CCM, Serikali Mbili Zilizoboreshwa, na Hatima Ya Muungano

CCM, Serikali Mbili Zilizoboreshwa, na Hatima Ya Muungano

A statistical tie? Kwanini kwenye takwimu nyingine mnaingiza hoja za 80pct?
Rakesh Rajani, Head of Twaweza, said​
"Large majorities of Tanzanians care about key issues in theconstitution – that governments be open and transparent, public officials be accountable and thelike. Although the question of the Union remains contentious, it may be best approached through a
review of its implications on the issues that are closest to people's lives."
Hii nimeinukuu kutoka conclusion ya Twaweza kuhusu mfumo wa muungano.
Hata hivyo, kama una knowledge kidogo ya statistics, a 5% degree of freedom is a very normal, globally accepted margin of error. Na ukisema 54-47 ujue ni tie. This is very common knowledge and I dont expect you to ridicule that.

On senstive issues like medicine, rocket sciences, robotics etc, the degree of freedom is usually 1%.



Is this still in line na kukubali kwako earlier kwamba trend ya umma inaelekea kutaka serikali tatu?
Yes my friend.
Kampeni, elimu jamii na propaganda can easily skew the parabolas of political view.
This can go either way provided the antagonists use the same tools. With the same tools, over time watu wanaweza kukubali serikali moja. Ila kwa sasa, kampeni kubwa ipo kwenye three-tier.
Mfano, ukiwaambia watu waukatae mfumo wa vyama vingi sasa hivi, itabidi ufanye kazi sana. Ingawa a couple of decades ago watanzania karibu wote hawakutaka vyama vingi.
Pia, unaweza kuutumia mfano wa the highly criticized Affordable Care Act (Obamacare), na campaign za tea party. It was a tie statistically, Obama akatumia Congress, ikapita na sasa ina-gain strength kuliko utavyofikiri.
Politics is a game of thrones.
 
Again these are bunch of jiber jabber political antics nikuulize maswali yafuatayo uyajumuishe katika
analysis yako :-
a. How many ministries will there be in the country (I mean the entire goverment of the federal government (Tanganyika, Zanzibar na Union).
b. What will be the distribution of revenue kati ya Tanganyika and Zanzibar ndani ya serikali 3.
c. The impact of revenue allocation katika mapato ya serikali ya Tanganyika na Zanzibar ni kwa kiwango gani?
d. Gharama za uendeshaji wa serikali zote tatu kwa ujumla na mgawanyiko wake kutoka hazina zote tatu.
e. Economic cost za jamii kwa mfumo unaopendekeza ukilinganisha na serikali 1, 2, na 3.

I am waiting......
Watetea serikali tatu hawataki kuyajibu maswali ya msingi kama haya uliyoyauliza wakati wanadai moja ya attribute ya serikali tatu ni uwazi wa mambo katika utendaji lakini badala yake wanachofanya ni kuanza kukuuliza tena utendaji wa serikali mbili wakati wao wenyewe wanadai haufai kwa maana kuwa wanaufahamu vizuri.

Nitashangaa kama mtu atadai kitu fulani hakifai na akakupa kile ana uhakika kinafaa halafu ukimuuliza kinafaa kivipi badala ya kukueleza anaanza tena kukuuliza manufaa ya kile aichokuambia hakifai.
 
Labda utufahamishe, kama Rais ana mandate kwa kupitia bunge kwanini asipeleke mswada wa marekebisho ya katiba ya 1977 ambayo ana mamlaka nayo. Kwanini kuunda tume.

Pili, kama bunge linaweza kuandika rasimu mbadala na kuwapa wananchi, maoni ya wananchi yalikuwa ya nini.

Tatu, lazima uelewe the whole process is flawed. Endapo JK ana mandate ya bunge na majority ya bunge anachoogopa rasimu kwenda kwa wananchi ni kitu gani?

Nne, Rais kama alijua kuna uwezekano wa lolote kutokea ambalo halikubaliani na matakwa yake ni kwanini aliunda tume na ili tume ifanye kitu gani cha kumsaidia katika adhama yake.

Tano, katiba haiandikwi kwa uchama. Huo ni umasikini wa akili ambao ni mkubwa kuliko wa fedha.
KANU haipo tena Kenya, wala UNIP haipo Zambia. Kenya ipo na Zambia ipo. Kufikiria majority ya chama na siasa za uchama ndicho chanzo cha umasikini wa nchi. Kama hatutabadilika tutaendelea kuwa masikini.
Again, unaleta siasa.
Kwanza, usihamishe magoli. Mimi ninazungumzia bunge la katiba. Na labda kasome takwimu ujue watanzania wanataka taasisi gani isimamie uundwaji wa katiba.

Pili,maoni ya wananchi ndiyo njia bora zaidi na ya kidemokrasia, haimaanishi kuwa bila kwenda kwa wananchi ni kuvunja sheria zilizopo. It's the best and the most popular way.

Tatu,mpaka tunapozungumza, wewe ndiyo umeupachika huo uoga. Angekuwa muoga asinge-risk kubadilisha matakwa ya tume kuhusu mfumo wa muungano ambao mpaka hivi sasa nina imani kubwa kuwa conclusion yao juu ya takwimu inapotosha.

Nne, sijaona lolote lililotokea ambalo limethibitisha kinyume cha matakwa yake, kama unazungumzia mfumo wa muungano. Matakwa yake mengine siyajui, anayajua yeye mwenyewe.

Tano, hayo mambo sijui kwanini unaniambia. Sijui unafikiria nini mpaka kunipa mimi hotuba hiyo. But okay ... noted.

