Tetesi: CCM si wamoja, hamna siri. Kumbe kamati kuu yenu iligawanyika pakubwa kuhusu sakata la kufukuzwa Membe?

Suala la makundi ndani ya taasisi yoyote haliwezi kuisha. Ila commons objectives ndizo huwafanya kuwa wamoja.

1985 kuna watu walimtaka Salim A. Salim akiwamo "Mchonga" na kuna watu walimtaka Mzee Ruksa.

1995 Sio wote walimkubali BWM. Yet ndiye alipeperusha bendera.

2015 wakati kamati kuu imekula vichwa akina Kimbisa, Nchimbi na Sofia Simba walikataa uamuzi wa majina ya "mfukoni" kama alivyosema Prof. Mwandosya.

CDM akina Kutila, Msando na Mwigamba walitengeneza mkakati wa siri ili ZZK akamate usukani wa CDM. Waraka uliposhtukiwa wakatolewa nje.

Yanga na Simba kila siku kuna mivutano ya hapa na pale. Huo ndio ubinadamu.
Hata nyumba za ibaada sintofahamu zipo.

Ila watu matured ni wale wanaokabiliana na muvutano na mizozo huku taasisi ikiwa imara kutekeleza malengo yake.

Waslaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Mkuu:
Ni vyema ifahamike kwamba, maamuzi hutokana na fikra za mtu mmoja mmoja hadi kupelekea kutoa uamuzi. Lakini hitimisho halina uhusiano wa moja kwa moja na maamuzi binafsi.
 
Watu mnavyopenda kujiridhisha hamjambo,eti kwa habari zilizovuja mawee,kwani Membe lazima agombee uraisi akiwa CCM si aende chama chochote anang'ang'ania nini CCM ?yuko huru sasa hata kuanzisha SACCOS yake ambayo ataifanya kama yule mwenzake mwenyekiti wa maisha
 

Waondoke ccm wamuachie nani? Uamuzi wa kumfukuza Membe kwa sababu zisizoelezeka siyo wa ccm bali wa watu wachache wanaojaribu kujimilikisha chama kwa sababu zao wenyewe.
 

Ccm amuachie nani? Kwa mtaji huo mbona ccm itakuwa imebinafsishwa? Kwa maoni yangu, wacha Membe aondoke lakini wenye ccm yao hawana budi kurudisha chama kwa wenyewe.
 

Nadhani baadhi ambayo vyama vya siasa vinajifunza. Inaweza kuwa njia mojawapo ya kumdhibiti rais.
 
Endelea na tetesi na tetesi zako !ccm ni chama dola
Membe siyo wa kwanza kufukuzwa ccm
 
Mambo vipi Membe? Naona unahaha sana.
 
Mbona maisha ni magumu hadi tiba bei gali sana.vyakula pia mie hata sioni serikali inatusaidia vipi?
 

Uhadhiri na U-dokta kaweka pembeni kwa sasa hadi atoke ccm
 
Mbona maisha ni magumu hadi tiba bei gali sana.vyakula pia mie hata sioni serikali inatusaidia vipi?
Wewe cha msingi jihudumie pale unapoweza kama unaweza kunywa chai basi usisite kupata chai kama na chakula cha mchana basi wee kula tu alaf tukutane kijiweni kuisema serikali huku ukiwa uneshiba na kujihudumia unavyojiweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndo unapoona taarifa babaishi
Yan from the start to last word ni bla bla bla
Lete facts

By the way sisi tunataka upinzan ujengwe na wapinzan wnyw sio kurukia mipasho ya nyuma ya jiran,pilipili i shamba si yatuwashani????

Zitto alfukuzwa kwa utaratibu sahihi???

Anyway Ccm wakigombana sisi inatufaidisha vp,membe akifukuzwa sisi inatuongezea nn
Do u think itatuchangia kura wapinzan in election hata japo theluthi ya zile alzochagiza lowa.sa????
Unadhan membe huyu huyu tena atakuwa n kete ya ushindi kwetu???

TUJENGE UPINZAN, YA JIRAN MWACHIE JIRAN
KIZINGA CHA MOTO CHA NYUMBA YA PILI HAKIWASHI MOTO KIJIJI CHA SABA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtasubiri chama kuvurugika kama 2015 ilivyotegemewa baada ya yeye na mwenzake kukatwa katika kikao cha Halmashauri Kuu.

Katika kikao hicho wajumbe waliimba kuwa na imani na mmoja wa aliyekatwa, akahama chama na kupewa nafasi ya kugombea upande wa pili na bado chama kilibaki imara na kuibuka mshindi.

Huyo atasahulika mara tu baada ya uchaguzi mkuu, 2020. Baadaye ataomba radhi arudi kwenye chama kama subira na akili anazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…