madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
Kwa Tabora na ccm umenoa mkuu hapo umeongopaUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! hatimaye amejibu kikamilifu maombi ya Watanzania baada ya kuwaamsha Wazee wa Tabora waliokuwa kwenye usingizi wa pono , ambao sasa wameapa kuiteketeza kabisa ccm bila huruma kwa kukataa hongo ya matibabu ya bure iliyoletwa kwa lengo la kuwarubuni ili waichague tena ccm , chama kilichoshindwa kwa miaka 60 kuboresha maisha ya Wananchi .
Ushahidi huu hapa .
View attachment 1602089
Na zile 6.2B walizompa mama Tz ili awe kub Chaajabu wameenda kuwanunua akina Maganja, rwakatare na selasini ambao hawawezi kupata hata 20% ya kura kwenye majimbo yaoPolepole kakiua Chama kwa tamaa za kijinga huwezi kumnunua Waitara kwa Milioni 600 halafu mnazigawana
mwenzako anafungasha kuelekea burundi...Acha mambo yako wewe Mungu kashuka Tanzania kwa kutuepusha na COVID 19 na hii inatokana na kuongozwa na Kiongozi mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na si mwingine ni Mzalendo wa kweli JPM.
October 28th tutampa kura kwa upendo na wivu Mkubwa shujaa huyu JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Dada mkubwa huwezi mpa MTU laki mbili halafu ukavunja nyumban yakeYale mabulungutu ya noti aliyokua anayagawa Magufuli hayakusaidia!
😂😂😂😂Dada mkubwa huwezi mpa MTU laki mbili halafu ukavunja nyumban yake
Nyaraka umewekewa hadharaniKwa tabora na ccm umenoa mkuu hapo umeongopa
Ulimaanisha Brussels nini? Nafikiri itakuwa busara kwa wingi wenu ule mlivyoenda kumpokea mumsindikize pia anapokuwa anarudi kwao pande za Brussels.mwenzako anafungasha kuelekea burundi...
Aiseee..Polepole kakiua Chama kwa tamaa za kijinga huwezi kumnunua Waitara kwa Milioni 600 halafu mnazigawana
Acha apige hela, kama bosi wake ni boya yeye afanyaje wakati C ishajifia?Wanasema jamaa ni miongoni mwa mabilionea wapya kwa sasa
Acha kabisa...Na wanachama wa NSSF wameapa tarehe 28 wanajambo lao....
🤣 🤣 🤣 kumbe waligawana dau la Waitara?Polepole kakiua Chama kwa tamaa za kijinga huwezi kumnunua Waitara kwa Milioni 600 halafu mnazigawana
Unaambiwa ni Pasu kwa pasu🤣 🤣 🤣 kumbe waligawana dau la Waitara?
@Erythrocyte nakutafuta baadae ila uache wenge we si kamanda!unaambiwa ni Pasu kwa pasu
Na wanachama wa zssf (Zanzibar) nao wameapa tar 28 Wana Jambo la.Na wanachama wa NSSF wameapa tarehe 28 wanajambo lao....