Sita, where are my carrots brother? Nakupa majibu yenye number halafu wewe huya-crush kwa kutumia numbers. Tell me about the 86% na pia tell me about the 14% supported by Afrobarometer/repoa report of feb 15, 2013... why do they match? Au nisubiri ukae kwenye PC?
 
Kwanza nianze kwa kusema, huwa ninasikitika sana kuona mwanaJF anapata hukumu kwa kukiuka taratibu na sheria za JF. Nani amekuambia kama mimi ni Mwigulu. Mimi ni MwanaDiwani. Naomba uondoe hilo jina kwenye mwanzo wa post yako. Kukimbilia kutafuta real ID's za wanaJF ni dalili mojawapo ya kukosa hoja na kutafuta personal attack.

Pili, Mbona unaanza kunitafutia majibu?. Mbona unaanza Pre-emptive strike and defence?.

Jamiiforums is Where we Dare to Talk Openly! Weka hapa hizo audio au documents kwanza kabla hatujaingia kifikra pevu kwenye hoja zako ili uisaidie hoja yako kusimama na pia uwasaidie wanaJF wengine. Achana na hoja za kusema nitasema hiki au kile kabla hata ya kile unadai kipo hujakiweka juu ya meza.

Rasimu mbadala haiwezi kuwa ni kipande cha karatasi kimoja bali lazima iwe na kurasa za karatasi ya A4 zaidi ya makumi kama siyo mamia.

Naliondoa jina kwa heshima ya jukwaa.

Kuhusu audio clips - rejea jinsi nilivyouliza swali. Nimeuliza - nikiziweka, utasema ni za kuchakachua?

Hoja nyingine haujajibu, na inawezekana ukakimbia, next time we see you, una hoja za picha za makada wa ccm wakishuka kwenye ndege ukijadili jinsi gani chama kinakata mbuga.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Watetea serikali tatu hawataki kuyajibu maswali ya msingi kama haya uliyoyauliza wakati wanadai moja ya attribute ya serikali tatu ni uwazi wa mambo katika utendaji lakini badala yake wanachofanya ni kuanza kukuuliza tena utendaji wa serikali mbili wakati wao wenyewe wanadai haufai kwa maana kuwa wanaufahamu vizuri.

Nitashangaa kama mtu atadai kitu fulani hakifai na akakupa kile ana uhakika kinafaa halafu ukimuuliza kinafaa kivipi badala ya kukueleza anaanza tena kukuuliza manufaa ya kile aichokuambia hakifai.
Unakumbuka niliwahi kukuuliza maswali kama haya kwa S2 ukasema uzi wako unahusu serikali 3. Leo unauliza kitu kile kile.
Ngoja tutulie halafu tukujibu kwasababu S3 ina majibu, S2 haina kwa miaka 50. Ina majibu kwa matusi dhidi ya tume.

Hata hivyo nikupe dondoo kidogo.
Tunapoongelea serikali 3 tuna maana kuna mbili za washirika, na federal gov.
Fed imeelezwa itakuwa na wizara 7 ambazo kimsingi ni kama 5 kutokana na mwingiliano wa shughuli.

Washirika wataamua namna ya kuunda serikali zao na hilo si jukumu la nchi nzima ni la washirika.
Kwa mfano, sasa hivi BLW lina wajumbe 50. Hilo halihusu Tanganyika.

Kama znz itaamua kuwa na wizara kila mtaa ni juu yao na kama Tanganyika itaamua kuwa na wizar 700 ni juu yao.Kitu cha muhimu ni wizara tunazoshirikiana ambazo ni 7.

Hapa ndipo kunaingia kitu kinaitwa fiscal autonomy. Kwasasa znz wanayo, Tanganyika haina ndio maana unaona mambo kama rahisi bila kufikiria kuwa Tanganyika imenyimwa fursa ya kuamua hatima yake na fursa yake imekuwa ya znz na hivyo haina uwezo wa kuamua mambo yake.

Hivyo kusema serikali 3 zitakuwa na wizara 90 au 100 ni njia ya kupotosha watu wasiojua nini maana ya fiscal autonomy.

Wizara ni 7 tu chache kuliko 22 za sasa.
Hivi huoni namba zinavyosema zenyewe bila kusukumiza upotoshaji.

Hayo mengine nitarudi kwasababu S3 ina majibu, S2 hawana. Nikimaliza kukujibu nawe unijibu maswali yangu uliyokimbia katika uzi wako mwenyewe kwa kisingizio cha tunajadili 3.
 
Tume imeeleza kuwa hoja ya mkataba haikuweza kutetewa na wahusika. Kama ujuavyo mwasisi wa hoja Maalim na mwenzake Ahmed Rajab hawajaweza kutetea suese mvuvi wa samaki.

Hotuba ya kikwete haikuwa katika kutafsiri takwimu. Ilikuwa kutafuta vifungu vya takwimu vinavyoweza kumtia hatiani Warioba ili atukanwe vilivyo. Hilo amefanikiwa. Kinachosikitisha ni kuwa kilichopo midomoni na akilini mwa wananchi ni hotuba ya Warioba kwasababu ina 'subsatnce' ile ya mwenyekiti ni hocus pocus Kobello.

Warioba hana conclusion, Mchambuzi amekueleza ni indicator za kufanyia kazi. Wenye conclusion ni wananchi.
Hilo lingewezekana kwa wananchi kupewa fursa ya kuangalia rasimu na ku prove kuwa ni wrong au right.
CCM wameogopa wanataka kutengeneza rasimu yao ikiwa na sample ya watu 400, tena wakiwa wamefungwa midkono na midomo kwa pamba.
Unajichanganya mno!
Kwa hiyo wa mkataba umewaweka kwenye 3-tier? Soma researc nyingine uone uwiano.

