CCM sasa inaanda pigo Kali litakaloiua kabisa hoja ya katiba ili Chadema wabaki hawana ajenda, zote zitakuwa zimedhibitiwa.

CCM sasa inaanda pigo Kali litakaloiua kabisa hoja ya katiba ili Chadema wabaki hawana ajenda, zote zitakuwa zimedhibitiwa.

Muda si mrefu Chadema wataishiwa ajenda, mkakati uko mezani kuizima kabisa ajenda ya katiba mpya, ife kifo Cha kawaida (natural death).

Baada ya kuizima ajenda hiyo unadhani CDM itabaki hai? Hapana, watakosa Cha kusema, hashtag zitakufa, watabaki wanatazamana, wafanye nini.

Watu wako wanapanga kete kwenye draft tayari kwa kuzisukuma. Thinktanks za Siasa za nchi hii.

Kaeni mkao wa kula. Kuna chama kinaenda kuishiwa ajenda muda si mrefu.
Kama jiwe alishindwa unadhani hawa wataweza ?
 
Watu huwa mnajidanganya sana. Labda ni wageni wa siasa za nchi hii.

Kamwe CCM haiwezi kufanya kitu au jambo linalomeet matarajio ya wananchi kwa ukamilifu wake. CCM watafanya jambo kwa ajili ya manufaa yao tu na si nchi.

CCM haikawahi kuuwa hoja yoyote ya upinzani. Ipi?
 
Hilo neno nimelisikia mara nyingi tu tokea mda mrefu.. labda kama wewe ni mtoto wa juzi juzi,

Chadema kitaishiwa ajenda, chadema kitakufa.. hata mgombea wao wa uchaguzi wa mwaka 2015 aliambiwa atakufa mda sio mrefu, na waliosema hivyo wengi wao wameshakufa..
 
Back
Top Bottom