CCM sasa inaanda pigo Kali litakaloiua kabisa hoja ya katiba ili Chadema wabaki hawana ajenda, zote zitakuwa zimedhibitiwa.

CCM sasa inaanda pigo Kali litakaloiua kabisa hoja ya katiba ili Chadema wabaki hawana ajenda, zote zitakuwa zimedhibitiwa.

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
 
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
Chadema ipo miyoyoni mwa watu na ndiyo maana hata kipindi kilichopita watu wasio tazama mbele kama Mbowe walijua imekufa

Sasa ndiyo imepata Nguvu kubwa kuliko chadema ilivyoanza nichama cha watu wenye uelewa nikimaanisha uongozi na ni watu ambao wanaijua kesho kuliko leo na hakika chadema ni mkombozi wa haki na demokrasia ya kweli
 
"Mahali ambapo hakuna mkinzano wa mawazo basi mahali hapo hakuna maulamaa (wenye elimu)"
Madam nchi ina wasomi pia ina mawazo tofauti ni wazi upinzani utakuwepo.Kwa utawala huu wa CCM matobo ni mengi mno kiasi ambacho kwa hulka yao ya kukamatia madaraka hoja zitakuwepo tena nzito ajabu.
  1. ATCL inaingia hasara kila mwaka
  2. Vituo vya afya visisvyo na watumishi wa kutosha
  3. Shule ambazo hazina waalimu wa kutosha
  4. Mafao na kinga kwa wanasiasa
  5. Mfumuko wa bei
  6. Mfumo mbovu wa kumlinda mkulima
  7. Bima ya afya ambapo wengine wanakufa kwa kukosa pesa wengine wanalipiwa na serikali
  8. Wizi kwenye halmashauri
  9. Mateso katika vituo vya Polisi
  10. Kupotea kwa watu
  11. Comeonnnnnnnnnnnn!!
 
Mkuu kwa taarifa yako Uchaguzi ukifanyika sasa hivi,na Tume ikawa huru,vyombo vya Usalama vikaamua kutenda haki,NEC wakasimamia zoezi la kuhesabu kura bila kuiba,CHADEMA hata bila kufanya kampeni,CCM inaaga asubuhi na mapema!
 
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
Mfumuko wa bei na Ukosefu wa ajira na Wamachinga pia.
Mku changamoto ni nyingi sio Katiba tu ndo mana Ndugai alionekana ana hoja
 
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
We Mataga Chadema gani tena jamani?
Kwani huju Chadema ilikufa na mwendazake,iliuo Bali Ni NGOGWE, na juzi wameunda balaza kivuli!

20220130_145754.jpg
 
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
Kachimbe shimo ujifukie...dua la pimbi halimpati Mwewe...
 
"Mahali ambapo hakuna mkinzano wa mawazo basi mahali hapo hakuna maulamaa (wenye elimu)"
Madam nchi ina wasomi pia ina mawazo tofauti ni wazi upinzani utakuwepo.Kwa utawala huu wa CCM matobo ni mengi mno kiasi ambacho kwa hulka yao ya kukamatia madaraka hoja zitakuwepo tena nzito ajabu.
  1. ATCL inaingia hasara kila mwaka
  2. Vituo vya afya visisvyo na watumishi wa kutosha
  3. Shule ambazo hazina waalimu wa kutosha
  4. Mafao na kinga kwa wanasiasa
  5. Mfumuko wa bei
  6. Mfumo mbovu wa kumlinda mkulima
  7. Bima ya afya ambapo wengine wanakufa kwa kukosa pesa wengine wanalipiwa na serikali
  8. Wizi kwenye halmashauri
  9. Mateso katika vituo vya Polisi
  10. Kupotea kwa watu
  11. Comeonnnnnnnnnnnn!!
Hata hii ya Mwenyekiti wangu kusafirisafiri nayo ni hoja kubwa tuu kwa ujumla tusubirie Vuguvugu la pili kutoka Chadema
 
Umewaza weee ukaja na huu utopolo

Kwamba hoja zimefanyiwa kazi[emoji2][emoji2][emoji2] kwamba hujui hoja huzaliwa kila uchao?
 
