Pre GE2025 CCM Tumeamua Kumpa Mitano Tena Rais Samia

Pre GE2025 CCM Tumeamua Kumpa Mitano Tena Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo ni lazima ufahamu ya kuwa CCM ndio iliyobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.kwa sasa mamilioni hayo ya watanzania wameamua kumpatia Mama Miaka Mitano kwa kishindo

That's is obviously

It's like unajisifia kusomeshwa na Baba yako

Au kupikiwa na mke wako

Propaganda za Aina yako ccm ishavuka miaka mingi
 
Watanzania wana amani na furaha sana chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais Samia.Amani na usalama upo wa kutosha na ndio maana kwa sasa watu wanasafiri na mabus ya abiria usiku kucha.
Mbona walisafiri wakati wa Nyerere Ina maana Samia ni time Traveller au reercarnaited ?
 
Suala la kifo ni mapenzi na mipango ya Mungu.hata wewe utakufa.Suala la ushindi kishindoo wa Rais Samia lipo wazi kabisa kuwa ni lazima ashindeee tu mtake msitake
Lipo wazi kwa sababu mtaiba kura, si kwamba lipo wazi kwa sababu anachaguliwa na CCM.
 
Lipo wazi kwa sababu mtaiba kura, si kwamba lipo wazi kwa sababu anachaguliwa na CCM.
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
 
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Kwa nini unaitaja Marekani kwenye mambo ya maigizo yenu ya kijinga?

Marekani ndiyo mbingu yako?
 
Back
Top Bottom