blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
Nawewe lete udhibitisho kama siyo kweliacha propaganda za kitoto wewe,usitulishe matango poli wewe,lete udhibitisho hata kidogo km unachosema ni sshihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe lete udhibitisho kama siyo kweliacha propaganda za kitoto wewe,usitulishe matango poli wewe,lete udhibitisho hata kidogo km unachosema ni sshihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa nyingi anazopewa, huwa ni udaku. Anazifanyia kazi, anaishia kuwaumiza watu bila sababu.Hata wewe ungekuwa Magufuli usingetoka nje ya hicho maana ana taarifa nyingi kuhusu hilo jambo kuliko mwingine yeyote huenda hata kuliko Membe mwenyewe
Kisaikoloji wewe jamaa inaonyesha unajisikiaga sana alafu itakuwa una kebehi sana PUNGUZA!acha propaganda za kitoto wewe,usitulishe matango poli wewe,lete udhibitisho hata kidogo km unachosema ni sshihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umezaliwa umeikuta utakufa utaiacha. Muulize babu wa babu yako kama yupo. CCM shall never die.CCM ilishakufa kitambo sana ! hadi mzee wa Watu kapata Kiharusi.
Jamaa wa kusini anatolewa uwanjani kwa nguvuBwana miwani anapiga penati! View attachment 1373684
Walikufa mafarao na kaisari, hata British Empire ilifikia ukomo na kifo eti ishindwe kufa CCM. Binadamu ana akili fupi sana.Umezaliwa umeikuta utakufa utaiacha. Muulize babu wa babu yako kama yupo. CCM shall never die.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!Kati ya wajumbe wote wa kamati kuu ni watu watatu tu pamoja na msemaji wao ndiyo waliounga mkono Membe kufukuzwa. Hata aliyeongoza Tume ya Maadili, yaani Mzee Philip Mangula alipinga Membe kuvuliwa uanachama wa chama hicho, imedokezwa.
Wajumbe wengi walipendekeza Benard Membe kufungiwa kufanya siasa ndani ya chama hicho kwa muda maalum kama adhabu mbadala ili kuepuka kukigawa chama.
Adhabu kama hiyo ndiyo alipewa Kinana ambaye hata hivyo haiwezi kumuathiri kwa lolote lile kwani alishaachana na mambo ya siasa. Adhabu hiyo mbadala ilipingwa kwa nguvu zote na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr. Bashiru Ally ambaye alisimamia Membe na Kinana kufukuzwa.
Taarifa zilizovuja ndani ya kamati hiyo zinadai kuwa wajumbe wa kikao hicho waliondoka bila ya kupata muafaka wa pamoja huku wababe wanne ambao walisimamia Membe kufukuzwa wakitoka na maamuzi yao.
My take: Upo uwezekano kuwa ndani ya CCM kuna mgogoro unaoendelea licha ya wachache kutuaminisha kuwa wanachama wake ni wamoja. Tusubiri tuone watakaoanza kuunga mkono msimamo wa Membe wazi wazi.
Taarifa zote huwa zinaanza kama udaku ndo maana waswahili wakasema "lisemalwo lipo, kama halipo laja".Taarifa nyingi anazopewa, huwa ni udaku. Anazifanyia kazi, anaishia kuwaumiza watu bila sababu.
Una maanisha CCM ni kama sisi tu?Ayo anayoyafanya Bashiru msimlaum ni maagizo ya Magufuli na hata yeye mwenyewe na Polepole hawakubaliani na kufukuzwa kwa Membe Ccm.
Tatizo liko wapi au mara ngapi Mbowe Mugabe anaanguka kifafa!Chama makini Mangula angeokotwa sakafuni ?
Basi CCM wamekaakaa!CCM ilishakufa kitambo sana ! hadi mzee wa Watu kapata Kiharusi.
Yeye na Chakubanga wanajiona ndiyo waasisi wa chama kumbe ni wa kuja tu.Bashiru atakuja kuumizwa na miamba ya CCM. Hata UDSM atafukuzwa akalime bamia. Huyu bwana anajisahau sana.
Aliuyestuka ni yule yuko ICUHapo ndo huwa naona CCM ina intelejensia ya hali ya juu. Kumwacha Membe ilikuwa hatari zaidi. Huenda Membe mwenyewe alitegemea angefungiwa ila hii ya kumfukuza ni kama imemshtua. Ndo maana kajikuta anaropoka vitu nje vya taaluma yake.
Hawa siku watakayoondolewa suruali zitaloa mkojo. Kwakweli wanajisahau sana. Wanagawa adhabu tu mpaka kwa waasisi na mapapa wa chama.Yeye na Chakubanga wanajiona ndiyo waasisi wa chama kumbe ni wa kuja tu.
Sent using Jamii Forums mobile app