Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
- #21
KARLO MWILAPWA,
Taarifa zilisema Kamati ya Maadili iliyokuwa Dodoma iliwasubiri na hawakutokea. Sasa sijui haya mengine wewe unayapata wapi?
Yaani Kamati ya Maadili ya Dodoma haikuwa na taarifa kwamba kwamba kina Kinana wasingeonana nao? Na kwa nini basi Mangula akimbie toka Dodoma kuja Dar kuwafuata?
Taarifa zilisema Kamati ya Maadili iliyokuwa Dodoma iliwasubiri na hawakutokea. Sasa sijui haya mengine wewe unayapata wapi?
Yaani Kamati ya Maadili ya Dodoma haikuwa na taarifa kwamba kwamba kina Kinana wasingeonana nao? Na kwa nini basi Mangula akimbie toka Dodoma kuja Dar kuwafuata?