Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Shahidi wa kwanza huyu hapa amepatikana.Bwashee huyo alipewa hela na CCM kwenda kununua wagombea udiwani wa Chadema Ludewa wananchi wenye hasira wakampa kipigo kitakatifu hadi akafa. Biashara ya kununua wanasiasa mliyoipa kipaumbele imepata dawa!
Hivi mwanaccm akifa huwa Kuna shida?Marwa amesema haijalishi kama wahusika ni watu binafsi au chama cha siasa wakipatikana watashughulikiwa kikamilifu.
Shahidi wa kwanza huyu hapa amepatikana.
Yaani Chadomo ni waropokaji.
JPM 2020- 2025
CCM USHINDI NI JADI
Safi Sana. Tena na maiti ingechomwa Moto kabisa. Wasirudie tena watakwisha.Bwashee huyo alipewa hela na CCM kwenda kununua wagombea udiwani wa Chadema Ludewa wananchi wenye hasira wakampa kipigo kitakatifu hadi akafa. Biashara ya kununua wanasiasa mliyoipa kipaumbele imepata dawa!
Du, watu wamehifadhi kumbukumbu balaa.Mkuki kwa nguruwe.
Alikaa kimya kwa Azory, Saa8, Aquiline, maiti kwenye viroba, Lisu kupigwa risasi, n.k
Kafa mwanaccm domo analipanua.
Ukweli upi?Unafikiri ukitishia ndio ukweli utaachwa kusemwa?
Nakazia maoni yako mkuu, wauwaji ,watekaji,watesaji wasakwe kwa garama yeyote.Binafsi naunga mkono wasakwe popote pale, hata waliowapoteza Azory Gwanda na Ben Saanane na waliompiga risasi Tundu Lissu pia wasakwe kwa gharama yoyote ile.
Ukweli upi?
JPM 2020-2025
CCM USHINDI NI JADI
Sasa na wao watasakwa, watakamatwa na watashughulikiwa kikamilifu na dola.Bwashee huyo alipewa hela na CCM kwenda kununua wagombea udiwani wa Chadema Ludewa wananchi wenye hasira wakampa kipigo kitakatifu hadi akafa. Biashara ya kununua wanasiasa mliyoipa kipaumbele imepata dawa!
Wenye haki ya kufa ni wapinzani tu,ccm wao ndio wenye haki ya basi sawa.Shahidi wa kwanza huyu hapa amepatikana.
Yaani Chadomo ni waropokaji.
JPM 2020- 2025
CCM USHINDI NI JADI
Pameuma...Mbona kaja haraka namna hii?
Mtatajana jombiiBwashee huyo alipewa hela na CCM kwenda kununua wagombea udiwani wa Chadema Ludewa wananchi wenye hasira wakampa kipigo kitakatifu hadi akafa. Biashara ya kununua wanasiasa mliyoipa kipaumbele imepata dawa!
Mkuu wa mkoa wa Njombe Injinia Marwa amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuvitaka vyombo vya dola kuwasaka kwa nguvu zote wauaji wa kiongozi wa UVCCM Mlelwa, tayari msako mkali umeanza.
RC Marwa amesema haijalishi kama wahusika ni watu binafsi au chama cha siasa wakipatikana watashughulikiwa kikamilifu.
Emmanuel Mlelwa amezikwa leo kijijini kwao huko Ludewa mkoani Njombe.
Rip Mlelwa
Source ITV habari
Siasa siyo Uadui