Kuhusu kikwete na Warioba, ninakuhakikishia kama ningedhani kuwa Warioba yupo right kwenye CONCLUSIONS ningemuunga mkono, mimi sipati faida yeyote zaidi ya kuusema ukweli kama ninavyouona. And Im free to do that.

Scientific method au wengine huita research au utafiti ina hatua zake tano. Na unapo-collect data unaelezea hizo data Zinatuambia nini. Hii hatua huitwa conclusion. Yaani baada ya kukusanya maoni, na kuyaorodhesha kitakwimu akaja na conlusion kuwa wengi walitaka S3.
Wananchi hawafanyi conclussion bali wanahalalisha conclusions kwa kupiga kura. Walichofanya JK na Warioba ni kutofautiana kwenye conclussions juu ya data zilezile.
Elewa hilo kwanza.
 
Watetea serikali tatu hawataki kuyajibu maswali ya msingi kama haya uliyoyauliza wakati wanadai moja ya attribute ya serikali tatu ni uwazi wa mambo katika utendaji lakini badala yake wanachofanya ni kuanza kukuuliza tena utendaji wa serikali mbili wakati wao wenyewe wanadai haufai kwa maana kuwa wanaufahamu vizuri.

Nitashangaa kama mtu atadai kitu fulani hakifai na akakupa kile ana uhakika kinafaa halafu ukimuuliza kinafaa kivipi badala ya kukueleza anaanza tena kukuuliza manufaa ya kile aichokuambia hakifai.

Tunashukuru hatimaye umekuja kwenye mjadala licha ya sisi kukualika kwenye mijadala mingi inayohusu gharama za serikali mbili vis a vis tatu. Ni dhahiri sasa tumewakamata vibaya - mnaua chama chetu CCM kwa uroho wa madaraka, na pia muungano. Mnafanya mambo ya kijinga na kuacha ya maana. Hakuna lililo la kijinga kama hili la maboresho ya ccm. Mwalimu Nyerere coined this phrase - ya kijinga na ya maana, na sasa tunaona alikuwa ana maana gani.

Jana Jaji Warioba kaeleza vizuri sana wasaliti wa Nyerere na nani na kwa nini. Ulimsikia upo ulipo?

Sasa mjiandae na hoja yetu juu ya kwanini serikali mbili ni gharama kuliko serikali tatu. Tunaandaa uzi mahususi kabisa juu ya hilo. Tukiwaalika msikimbie.

For now juu ya gharama, jibu hoja nilizojadili kwenye bandiko la huko nyuma ambalo niliku "cc".


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Unajichanganya mno!
Kwa hiyo wa mkataba umewaweka kwenye 3-tier? Soma researc nyingine uone uwiano.

Kuhusu kikwete na Warioba, ninakuhakikishia kama ningedhani kuwa Warioba yupo right kwenye CONCLUSIONS ningemuunga mkono, mimi sipati faida yeyote zaidi ya kuusema ukweli kama ninavyouona. And Im free to do that.

Scientific method au wengine huita research au utafiti ina hatua zake tano. Na unapo-collect data unaelezea hizo data Zinatuambia nini. Hii hatua huitwa conclusion. Yaani baada ya kukusanya maoni, na kuyaorodhesha kitakwimu akaja na conlusion kuwa wengi walitaka S3.
Wananchi hawafanyi conclussion bali wanahalalisha conclusions kwa kupiga kura. Walichofanya JK na Warioba ni kutofautiana kwenye conclussions juu ya data zilezile.
Elewa hilo kwanza.
Wananchi hawahalalishi.
Kenya walipogomea katiba hawakuhalalisha, unless uniambie maana ya kuhalalisha ni tofauti na tuanyoijua.

Wananchi hawapo kama mhuri, wapo kuamua kama rasimu inawafaa au la.
Kwavile kuna kuamua hakuna suala la uhalali. Wakishaamaua ndipo uhalali unapataikana, si kabla wakati wa kura ya maoni
Unaposema uhalali una maana kutoa ridhaa 'legit'. Hili mnalitumia sana CCM hata pasipohusika.

Narudia referendum haina maana ya uhalali. Ina maana ya 'decision bro'
 
Haya mkuu.
Mimi sibishani bure namasnisha ujue NIPO HAPA KUIKOMBOA TANGANUIKA na kama si kuvunja Muungano huu wa mahayawani.
Hii nchi siyo yako peke yako.
Ukileta fujo utachezea kibano, hatutaki fujo sisi.
 
Wananchi hawahalalishi.
Kenya walipogomea katiba hawakuhalalisha, unless uniambie maana ya kuhalalisha ni tofauti na tuanyoijua.

Wananchi hawapo kama mhuri, wapo kuamua kama rasimu inawafaa au la.
Kwavile kuna kuamua hakuna suala la uhalali. Wakishamaua ndipo uhalali unapataikana, si kabla wakati wa kura ya maoni
Unaposema uhalali una maana kutoa ridhaa 'legit'. Hili mnalitumia sana CCM hata pasipohusika.

Narudia referendum haina maana ya uhalali. Ina maana ya 'decision bro'
Unapoteza muda kwa kuleta siasa. Kuhalalisha ni process tu. Half full or half empty .. you choose.
Mimi sijamaanisha kama wananchi ni muhuri, naishi nchi ya kidemokrasia kuliko unayoishi wewe, so I know what I'm talking about.

Tukijadiliana kwa wewe kunipa heshima kama mtu anayefahamu (hata kama si mfahamu) kutachochea kujifunza. Na ninaamini ndicho alichotaka Mchambuzi .... alisema, tusemezane.
Usijaribu kunifundisha, tujadiliane.
 
