CCM tukiacha mkatapa wa DP world tunapungukiwa nini? 2025 tutatumia mtutu kurudi ikulu?

CCM tukiacha mkatapa wa DP world tunapungukiwa nini? 2025 tutatumia mtutu kurudi ikulu?

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Swala la mkatapa Kati ya Tanzania na DP world limeleta mgawanyiko Kati ya jamii,Dini,siasa na hata kutishia uhai wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar .

Niwambie kwamba wananchi hawajamsahau Hayati JPM ,slogun zake,uzalendo wake kwa taifa .ushaidi tumeona .waliyosema watenda kunyea kaburi la JPM Leo wanataka kwenda kumwamsha Ili wamwambie namna CCM ikivyomsaliti.Hata waliyosema aliamru wapigwe lisasi Leo wanamsifia..sijajua CCM tunawaza nini.kusema ukweli tuache kujidanganya mkataba huu umelikoroga .labda kama tunajidai kutumia katiba chakavu,tume isiyokuwa huru,au mtutu wa bunduki!! Hivi mnaamini kanisa liko upande wetu? Mnaamini wananchi wako upande wetu?Kauli ya kusema CCM Ina wenyewe itasaidia 2025? Common guys.Tutafute namna ya kutoka hapa.Hatujachelewa kabisa hata kidogo.
 
Swala la mkatapa Kati ya Tanzania na DP world limeleta mgawanyiko Kati ya jamii,Dini,siasa na hata kutishia uhai wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar .

Niwambie kwamba wananchi hawajamsahau Hayati JPM ,slogun zake,uzalendo wake kwa taifa .ushaidi tumeona .waliyosema watenda kunyea kaburi la JPM Leo wanataka kwenda kumwamsha Ili wamwambie namna CCM ikivyomsaliti.Hata waliyosema aliamru wapigwe lisasi Leo wanamsifia..sijajua CCM tunawaza nini.kusema ukweli tuache kunidanganya mkataba huu umelikoroga .labda kama tunajidai kutumia katiba chakavu,tume isiyokuwa huru,au mtutu wa bunduki!! Hivi mnaamini kanisa liko upande wetu? Mnaamini wananchi wako upande wetu?Kauli ya kusema CCM Ina wenyewe itasaidia 2025? Common guys.Tutafute namna ya kutoka hapa.Hatujachelewa kabisa hata kidogo.
Sikio la kufa halisikii dawa. CCM ya asili ilikufa rasmi na hayati Mwl. Nyerere. Toka miaka ya 2000 tumeshuhudia chama tawala kukiendeshwa na wahuni, makanjanja na matapeli wa kisiasa, na tena wasiokuwa na maono wala uzalendo kwa taifa letu.

Hiki tunachokishuhudia kupitia sintofahamu inayoendelea hivi leo katika mkataba wa DPW ni kilele cha kuwa "dysfunctional" ya madhaifu yao. Ondoa CCM madarakani ili kuliponya taifa la Tanganyika na Tanzania.
 
Ujio DPW ni mpango wa kuiondoa CCM madarakani. CCM wamenasa, hawana uwezo wa kujinasua tena.
Tunaweza kujinasua vizuri tu . Watanzania sisi ni wasahalifu .2025 watakuwa wameshasahau kwamba kukikuwepo mgawanyiko Fulani .but tusipokubari kubadirika tutatumia sana .Tukumbuke kwa mambo kama haya kwa mara ya kwanza 2015 CCM ilipata 54 % ya Kura.Kipindi kile kanisa na msikiti vilikuwa 70% upande wa CCM .kwa sasa Kuna combination ya makundi ndani ya CCM,na hili la mkataba linaongeza mgawanyiko aidha kwa kujua ukweli au kudanganywa.We need to sit down and see what to do urgently!!
 
Swala la mkatapa Kati ya Tanzania na DP world limeleta mgawanyiko Kati ya jamii,Dini,siasa na hata kutishia uhai wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar .

Niwambie kwamba wananchi hawajamsahau Hayati JPM ,slogun zake,uzalendo wake kwa taifa .ushaidi tumeona .waliyosema watenda kunyea kaburi la JPM Leo wanataka kwenda kumwamsha Ili wamwambie namna CCM ikivyomsaliti.Hata waliyosema aliamru wapigwe lisasi Leo wanamsifia..sijajua CCM tunawaza nini.kusema ukweli tuache kunidanganya mkataba huu umelikoroga .labda kama tunajidai kutumia katiba chakavu,tume isiyokuwa huru,au mtutu wa bunduki!! Hivi mnaamini kanisa liko upande wetu? Mnaamini wananchi wako upande wetu?Kauli ya kusema CCM Ina wenyewe itasaidia 2025? Common guys.Tutafute namna ya kutoka hapa.Hatujachelewa kabisa hata kidogo.
Kampeni upande wa ccm zinahitaji pesa nyingi sana yani sana mikutano ya ccm bila pesa nazani itakuwa nikichekesho siku chama ccm kikianguka hakitakuwa na pumzi tena chama hichi kitabakia makumbusho tu
 
Usalama wa taifa watuandalie tu mtu bora kipitia upinzani ili taifa lisipate rais wa ajabu.

