Tetesi: CCM si wamoja, hamna siri. Kumbe kamati kuu yenu iligawanyika pakubwa kuhusu sakata la kufukuzwa Membe?

Story za kwenye kahawa hizi,Membe kishamaliza life lake CCM.Hiyo ishakuwa historia.Nani aliunga mkono nani hakuunga iy does dot matter,what matters is Membe kafukuzwa CCM.
Ngoja washangilie kuvurugika kwa CCM kwenye mitandao ya kijamii.
 
Nje ya CCM, mwanasiasa yeyote ni kama "samaki nje ya maji". Nguvu ya mamba pia ni ndani ya maji.
 
kufukuzwa sio inshu... subiri tusikie kauli yake na maamuzi juu ya kuendelea kufanya siasi au lah!
 
Ngoja washangilie kuvurugika kwa CCM kwenye mitandao ya kijamii.
Hapo ndo huwa wananishinda tabia hawa wapinzani,Yaani huwa namkumbuka sana Chacha Wangwe na ideas zake za kujenga chama.
 
Wacha weee G Sam mzee wa kuzichungulia newz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashiru atakuja kuumizwa na miamba ya CCM. Hata UDSM atafukuzwa akalime bamia. Huyu bwana anajisahau sana.
Afukuzwe kwa kosa gani alilofanya? Kuteuliwa na Rais ndiyo kumfukuzishe kazi?
 
Hapo ndo huwa wananishinda tabia hawa wapinzani,Yaani huwa namkumbuka sana Chacha Wangwe na ideas zake za kujenga chama.
Haya mpenzi, njoo tena na vijembe! Halafu kumbe ulinipiga vijembe? Sema mimi nikishaandikaga kitu nina uhakika nacho sirudi kujibizana! Leo napitia hili andiko nashangaa ulinipiga vijembe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…