MwanaDiwani,

Kwanini haujibu maswali niliyokuuliza humu?

Pia naomba nisikie mtazamo wako wa hoja zangu on posts #3 and #108 . Hizi zinasaidia mimi na wewe na wengine humu to build momentum ya mjadala wa gharama. Nasubiria maoni yako. Usikimbie.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Again these are bunch of jiber jabber political antics nikuulize maswali yafuatayo uyajumuishe katika analysis yako :-
a. How many ministries will there be in the country (I mean the entire goverment of the federal government (Tanganyika, Zanzibar na Union).
b. What will be the distribution of revenue kati ya Tanganyika and Zanzibar ndani ya serikali 3.
c. The impact of revenue allocation katika mapato ya serikali ya Tanganyika na Zanzibar ni kwa kiwango gani?
d. Gharama za uendeshaji wa serikali zote tatu kwa ujumla na mgawanyiko wake kutoka hazina zote tatu.
e. Economic cost za jamii kwa mfumo unaopendekeza ukilinganisha na serikali 1, 2, na 3.
I am waiting......
Mdondoaji, ulivyoanza nimedhani niko ndani ya Bunge Maalum La Katiba! Huko ndipo watu badala ya kujadili hoja kama zilivyowasilishwa mbele yao na Tume, wamejikita katika mipasho, kejeli na matusi. Naomba na mimi nikuuulize; ni wapi pahala muafaka unadhani haya maswali yako yangefaa yaulizwe na majibu kutolewa? Nitakujibu; ni ndani ya Bunge Maalum La Katiba. Je ni kwa nini hili halikutokea? Nitakusaidia tena; ni kwa sababu hilo bunge limetekwa nyara na watu ambao lengo lao kubwa ni kuhakikisha maoni ya wananchi kupitia Tume yanapuuzwa, watu ambao kwa mtizamo wao rasimu imewatia hofu na watu ambao usalama wa maslahi yao yanalindwa ndani ya mfumo wa serikali mbili.

Mdondoaji
, kusema kweli wengi wanaounga mkono rasimu kama ilivyotolewa na Tume ni watu ambao mwanzoni walikuwa na imani kubwa kuwa siku moja tutafanikiwa kuwa na Muungano wa kweli, wa nchi moja, Tanzania. Tuliamini kuwa iko siku tutaweza kusahau tofauti zetu na kutanguliza utaifa wetu (Utanzania) na kwamba mfumo wa serikali mbili ulikuwa ni wa mpito tu kuelekea serikali moja. Waasisi waliweka msingi na tuliamini kwa pamoja tutaendeleza ujenzi, tofali kwa tofali, hadi nyumba ikamilike! Ambacho hatukujua ni kwamba in reality we were living a lie kwani ingawa nyufa zilianza kuonekeana toka mapema kabisa, tuliziba macho...wishing them to go away and they never did!

Mdondoaji, siku zilivyosogea ndivyo na nyufa zilivyozidi kujitokeza bila jitihada zozote za dhati kufanyika kurekebisha hali hiyo zaidi ya kuzipaka rangi zionekane kama vile zimeboreshwa. Mwaka 2010 upande moja katika Muungano ukaamua kuubomoa msingi wa Muungano kwa kuanzisha nchi ndani ya nchi, kitendo ambacho hakikubaliki kabisa katika nchi inayoendeshwa kwa kufuata sheria. Kwa miaka karibu mitano tuna chama tawala kimoja, serikali mbili na nchi mbili; nchi moja inaitwa Tanzania na nchi nyingine inaitwa Zanzibar. Ingawa nchi mbili zilizoungana mwaka 1964 ni Tanganyika na Zanzibar, ajabu ni kwamba kwa sasa tunazo nchi mbili, Tanzania na Zanzibar!

Mdondoaji, Tume ilitembea nchi nzima ikikusanya maoni ya wananchi na hakuna ushahidi wowote kwamba wana CCM ama walibaguliwa au maoni yao hayakuzingatiwa. Je huu msimamo wa CCM kuhusu serikali mbili ulipatikanaje? Na wao waliunda tume yao ama ni viongozi wachache tu walijifungia wakatunga rasimu mbadala?

pc61.jpg


Akizindua Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliyoiunda yeye mwenyewe siku ya Ijumaa, Aprili 6 mwaka 2012 , Raisi Kikwete aliitaka Tume kukusanya maoni ya wananchi kwa ajili ya mchakato wa kuunda Katiba mpya. Lakini siku akizindua Bunge Maalum La Katiba baada ya Mwenyekiti wa Tume kuwasilisha rasimu, Raisi huyo huyo alishambulia mapendekezo ya Tume akiapa serikali tatu haitawezekana "under his watch!"

Swali linalojitokeza hapa ni kwa nini Tume iliundwa? Hili swali nalo linazua swali, kwa nini Bunge Maalum La Katiba nalo liliundwa? Ningetegemea kwamba kazi ambayo ilitakiwa ifanywe na Bunge hili ni kujadili rasimu na kutafuta ufafanuzi pale ambapo kuna maswali kama haya uliyouliza Mdondoaji! Mtu au watu wa kutoa ufafanuzi ni wale waliohoji wananchi na kupata maoni yao nao ni Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Lakini kwa unafiki, wajumbe wa BMLK kutoka CCM, wameamua kuunga mkono msimamo wa Raisi badala ya msimamo wa wananchi. Nachelea kusema kuwa kama Raisi angeunga mkono rasimu, hao hao wanaombeza Jaji Warioba leo wangekuwa wanampigia makofi wakimsifia.

