CCM semeni ukweli: Kinana na Makamba wameipuuza Kamati ya Maadili Dodoma wakaenda kuonana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM hapa Dar

CCM semeni ukweli: Kinana na Makamba wameipuuza Kamati ya Maadili Dodoma wakaenda kuonana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM hapa Dar

Naona mafisi bado wanazidi kugombea mfupa uliooza. Mungu anawaona.
Kuna mambo kadhaa ambayo CCM wanataka kutuchanganya hapa. Lakini kama usemi unavyoenda - you can fool some people sometimes but not all the people all the time.

Je, Kinana na Makamba wameonana na Kamati ya Maadili ya CCM au wamekutana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM?

Tunaelewa kwamba Kamati ya Maadili ilikuwa Dodoma, ambako ndiko Membe alihojiwa. Je tuseme ilibidi wajumbe wa kamati ya maadili wakimbizwe kuja Dar Salaam kuwahoji Kinana na Makamba baada ya kuachwa solemba wakiwasubiri kule Dodoma?

Tuambieni ukweli kwamba:
  1. Kinana na Makamba wamegoma kwenda Dodoma kuifuata Kamati ya Maadili
  2. Kinana na Makamba wameifichia CCM aibu kwa kuonyesha kwamba wameitikia wito kwa masharti kwamba hawatakwenda Dodoma bali watakuja Dar esSalaam kuonana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM
  3. Kinana na Makamba wamewapa masharti CCM kwamba lazima mapokezi yao yaonyeshe hakuna bifu kati yao na CCM kwa viongozi wakuu wa CCM kuwapokea kwa shangwe pale Lumumba kwa ajili ya kupigwa picha.
Ikiwa hivyo ndivyo, nawapongeza sana Kinana na Makamba kwa busara walizotumia hadi sasa. Natumaini walimwambia Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM kwamba awamu ya tano waache tabia chafu ya kudukua maongezi binafsi ya viongozi waliostaafu na waliopo madarakani, kwa kuwa sio tu ni tabia ya kimbea bali pia inavunja sheria za nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Synthesizer, Hebu angalia maneno haya:
"The country has reached the end of the line. It has kiiled or tried to eliminate all opposition leaders one way or another and given rise to a perpetual political class that is arrogant in its views and brazen in its corruption------a political aristocracy that displays an indifference and contempt towards the public that is stunning...." Hapa ndio tulipo.
Waafrika tusitegemee wachina au wazungu kutufundisha kujitawala tumeamua tuwe wajinga kukumbatia udikteta wa chama kimoja. Kamwe hatufiki.
Tumeamua wenyewe kuelekea shimoni tukijisifu na kuchekelea! Hatutoki humo kamwe.

Tunajivunia kijana wetu Mtanzania M. Samata kafika hatua ya kucheza soka ulaya! Tunajenga viwanja vikubwa "vya kimataifa" vya michezo lakini tunabomoa nchi kwa kuvunja sheria zetu na za kimataifa kuhusu haki za binadamu. Heshima ya 'mwanetu Samata' kufika ulaya inatustahili sisi au wazungu?
Samata amefika alipo kwa "magoli ya mkono"?
Huu unafiki kupitia Samata msidhani waerevu duniani na hao wazungu wataufumbia macho milele!
Mnaua vipaji vya vijana wengi wa TZ kama Samata kwa kudhoofisha elimu zao, afya zao, uchumi na haki zao za kujitawala chini ya democracy and freedom of speech nk.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama haivina uhusiano hiv vitu
 
Ni aibu kwa viongozi wa ccm, inavyoonekana walijipangia na muda wa kufika.
 