Hata hii ya Mwenyekiti wangu kusafirisafiri nayo ni hoja kubwa tuu kwa ujumla tusubirie Vuguvugu la pili kutoka Chadema
Nakuhakikishia chadema tumebeba viliyo vya watanzania na ndiyo chama kilichojipambanua kuleta Tanzania tunayoitaka
 
chinembe kiluguru ni mtu anayekaa mlangoni. Watu wanaingia na kutoka wapendavyo yeye yupo yupo tu.
 
chinembe kiluguru ni mtu anayekaa mlangoni. Watu wanaingia na kutoka wapendavyo yeye yupo yupo tu.
Waluguru ndio watu wa kwanza kuuza nchi hii, unamkumbuka chief Mangungo wa Msovero? Wewe na yeye ni ukoo mmoja
 
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.

Ndiyo, pigo kama ushahidi tunao futamfunga gaidi
 
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
Acha porojo hitaji la katiba mpya sii la chadema ila la watanzania wote, uthibitisho ni maoni ya tume ya jaji Warioba.
 
  • Thanks
Reactions: OHA
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
Mandela alipotoka jela, aliendelea kucheka na waliomtesa, Mzee Jomo Kenyatta alipotoka jela aliendelea kucheka na waliomtesa, hii hutokea kwa watu wachache tu wenye busara ambapo baadaye husababishwa watesi kuteseka wao. Mbowe ametumia busara kukutana na mtesi wake, lakini chawa wa CCM usiku mzima hawakulala kwa hasira, hasira inayosababishwa na kukosa busara. TUJIKUMBUSHE: I am Wisdom, I am better than jewels (Proverbs 8:11).
 
Chadema ipo miyoyoni mwa watu na ndiyo maana hata kipindi kilichopita watu wasio tazama mbele kama Mbowe walijua imekufa

Sasa ndiyo imepata Nguvu kubwa kuliko chadema ilivyoanza nichama cha watu wenye uelewa nikimaanisha uongozi na ni watu ambao wanaijua kesho kuliko leo na hakika chadema ni mkombozi wa haki na demokrasia ya kweli
We BONGOLALA! ushawahi KUSIKIA serikali inahangaika na HASHIM RUNGWE???

AU KUHANGAIKA NA AUGUSTINO MREMA?? wa TLP??

Hawana impacts ,endelea tu kujifariji!!!

CHADEMA HATA UUTISHWE UCHAGUZI FREE AND FAIR KESHO WANASHINDA MAPEMA ALFAJIRI.

Upo wewe BWAKU JING........A???😂🤣😂🤣
 
We BONGOLALA! ushawahi KUSIKIA serikali inahangaika na HASHIM RUNGWE???

AU KUHANGAIKA NA AUGUSTINO MREMA?? wa TLP??

Hawana impacts ,endelea tu kujifariji!!!

CHADEMA HATA UUTISHWE UCHAGUZI FREE AND FAIR KESHO WANASHINDA MAPEMA ALFAJIRI.

Upo wewe BWAKU JING........A???[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Kaka umesoma ukaelewa vibaya soma tena mimi ni chadema
 
Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
Akili yako ndicho ilichokifikiria basi!! Hivi katikati yachangamoto nyingi zinazoikabili hii nchi nyie mko busy kuwaza upupu huu, nawakishamaliza hiyo hoja ndio itakuwa imepatikana suluhu yamatatizo yanayowakabili wananchi? Hivyo
 
We BONGOLALA! ushawahi KUSIKIA serikali inahangaika na HASHIM RUNGWE???

AU KUHANGAIKA NA AUGUSTINO MREMA?? wa TLP??

Hawana impacts ,endelea tu kujifariji!!!

CHADEMA HATA UUTISHWE UCHAGUZI FREE AND FAIR KESHO WANASHINDA MAPEMA ALFAJIRI.

Upo wewe BWAKU JING........A???😂🤣😂🤣
Dawa chungu Kwa wale viwavi wa kijani🤪
 
Back
Top Bottom