Tetesi: CCM si wamoja, hamna siri. Kumbe kamati kuu yenu iligawanyika pakubwa kuhusu sakata la kufukuzwa Membe?

Ajabu huyo bashiru kakuta kina kinana wamekijenga chama kwashida yeye anaingizwa na kuleta misimamo yake ya tofauti na wakongwe wanaufyata...kweli waafrika hatuko conscious kabisa MTU ameponda misimamo ya chama several times wakati wao wakiitetea Leo kayabadilisha yooote yanampigia makofi na kumwogopa akiyakemea. Unafiki huu ndio unafanya nchi haiendelei hii Leo kijanaake Mtatiro wa Cuf anapeperusha Bendera wapambanaji wanazurura namanguo ya kijani mjini
 
Tangu lini mtu aliyesomea ds akawa na akili nzuri.politics ni sehemu ya maisha yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unataka akale wapi?
 
Mnatuchanganya. Si ninyi mlisema hoja haikusomwa ila ilitolewa mfukoni mwa mwenyekiti karatasi yenye maamuzi?
 
Jiwe hajiamini hata kidogo. Angekuwa anajiamini angempa adhabu angalau kama ya Kinana.
Angewaacha tu hata bila onyo, anayetaka kugombea agombee tu kwani si itafika wakati wa kupigiwa kura na yeye kwa vile ni 'kipenzi' cha wanachama wangemchagua tu na hao akina Membe & co wangeangukia pua na chama kubaki salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashiru nae keshaanza kuuota urais! Anajaribu kutengeneza njia yake binafsi.
 
2010 Shibuda alifukuzwa mbona maneno hayo hayakuwepo au yeye hakuwa binadamu?
Shibuda hakufukuzwa ccm
Bali ktk mchakato wa Kura za maoni za kuania nafas ya ubunge jina lake lilikatwa
Sikumbuki vizur na Kama lililudi basi ilikuwa nafas ya 3
Kwa hasira ya figisu aliyofanyiwa na jinsi anavyokubalika ndipo alipohamia chama Cha chadema na akashinda nafasi ya ubunge
Lakini HAKUFUKUZWA CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umezaliwa umeikuta utakufa utaiacha. Muulize babu wa babu yako kama yupo. CCM shall never die.

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ishakufa zamani - hata sisi wana CCM dormant hili tunalijua. ni polisi tu inayoifanya CCM iwepo. JK aliliona hili na alishatoa onyo zamani.

mnaowaita "mabeberu" wameishalitambua hili, ndiyo maana uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mgumu sana kwa CCM haijawahi tokea!
 
HII INAONYESHA DEMOCRASIA NDANI YA CCM!

CHADEMA MNAKWAMA WAPI? HUKU HAKUNA MAMBO YA "SUMU HAIRAMBWI"
 
Kanuni zinawaruhusu watu wanne kumfuta mwanachama ?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
HII INAONYESHA DEMOCRASIA NDANI YA CCM!
CHADEMA MNAKWAMA WAPI? HUKU HAKUNA MAMBO YA "SUMU HAIRAMBWI"
kwa kuongezea tu
Mleta Mada kadai kikao hakikufikia Muafaka wajumbe wa Kamati Kuu walitoka kila mtu na lwake
hiyo sio CHADEMA kila mtu na lwake
agenda inafubgwa mnaingia nyingine mwisho Katibu Itikadi na uenezi anaenda tangaza
sio baada ya Kikao Mwenyekiti anaitisha waandishi na kusema Kikao kimefikia Zitto afukuzwe
 
Hivi unaamini kuna mwana kamati atampinga Mwenyekiti wa CCM ndani ya vikao?
 
Utakufa na stress bure achana na Chama Dume wewe hutakiweza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…