Mdondoaji, kuna sehemu umetoa eti unazoita takwimu kuhusu gharama za kuendesha serikali kwa kuzingatia bajeti zetu za sasa, My God! Ubadhirifu uliomo na unaodhihirika siku hadi siku ndani ya uendeshaji wa serikali naweza kusema bila kumung'unya maneno kwamba ni matokeo ya mkanganyiko uliotanda katika utekelezaji. Mfumo wa serikali mbili umeruhusu na kusababisha ubadhirifu mkubwa kwa ukosefu wa uwajibikaji; nani anamsimamia nani ndani ya serikali ya Tanganyika (Tanzania bara) iliyojivika koti la Muungano? Kwa mtindo huu ufanisi utawezekanaje? Mfano mzuri tu ni bajeti ya Waziri Mkuu, ni wapi mambo ya Muungano yanapoishia na yale yasiyo ya Muungano yanapoanzia?

Namalizia kwa kusema laiti Bunge Maalum la Katiba lingekuwa na nia njema ya kutupatia katiba mpya, lingejikita katika kujadili mapendekezo yaliyotolewa na Tume na kutafuta ufafanuzi kutoka kwa wahusika inapobidi. Lakini kwa kutanguliza maslahi ya chama mbele ya Taifa, CCM haitutakii mema sisi wananchi tuliotoa maoni kupitia tume ambayo kwa bahati mbaya CCM wanaiita Tume ya Warioba. Tume hii ama ilitakiwa iwe sehemu ya hili Bunge Maalum la Katiba au iwe tayari kuitwa kwa mahojiano wakati wowote utata unapojitokeza kuhusu mapendekezo waliyoyatoa. Kumsulubu Warioba bila kumpa nafasi ya kujitetea ndani ya BMLK ni njama za kuteka haki ya wananchi.
 
M-Wigulu=Mwana(mbunge)...

Tunataka muungano wenye ridhaa kutoka pande 2 za muungano, na si kuwatumia wasakatonge MAKADA wanaofikiria matumbo yao badala ya wananchi wao...
 
Hii nchi siyo yako peke yako.
Ukileta fujo utachezea kibano, hatutaki fujo sisi.

Sipo pekeyangu. Sisi Serikali 3 tupo 51% including JWTZ, TIS (spelling) Rais Kikwete, Membe, Prof.Muhongo, Prof.Shivji, Mwakyembe na Sita ila wanamugopa Lowasa pamoja na uroho wa pesa kwa hao akina prof's. Serikali 2 mupo 21% na wanaobaki 28 hawaegemei upande wowote.
Home
au google afrobarometer series 5. Tanzania constitution reviews.

Kama luga shida rudi shule.
 
Mie nadhani kwanza kabisa ili kuweka sawa hili suala la gharama kwanza tungepata kujua

1.Gharama halisi ni ngapi sasa hiivi za kuendesha wizara za mambo ya muungano?
2.Jee bunge tarajiwa la muungano litakuwa na wabunge wangapi na gharama zake
3.jee mapato kutoka vyanzo vya muungano kama visa,simu na mawasiliano,licence za viwanda,bima , ma benki?viwanja vya ndege,posta,faini za polisi,licence za madini na gas nk nk hizi zinatupatia kiasi gani kwenye hazina?
4.sasa hivi tuna TRA na ZRB , itachotakiwa ni kuundwa Revenue ya Tanganyika na wakusanyr kodi zao kama wafanyavyo ZRB.
Tukijua makusanyo ya kodi kwenye vyanzo hivyo vya muungano tutapata jawabu juu ya gharama na matumizi.
Naamini vyanzo hivyo mapato yake ni ziada kabisa ya gharama ya kuindesha.
Na kuhusu bunge la muangano kimuundo litakuwa dogo na halitakua na wajumbe kutoka majimbo ya sasa ..tume imeweka wazi suala hili.
Gharama sio issue tumekua tukiendesha hizi S2 bila ya kuangalia gharama na bila ya kuangalia nani analipa nini. Hivyo muhimu ni nia tu .tukiamua tunaweza tuwache woga wa kisiasa mabadiliko ni sehemu ya maendeleo na lengo la S3 ni kuona nchi zetu zinapiga maendeleo kuwa na uwajibikaji.
Tukiamua tutaweza na muungano huu utadumu zaidi na kuwa imara zaidi.
Utaondoa kutoaminiana na kelele za kumezwa kwa znz.
S3 pekee ndio utatoa uhakika kuendelea kuwalo muungano kama chama chochote kile kitaongoza nchii hii.
S2 itakuja kupata dhoruba siku chama chochote kikishika madaraka.
Huu ni wakati muhimu kurekebisha makosa yaliyofanywa nyuma na kuufanya huu muungano ni kama wa kichama.
 
Umekosa majibu kwa swali langu la msingi kabisa juu ya framework unayotumia ku analyse and arrive kwenye hitimisho kwamba serikali moja ni gharama nafuu kuliko tatu. Nimekuelimisha how and what you need to do before arriving to any conclusion, unaita haya ni political antics.
Maana ya antics ni "foolish or outrageous". Inawezekana ukawa sahihi lakini najua wapo wanaoelewa naeleza nini, na wanaona jinsi gani unakimbia hoja ya msingi.

Kukimbilia wizara zipo ngani, zitakuwa ngapi, ni low thinking kwani kabla ya kujadili wizara, lazima ujue unataka ku achieve nini, na pia central gvnt itakuwa efficient katika mambo yepi na the two constituent parts zitakuwa efficient na sehemu zipi na kukusanya na kutumia kwa faida ya wananchi. Nimeelezea haya huko juu, masuala ambayo yakipatiwa majibu ndio suala la wizara, idara, yanakuja, unaita hizi ni foolish political arguments.