Yaani wajiandae kisaikolojia maana presidaa anaweza kutoka upande wa pili.
 
Swala la mkatapa Kati ya Tanzania na DP world limeleta mgawanyiko Kati ya jamii,Dini,siasa na hata kutishia uhai wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar .

Niwambie kwamba wananchi hawajamsahau Hayati JPM ,slogun zake,uzalendo wake kwa taifa .ushaidi tumeona .waliyosema watenda kunyea kaburi la JPM Leo wanataka kwenda kumwamsha Ili wamwambie namna CCM ikivyomsaliti.Hata waliyosema aliamru wapigwe lisasi Leo wanamsifia..sijajua CCM tunawaza nini.kusema ukweli tuache kujidanganya mkataba huu umelikoroga .labda kama tunajidai kutumia katiba chakavu,tume isiyokuwa huru,au mtutu wa bunduki!! Hivi mnaamini kanisa liko upande wetu? Mnaamini wananchi wako upande wetu?Kauli ya kusema CCM Ina wenyewe itasaidia 2025? Common guys.Tutafute namna ya kutoka hapa.Hatujachelewa kabisa hata kidogo.
Hela za watu zitarudishwaje ?
 
Usalama wa taifa watuandalie tu mtu bora kipitia upinzani ili taifa lisipate rais wa ajabu.

Yaani wajiandae kisaikolojia maana presidaa anaweza kutoka upande wa pili.
Duuu!! Sijaona upinzani wa kutuunganisha!
 
Kujikwaa siyo mwisho wa safari , hii itakuwa fursa nzuri ya kuchuja Mambo Kwa CCM kabla ya kufikia maamuzi ya mwisho.
 
Swala la mkatapa Kati ya Tanzania na DP world limeleta mgawanyiko Kati ya jamii,Dini,siasa na hata kutishia uhai wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar .

Niwambie kwamba wananchi hawajamsahau Hayati JPM ,slogun zake,uzalendo wake kwa taifa .ushaidi tumeona .waliyosema watenda kunyea kaburi la JPM Leo wanataka kwenda kumwamsha Ili wamwambie namna CCM ikivyomsaliti.Hata waliyosema aliamru wapigwe lisasi Leo wanamsifia..sijajua CCM tunawaza nini.kusema ukweli tuache kujidanganya mkataba huu umelikoroga .labda kama tunajidai kutumia katiba chakavu,tume isiyokuwa huru,au mtutu wa bunduki!! Hivi mnaamini kanisa liko upande wetu? Mnaamini wananchi wako upande wetu?Kauli ya kusema CCM Ina wenyewe itasaidia 2025? Common guys.Tutafute namna ya kutoka hapa.Hatujachelewa kabisa hata kidogo.
uhai wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar Uko wapi ?

Zanzibar wana serikali yao Bado wapo ndani ya serikali ya Muungano.

Tanganyika hawana serikali yao ila wapo kwenye Serikali ya Muungano.

Uhai wa Muungano hapo Uko wapi?
 
Tatizo la Muungano mbovu limezaa Tatizo la Kuuzwa kwa bandari zote Tanganyika!!
 
Tuweke online electronic pull tuone wananchi wenye Nchi wanasemaje kuhusu mkataba/ makubariano Kati ya TZ na DPW
 
Watumie mlango wa Mahakama kujinasua!!

Waseme tu, mahakama imeamua, nasi tunaheshimu maamuzi ya mahakama, wataficha Aibu kiasi Fulani!!!
 
Duuu!! Sijaona upinzani wa kutuunganisha!
Huuhuu utajitambua tu nadhani wakishahakikishuwa kuwa kutakuwa na free and fair grounds kwa yeyote, muhimu tu waweke watu wasio na mihemko ya kiuongozi yaani vetting ya nafasi ya urais ifanywe na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuangalia maslahi mapana ya taifa maano lolote laweza kutokea. Sasa kama watakuwa hawajatupia jicho lao kule tunaweza kupata mtu wa hovyo
 
Back
Top Bottom