hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Naona tu namna unavyotapatapa kama kuku wa kutaga.
Ww jamaa unakula Kodi zetu Kwa bure kabisa haha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona tu namna unavyotapatapa kama kuku wa kutaga.
Kwa hiyo ni lazima ufahamu ya kuwa CCM ndio iliyobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.kwa sasa mamilioni hayo ya watanzania wameamua kumpatia Mama Miaka Mitano kwa kishindo
Mbona walisafiri wakati wa Nyerere Ina maana Samia ni time Traveller au reercarnaited ?Watanzania wana amani na furaha sana chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais Samia.Amani na usalama upo wa kutosha na ndio maana kwa sasa watu wanasafiri na mabus ya abiria usiku kucha.
Lipo wazi kwa sababu mtaiba kura, si kwamba lipo wazi kwa sababu anachaguliwa na CCM.Suala la kifo ni mapenzi na mipango ya Mungu.hata wewe utakufa.Suala la ushindi kishindoo wa Rais Samia lipo wazi kabisa kuwa ni lazima ashindeee tu mtake msitake
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzimaLipo wazi kwa sababu mtaiba kura, si kwamba lipo wazi kwa sababu anachaguliwa na CCM.
Nakula kwa jasho langu kwa kuchapa kazi vyema shambani kwanguWw jamaa unakula Kodi zetu Kwa bure kabisa haha
Kwa nini unaitaja Marekani kwenye mambo ya maigizo yenu ya kijinga?Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Nyie si Mungu bwanaTutampa aongoze mpaka achoke Mwenyewe na kuomba kukaa pembeni ili abakie kama mshauri tu.
Sisi ni wapiga kura wenye Nchi na tunaoendelea Kumuombea Maisha Marefu Rais wetu.Nyie si Mungu bwana
Tayari na pesa za kuchukuliwa Fomu ya Urais zipo tayari mezani kutokana na michango ya watu mbalimbali na pesa zaidi zitaendelea kuchangwa.ni suala la muda tu kuwaidiaHATOGOMBEA!!
Naacha nafasi ili uweke namba yako kwanza kusudi akufikie wewe kwanza mdogo wangu.Kaka Luca anza kuweka namba mama akufikie
Sauti ya wengi ni Sauti ya Mungu.Nyie si Mungu bwana
HATOGOMBEA!!Tayari na pesa za kuchukuliwa Fomu ya Urais zipo tayari mezani kutokana na michango ya watu mbalimbali na pesa zaidi zitaendelea kuchangwa.ni suala la muda tu kuwaidia
Endelea kuimba wimbo huohuo kama kasuku.HATOGOMBEA!!
We shall see WIMBO upi ni sahihi. Ila jua kuwa,Endelea kuimba wimbo huohuo kama kasuku.
Napenda kukwambia kuwa mpaka sasa ndiye Mgombea wa CCM.We shall see WIMBO upi ni sahihi. Ila jua kuwa,
HATOGOMBEA!!
HATOGOMBEA!!Napenda kukwambia kuwa mpaka sasa ndiye Mgombea wa CCM.