Mfumo wetu unahitaji a major ovehaul - mfumo wa public finance. Na hili linajadiliwa hata kwenye academic and donor cycles. Mfumo wetu wa bajeti ni mbovu, upo structured kuhudumia siasa kuliko uchumi na jamii. Huko juu nimegusia kidogo what can be done kusogeza serikali kwa wananchi, kwa kuwa na constituent political units with fiscal autonomy, huku central government ikikabiliana na maeneo machache ambayo ipo more competent. Unaita haya ni "foolishness".

Hauwezi jenga hoja kwamba serikali moja, mbili au tatu ni nafuu kwa kwenda kuchimba content ya bajeti kama unavyofanya. Inatakiwa uangalie mfumo mzima wa public finance, and intergovernmental fiscal relationships. Nimekueleza kwamba haya yanahitaji kuwekwa in an analytical framework ambayo itasaidia kufikia conclusion mfumo upi ni nafuu. Nikakueleza kwamba naandaa uzi maalum, kwa sasa ntakupa tu highlights. You describe it as politically outrageous.

Let me tell you something - hauna uelewa na masuala ya uchumi, wala public finance. Mbaya zaidi, hauna interest ya kujifunza. Kama una uelewa basi ni wa kukaririshwa. Mjadala wa kuangalia bajeti ya sasa kama kigezo cha kujenga hoja kwamba hakuna pesa, hiyo mijadala ni yenu wachumi uchwara pamoja na kina mwigulu. Matatizo mliyoyajenga kimfumo mnayalazimisha yawe kikwazo kwetu sote.

Nikimaliza uzi wangu juu ya kwanini serikali tatu ni nafuu, ntakualika uje. Na kama utakavyoona, suala la bajeti litakuwa ni suala very marginal. At the centre nitajadili serikali ipi katika ya ile kuu na shiriki zipo more competent in allocation, distribution and macro economic stability. Haya ndio yana determine muundo wa public finance, gharama kwa mwananchi, na hatimaye bajeti.

Until then, let me remain foolish.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


Mchambuzi,

Asante kwa hayo yote nimekuambia kuwa ukitaka kujadili lete numbers. Economist tunasema no research no right to speak. Kakokotoe number zilete mie sikukuletea number nikazibandika nimekuambia hizi gharama zinazokuwa kila siku serikali kwa serikali mbili hazina umuhimu wala mantiki katika uchumi wa Tanzania. Intergovernmental fiscal relationship inatakiwa tuitoe na instead na uniform fiscal structure. Na hilo tunaweza kuwa nalo tutakapoanza kukubaliana kimsingi nini tunataka kuachive katika uchumi wetu. Tunapotengeneza uniform tarrifs, economic zone, etc we can achieve an economic union inayojumuisha interest za Tanganyika na Zanzibar. Hivyo tunakuwa uchumi shirikishi wa pamoja. Vile vile tunaweza kuhamia katika monetary union tukaweza kuharmonize policies zetu na eventually kuwa na economic union. Serikali tatu hayo nayokueleza hayataweza kufanikiwa unless tuwe na serikali ya muungano yenye mamlaka makubwa kuliko Serikali shirikishi.

Na hilo nyie wanasiasa hamlitaki mnataka zaidi kutetea maslahi ya nafasi zenu na fursa za kutafuna kodi zetu. Binafsi sijaona hoja ya mantiki unayojenga na nasubiri kwa hamu mada yako ya Serikali 3. Na sitaiona mada ya maana kama hujaja na numbers ambazo ni realistic kuniconvince 3 ni bora zaidi ya serikali moja.

By the way usidhani unajadiliana na asiyejua uchumi nina PhD ya uchumi na Degree za uchumi ya kwanza na ya pili. Na pia nina degree ya uanasheria ingawa lakini siutumii. Vile vile PhD yangu sikuipata kwa maprofessa wenu uchwara bali nimeipata kwa nobel laureate wa economics kwahiyo I am very keen to what I speak and write and discuss.

All the best Mchambuzi looking forward.
 
Mdondoaji, ulivyoanza nimedhani niko ndani ya Bunge Maalum La Katiba! Huko ndipo watu badala ya kujadili hoja kama zilivyowasilishwa mbele yao na Tume, wamejikita katika mipasho, kejeli na matusi. Naomba na mimi nikuuulize; ni wapi pahala muafaka unadhani haya maswali yako yangefaa yaulizwe na majibu kutolewa? Nitakujibu; ni ndani ya Bunge Maalum La Katiba. Je ni kwa nini hili halikutokea? Nitakusaidia tena; ni kwa sababu hilo bunge limetekwa nyara na watu ambao lengo lao kubwa ni kuhakikisha maoni ya wananchi kupitia Tume yanapuuzwa, watu ambao kwa mtizamo wao rasimu imewatia hofu na watu ambao usalama wa maslahi yao yanalindwa ndani ya mfumo wa serikali mbili.

Mdondoaji
, kusema kweli wengi wanaounga mkono rasimu kama ilivyotolewa na Tume ni watu ambao mwanzoni walikuwa na imani kubwa kuwa siku moja tutafanikiwa kuwa na Muungano wa kweli, wa nchi moja, Tanzania. Tuliamini kuwa iko siku tutaweza kusahau tofauti zetu na kutanguliza utaifa wetu (Utanzania) na kwamba mfumo wa serikali mbili ulikuwa ni wa mpito tu kuelekea serikali moja. Waasisi waliweka msingi na tuliamini kwa pamoja tutaendeleza ujenzi, tofali kwa tofali, hadi nyumba ikamilike! Ambacho hatukujua ni kwamba in reality we were living a lie kwani ingawa nyufa zilianza kuonekeana toka mapema kabisa, tuliziba macho...wishing them to go away and they never did!