Atleast sijakuzidi wewe upumbavu...

weka wewe ushahidi kwamba wanajeshi wanamsimamo hawakwenda...

ushahidi kuwa walikwenda ninao wa picha na video ila kwa kiwango cha ujinga wako hustahili kutumiwa[emoji16][emoji16]
Wewe shuleni ulienda kujifunza upumbavu, nilikuambia kitu kidogo tu,weka ushahidi wewe unaniletea maelezo meeeengi mara bimkubwa wako,mara binti zako mara michepuko. Ndiyo maana mnashindwa mitihani.Jibu swali uliloulizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo kadhaa ambayo CCM wanataka kutuchanganya hapa. Lakini kama usemi unavyoenda - you can fool some people sometimes but not all the people all the time.

Je, Kinana na Makamba wameonana na Kamati ya Maadili ya CCM au wamekutana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM?

Tunaelewa kwamba Kamati ya Maadili ilikuwa Dodoma, ambako ndiko Membe alihojiwa. Je tuseme ilibidi wajumbe wa kamati ya maadili wakimbizwe kuja Dar Salaam kuwahoji Kinana na Makamba baada ya kuachwa solemba wakiwasubiri kule Dodoma?

Tuambieni ukweli kwamba:
  1. Kinana na Makamba wamegoma kwenda Dodoma kuifuata Kamati ya Maadili
  2. Kinana na Makamba wameifichia CCM aibu kwa kuonyesha kwamba wameitikia wito kwa masharti kwamba hawatakwenda Dodoma bali watakuja Dar esSalaam kuonana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM
  3. Kinana na Makamba wamewapa masharti CCM kwamba lazima mapokezi yao yaonyeshe hakuna bifu kati yao na CCM kwa viongozi wakuu wa CCM kuwapokea kwa shangwe pale Lumumba kwa ajili ya kupigwa picha.
Ikiwa hivyo ndivyo, nawapongeza sana Kinana na Makamba kwa busara walizotumia hadi sasa. Natumaini walimwambia Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM kwamba awamu ya tano waache tabia chafu ya kudukua maongezi binafsi ya viongozi waliostaafu na waliopo madarakani, kwa kuwa sio tu ni tabia ya kimbea bali pia inavunja sheria za nchi.
...
20200213_073007.jpg


Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Kuna mambo kadhaa ambayo CCM wanataka kutuchanganya hapa. Lakini kama usemi unavyoenda - you can fool some people sometimes but not all the people all the time.

Je, Kinana na Makamba wameonana na Kamati ya Maadili ya CCM au wamekutana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM?

Tunaelewa kwamba Kamati ya Maadili ilikuwa Dodoma, ambako ndiko Membe alihojiwa. Je tuseme ilibidi wajumbe wa kamati ya maadili wakimbizwe kuja Dar Salaam kuwahoji Kinana na Makamba baada ya kuachwa solemba wakiwasubiri kule Dodoma?

Tuambieni ukweli kwamba:
  1. Kinana na Makamba wamegoma kwenda Dodoma kuifuata Kamati ya Maadili
  2. Kinana na Makamba wameifichia CCM aibu kwa kuonyesha kwamba wameitikia wito kwa masharti kwamba hawatakwenda Dodoma bali watakuja Dar esSalaam kuonana na Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM
  3. Kinana na Makamba wamewapa masharti CCM kwamba lazima mapokezi yao yaonyeshe hakuna bifu kati yao na CCM kwa viongozi wakuu wa CCM kuwapokea kwa shangwe pale Lumumba kwa ajili ya kupigwa picha.
Ikiwa hivyo ndivyo, nawapongeza sana Kinana na Makamba kwa busara walizotumia hadi sasa. Natumaini walimwambia Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM kwamba awamu ya tano waache tabia chafu ya kudukua maongezi binafsi ya viongozi waliostaafu na waliopo madarakani, kwa kuwa sio tu ni tabia ya kimbea bali pia inavunja sheria za nchi.
Unahangaika kusifia mijitu mabayo ni brainless! Funny! Hawa ni watu wanaostahili kupongezwa kwa lolote kweli?
 
Back
Top Bottom