Uchaguzi 2020 CCM sio kila hoja ni ya kupinga, namna nyingine ya kupinga hoja ni kuiboresha zaidi

Uchaguzi 2020 CCM sio kila hoja ni ya kupinga, namna nyingine ya kupinga hoja ni kuiboresha zaidi

Tanzania ndio nchi pekee inayotumia lugha nyingine kufundishia na lugha nyingine kuwasiliana huku zote tukiziita rasmi.

Kuwafananisha na wajerumani au wachina ni mwendelezo wa ujinga tunaojengewa na CCM maana hao watu shuleni hadi mitaani lugha moja.

Kuna kujua lugha na kuweza kuwasiliana ndio maana mabubu wapo kila nchi, watanzania wengi hatuijui lugha ya kiingereza na hili linaanzia majumbani wazazi hawaongei na watoto wao japo wamewapeleka english medium school.!

Mnaompinga Lissu juu ya pendekezo lake, mpingeni ki English tuwaelewe vizuri!


Jaduong usikariri maneno ya wanasiasa waongo. Nenda Botswana wamejaa watanzania wanafanya kazi za maana. Nenda Usa kuna maelfu ya watanzania wanafundisha huko. Kwa hiyo tusipotoshe watu Tanzania inatumia Swahili na English lakini kuwatukana watanzania hawajui English ni makosa. Kwani English ni mother language yetu? Mbona wajeruman wanaishi bila hiyo English?
 
Tanzania ndio nchi pekee inayotumia lugha nyingine kufundishia na lugha nyingine kuwasiliana huku zote tukiziita rasmi.

Kuwafananisha na wajerumani au wachina ni mwendelezo wa ujinga tunaojengewa na CCM maana hao watu shuleni hadi mitaani lugha moja.

Kuna kujua lugha na kuweza kuwasiliana ndio maana mabubu wapo kila nchi, watanzania wengi hatuijui lugha ya kiingereza na hili linaanzia majumbani wazazi hawaongei na watoto wao japo wamewapeleka english medium school.!

Mnaompinga Lissu juu ya pendekezo lake, mpingeni ki English tuwaelewe vizuri!
Kwani hapa Tanzania hatufundishi kwa kiingereza na kiswahili? Au una maanisha nini?
 
Wenye hulka ya kupinga kila jambo ni chadema ambao mpaka sasa sijaona wakiboresha lolote Kati ya hayo wanayoyapinga.
 
Kwa hiyo unataka kusema Tanzania haina sera ya lugha? Unataka kusema majaji na watanzania hawajui kiingereza kiasi kwamba wakiongea Lissu inabidi ajifiche uvunguni?
I will put you insaidi! Hicho ni cha professor Ndali
 
Kwa hiyo unataka kusema Tanzania haina sera ya lugha? Unataka kusema majaji na watanzania hawajui kiingereza kiasi kwamba wakiongea Lissu inabidi ajifiche uvunguni?
Ni kweli mifano tunayo ila tukiitoa tunakamatwa.
 
Alichokifanya Polepole leo, ni kitendo cha aibu na kudhalilisha watanzania wenye maono ya kuona nchi yao inavuka kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine.

Dunia isingeweza kufanya mapinduzi makubwa ya maendeleo kama kila jambo lingekuwa linapingwa tu, eti kwasababu limetolewa na mtu usiyempenda ama ambaye mnatofautiana kiitikadi.

Tundu Lissu jana kwenye mkutano wake na waandishi wa habari, aliongea hoja nzuri sana kuhusu suala la kuwa na sera ya lugha ambayo inaweza kuisadia hii nchi kutoka ilipo na kwenda level nyingine. Ni ukweli usiopingika, kwa nchi masikini kama Tanzania, huwezi kuwa na watu ambao ukiwatoa nje ya dunia wanaweza kufa kiu kwa kushindwa kuomba maji. Kuna wapuuzi wanajaribu sana, kusema eti, mbona China wanaongea kichina na wana maendeleo? Upuuzi mtupu.

Lissu ameadress hoja nzito, nilitegemea kuwaona CCM ama Polepole, wakija kuliboresha zaidi wazo la Lissu na ikibidi kuwe na mjadala wa kitaifa wa hili suala, ili tuweze kuona ni namna gani hili suala linaweza kufanikiwa, na kuwafanya watanzania wawe ni watu ambao wanaweza kujidai ndani na nje ya Tanzania.

Ni upumbavu kupinga kila hoja.
Kwa mfano hipi?
 
Chakubanga Leo amemwaga utopolo balaa.
IMG_20200911_075302.jpg
 
Back
Top Bottom