Mdondoaji, siku zilivyosogea ndivyo na nyufa zilivyozidi kujitokeza bila jitihada zozote za dhati kufanyika kurekebisha hali hiyo zaidi ya kuzipaka rangi zionekane kama vile zimeboreshwa. Mwaka 2010 upande moja katika Muungano ukaamua kuubomoa msingi wa Muungano kwa kuanzisha nchi ndani ya nchi, kitendo ambacho hakikubaliki kabisa katika nchi inayoendeshwa kwa kufuata sheria. Kwa miaka karibu mitano tuna chama tawala kimoja, serikali mbili na nchi mbili; nchi moja inaitwa Tanzania na nchi nyingine inaitwa Zanzibar. Ingawa nchi mbili zilizoungana mwaka 1964 ni Tanganyika na Zanzibar, ajabu ni kwamba kwa sasa tunazo nchi mbili, Tanzania na Zanzibar!

Mdondoaji, Tume ilitembea nchi nzima ikikusanya maoni ya wananchi na hakuna ushahidi wowote kwamba wana CCM ama walibaguliwa au maoni yao hayakuzingatiwa. Je huu msimamo wa CCM kuhusu serikali mbili ulipatikanaje? Na wao waliunda tume yao ama ni viongozi wachache tu walijifungia wakatunga rasimu mbadala?

pc61.jpg


Akizindua Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliyoiunda yeye mwenyewe siku ya Ijumaa, Aprili 6 mwaka 2012 , Raisi Kikwete aliitaka Tume kukusanya maoni ya wananchi kwa ajili ya mchakato wa kuunda Katiba mpya. Lakini siku akizindua Bunge Maalum La Katiba baada ya Mwenyekiti wa Tume kuwasilisha rasimu, Raisi huyo huyo alishambulia mapendekezo ya Tume akiapa serikali tatu haitawezekana "under his watch!"

Swali linalojitokeza hapa ni kwa nini Tume iliundwa? Hili swali nalo linazua swali, kwa nini Bunge Maalum La Katiba nalo liliundwa? Ningetegemea kwamba kazi ambayo ilitakiwa ifanywe na Bunge hili ni kujadili rasimu na kutafuta ufafanuzi pale ambapo kuna maswali kama haya uliyouliza Mdondoaji! Mtu au watu wa kutoa ufafanuzi ni wale waliohoji wananchi na kupata maoni yao nao ni Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Lakini kwa unafiki, wajumbe wa BMLK kutoka CCM, wameamua kuunga mkono msimamo wa Raisi badala ya msimamo wa wananchi. Nachelea kusema kuwa kama Raisi angeunga mkono rasimu, hao hao wanaombeza Jaji Warioba leo wangekuwa wanampigia makofi wakimsifia.

Mdondoaji, kuna sehemu umetoa eti unazoita takwimu kuhusu gharama za kuendesha serikali kwa kuzingatia bajeti zetu za sasa, My God! Ubadhirifu uliomo na unaodhihirika siku hadi siku ndani ya uendeshaji wa serikali naweza kusema bila kumung'unya maneno kwamba ni matokeo ya mkanganyiko uliotanda katika utekelezaji. Mfumo wa serikali mbili umeruhusu na kusababisha ubadhirifu mkubwa kwa ukosefu wa uwajibikaji; nani anamsimamia nani ndani ya serikali ya Tanganyika (Tanzania bara) iliyojivika koti la Muungano? Kwa mtindo huu ufanisi utawezekanaje? Mfano mzuri tu ni bajeti ya Waziri Mkuu, ni wapi mambo ya Muungano yanapoishia na yale yasiyo ya Muungano yanapoanzia?

Namalizia kwa kusema laiti Bunge Maalum la Katiba lingekuwa na nia njema ya kutupatia katiba mpya, lingejikita katika kujadili mapendekezo yaliyotolewa na Tume na kutafuta ufafanuzi kutoka kwa wahusika inapobidi. Lakini kwa kutanguliza maslahi ya chama mbele ya Taifa, CCM haitutakii mema sisi wananchi tuliotoa maoni kupitia tume ambayo kwa bahati mbaya CCM wanaiita Tume ya Warioba. Tume hii ama ilitakiwa iwe sehemu ya hili Bunge Maalum la Katiba au iwe tayari kuitwa kwa mahojiano wakati wowote utata unapojitokeza kuhusu mapendekezo waliyoyatoa. Kumsulubu Warioba bila kumpa nafasi ya kujitetea ndani ya BMLK ni njama za kuteka haki ya wananchi.

Mag3,

Kwanza nikuambie kitu kama umenisoma zamani nilikuwa mtetezi mkubwa wa wazanzibari kwasababu niliamini kuna genuine reason kwa wao kulalamika wanayofanyiwa ndani ya muungano. Ila nilipokuja kugundua what lies behind it nikagundua ndani ya wazanzibar wanapigania zanzibar kwa sababu hawajapata fursa za kula na kuishi maisha wanayoishi wenzao. Ndipo nikaanza kuwa na shaka na malalamiko ya wazanzibari.

