushirikiana kwenye kwenye siasa na uchaguzi haijawahi kua msaada kwa yeyote..

hakuna muujiza ni lazima waTanzania wote kushiriki kikamilifu uchaguzi huu wa kihistoria na kushiriki kuamua mustakabali wa maendeleo ya maeneo yao 🐒
 
nimesema vyema sana kwenye maelezo yangu ya msingi kwamba kuna vyama badala ya kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa,

vinaandaa visingizio na sababu za kujitetea baada ya kushindwa kwa fedhaha uchaguzi huo muhimu wa kihistoria kwenye Taifa letu,

nawe nadhani umo mule mule kule kwenye kutafuta Huruma 🤣
Huo uchaguzi mshiriki pekee yenu mshinde viti vyote kama kawaida yenu! Sio lazima wapinzani washiriki
 
Huo uchaguzi mshiriki pekee yenu mshinde viti vyote kama kawaida yenu! Sio lazima wapinzani washiriki
watashiriki waTanzania wote wazalendo wa vyama vyote vya siasa nchini bila mbambamba yoyote gentleman :pedroP:
 
Wakati ccm wapo kwenye kampeni nzito ya nyumba kwa nyumba kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa upinzani upo bize na mahakama kila kukicha
 
CCM inavohangaika kubaki madarakani utadhani inafanya la maana. Kumbe inataka kuongeza Deni la nje kutoka trilioni 99 mpaka Trilioni 110.
 
We Makamba kaa kimya, wewe ni mmoja wa wazee wa hovyo kuwahi kutokea hamtaki uchaguzi huru na haki na uchaguzi kusimamiwa kinyume cha sheria na waziri wa serikali ya CCM.

Badala ya kutaka uhuru mnafurahia jinsi mlivyofanya sarakasi zenu mahakamani kuzuia uchaguzi huru ili kada wenu asimamie uchaguzi kinyume cha sheria.

Halafu unaleta mipasho jukwaani humu, katika wazee wa hovyo kuwahi kutokea nchini wewe na mwenzio Wassira wapotoshaji wa haki wakubwa, mlaaniwe na vizazi vyenu
 
Manufaa ya uchaguzi ukiwa wa uwazi, huru na wa haki ukijumuisha wote kuanzia mwanzo wa mchakato mzima ni haya katika mfano wake hapa chini:

23 September 2024
New York City

Mahojiano na rais Cyril Ramaphosa kuhusu jinsi 4R zilivyoiinua imani ya wananchi na wafanyabishara ndani ya nchi na wale wawekezaji kutoka nje


JINSI CYRIL RAMAPHOSA ANAVYOTUMIA 4R ZA UKWELI, KAMA ZANA YA KUVUTIA MAENDELEO


View: https://m.youtube.com/watch?v=4gF-YkcFMFQ

Kwa kujivunia kutoka moyoni bila kuwa na ulaghai wa kutumia 4R kuwezesha chama chake pekee kuwa na wabunge 100% bunge la taifa na bunge la majimbo, Mheshimiwa Cyril Ramaphosa wa South Africa anajivunia jinsi ANC ilivyovuna 40 % ya kura huku chama kinachofuatia DA 21 % huku asilimia zilizobaki 39% zimegawana vyama vingine vidogo.

Kupitia 4R za ukweli nchi inaendelea kuwa na mihimili huru ya Bunge, Mahakama na vyombo vya habari.

Hali hiyo imewapa imani wawekezaji wa ndani wana imani kuwekeza zaidi ndani na pia hali hiyo inavutia wawekezaji zaidi kutoka nje.

Kutokana na kuwa na kuaminiana ndani, South Africa imekuwa mfano kwa mataifa dada jirani zilizo nchi za SADC na mbali zaidi.

4R za ukweli zisizo na hila ovu zimemuondolea rais wa South Africa kutokukosa usingizi na kuwaza kutumia majeshi ya usalama kama polisi na usalama wa taifa kuwatishia raia.

kutokana na mazingira mazuri yaliyoletwa na 4R kupitia serikali ya Umoja wa Kitaifa GNU, sana nchi ina nafasi ya kutumia viongozi wa vyama vingine vya kisiasa katika kulitumikia taifa ktk nafasi za kiuongozi na hivyo nchi kufaidika na kila raia aliye na upana wa maono bila kujali wametoka vyama vingine.

Tofauti na kama ingekuwa utawala wa kimabavu, kuzuia raia kufikia nafasi za kiuamuzi kupitia kura walizopata baada ya kuaminiwa na wapiga kura waliowacgagua katika uchaguzi ulio wazi, huru na wa haki kuanzia ngazi ya mchakato wa mikutano ya vyama vyao, kampeni hadi kutangazwa wameshinda.
Source: SABC News

CCM watambue kuwa uchaguzi ulio huru na haki una manufaa makubwa mtambuka, badala ya wao chama dola kongwe kufikiria jambo kubwa ni kuingia ofisini kwa uchaguzi usio wa haki, ulioporwa kwa hila kama ule wa 2019, 2020 kurudiwa tena 2024 na 2025 serikali itakayoingia madarakani kupitia uchaguzi fiche wa hila itapata tabu siyo tu kutoka kwa raia tu bali nchi kukosa maendeleo.


Mitego ya hila kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania mwezi November ya anikwa.

02 October 2024
Ubungo, Dar es Salaam

Tundu Lissu - Mwongozo wa waziri wa TAMISEMI kuhusu uchaguzi wa November 2024 umejaa hila, mitego na kujaribu kuengua wagombea wasio wa chama dola kongwe CCM

View: https://m.youtube.com/watch?v=XcHGSsTsInE



View: https://m.youtube.com/watch?v=XcHGSsTsInE
 
02 October 2024
Mahenge, Morogoro

🅻🅸🆅🅴 : MAKAMU MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO ATOA TAMKO MUDA HUU AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MAHENGE

Kuna wajumbe zaidi ya 10,000 wa mitaa walipita bila kupingwa ... yaani hawakuchaguliwa na wananchi baada ya chama dola kongwe CCM kutumia hila...


View: https://m.youtube.com/watch?v=L_MyF8RN-h4
 
02 October 2024
Mahenge, Morogoro

🅻🅸🆅🅴 : MAKAMU MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO ATOA TAMKO MUDA HUU AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MAHENGE

Kuna wajumbe zaidi ya 10,000 wa mitaa walipita bila kupingwa ... yaani hawakuchaguliwa na wananchi baada ya chama dola kongwe CCM kutumia hila...


View: https://m.youtube.com/watch?v=L_MyF8RN-h4

hakuna wa kushindana nao sasa gentleman 🤣
 
Back
Top Bottom