Muungano una matatizo mengi sana ambayo kimsingi yanahitaji kujadiliwa na ila kiundani yote haya ukiyaangalia hayatokani na muungano ila kuharibika kwa mfumo wa utendaji wenye kuboresha hali ya mtanzania. Kama ukichunguza kiundani kero zinazoitwa kero za muungano zilianza baada ya kufariki kwa Rais Karume senior (Abeid Amani Karume). Wakati kabla yake yeye hakukuwa na hizo zinazoitwa kero za muungano. Vile vile hali ilikuwa hivyo kwa Tanganyika. Sasa kipindi cha Karume shule ilikuwa bure, afya bure hadi nyumba bure (mfano majumba ya michenzani, kilimani na pemba). Sasa utagundua muungano is not a problem but rather it is the systemic failure of the government to provide to her citizen ndio kichocheo cha kelele zote hizi.

Sijakaataa ufisadi ni mkubwa sana serikalini. In fact CAG report ya mwaka jana kama sijakosea zaidi ya Trillioni 1 zimekuwa zitafunwa kwa njia za panya ambazo ni mianya ya ufisadi. Hata hivyo phenomena hiyo ipo pia Zanzibar ambapo ukiangalia kama Tanganyika asilimia kubwa ya budget ya Zanzibar inaenda kuhudumia serikali na kiwango kidogo sana kinaenda katika shughuli za maendeleo. Hivyo mwarobaini wa haya yote ni kuwa na mfumo mmoja ambao unaweza kuyaangalia yote na kutengeneza usimamizi mzuri wa kudhibiti matumizi ya serikali na mapato yake.

Vile vile serikali moja itatusaidia kupunguza mzigo wa gharama wa serikali. Badala ya kuwa na serikali mbili na wananchi wakabeba mlundo wa kodi, ndani ya serikali moja mlundikano wa kodi utapungua na kusaidia kuongeza disponsable income kwa mtanzania. Badala yake mnataka tuongeze serikali ziwe tatu na hizi serikali eventually zije kumkamua mtanzania huyo azidi kuwa maskini sasa mnamsaidia au mnammaliza?????
 
Mag3,

Pia simuungi warioba kwenye Takwimu tu kwasababu takwimu zake haziko kisayansi zina ukakasi mwingi sana moja wapo ni uamuzi wa kuchukua watoa maoni 47,000 na kuacha watoa maoni 300,000 na kudai hao ndio waliotoa maoni ya muundo ni ukakasi. Labda tumuulize maswali yafuatayo:-
a. Amejuaje wale wasiotoa maoni hawakufikiria kuhusu muungano na pengine waliona sawa muundo huo uendelee.
b. Amefanya uhakiki gani (significance test) kuonyesha kuwa hao 47,000 wanawakilisha 300,000 au la?
c. Kama hawakuzungumzia muungano what does that imply? Kwa maana nyengine labda muungano hauna umuhimu.

Solution ya hili ni kuleta kura ya maoni (referendum) tuamue na wazanzibari waamue na kuanzia hapo ndio tujadili huo muundo wananchi wanaoutaka. Vyenginevyo hamna statistics pale ni usanii tu! I am sorry to say that na ndio maana naungana na Kobello wengi wenu Statistics hamzijui mnabakia kuleta siasa tu na ndio hivyo hivyo pia mjadala upo hata katika majukwaa ya siasa ambapo wanasiasa ndio wanajua kila kitu wakati sio!
 
Sipo pekeyangu. Sisi Serikali 3 tupo 51% including JWTZ, TIS (spelling) Rais Kikwete, Membe, Prof.Muhongo, Prof.Shivji, Mwakyembe na Sita ila wanamugopa Lowasa pamoja na uroho wa pesa kwa hao akina prof's. Serikali 2 mupo 21% na wanaobaki 28 hawaegemei upande wowote.
Home
au google afrobarometer series 5. Tanzania constitution reviews.

Kama luga shida rudi shule.
Hata kiswahili huwezi kuongea.
http://www.afrobarometer.org/files/documents/media_briefing/tan_r5_mediabriefing.pdf
ukurasa wa 21. Asilimia 14 wanataka serikali tatu.
 
Tatizo ni hotuba zilizojaa emotions.
Ukiuliza maswali najibu, halafu yanaishia hapo hapo. Mpaka sasa hivi hamjaonyesha legitimacy ya conclusions za Warioba, mapiga kelele na maandishi mengi ambayo hata watu wengi wanashindwa kuelewa.

Kama lengo ni kueleweshana, twende taratibu aya kwa aya, issue kwa issue bila kuchukizwa na msimamo wa mtu. Nikisema conclussions za Warioba ziko flawed, nimeonyesha ni kwanini.

Nikaambiwa mbona zake zinafanana na Afrobarometer? ... nikaleta link ya Afrobarometer inayoonyesha 14% ndiyo wanaotaka serikali 3 according to the same Afrobarometer.

Mimi nakubali kuwa, watanzania wanaotaka serikali 3 wanaongezeka kwa kasi kutokana na propaganda zinazoendelea zikichangiwa na ubovu wa mfumo wa serikali mbili.

Hata hivyo, bado takwimu za tume ya katiba hazitupi conclussion hiyo, msilazimishe.

Mwisho kabisa, na muhimu kwa sasa hivi, ni wewe kunielezea Carrot ni ipi na Stick ni ipi kwa serikali ya muungano kama ilivyopendekezwa. La sivyo, hiyo serikali itakuwa ni one of the biggest bureaucratic monster that has no meaning apart from symbolism.

Ichallenge you to show me the carrot and the stick.

Tafsiri ya warioba iko flawed,

Mie nilijaribu kufanya univariate test ya figures zote alizoziweka kama vigezo vya watanzania wengi kutoa maoni ya serikali 3 nikakuta majibu ni vichekesho. Kuna tatizo katika takwimu na sikubaliani na tafsiri ya Warioba.
 
Back
Top Bottom