Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #101
Jiandae kuhudhuria siku ya uapisho wake .HATOGOMBEA!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae kuhudhuria siku ya uapisho wake .HATOGOMBEA!!
Bahati Huwa haiji twice!Jiandae kuhudhuria siku ya uapisho wake .
MUNGU yupi anayeweza kumuinua mtu anayeamini katika miungu mingine??..Walio wake Anawajua.Silipwi hata mia .ni uzalendo na kuunga mkono kazi nzuri na njema zinazofanywa na Mama huyu aliye chaguo la Mungu na aliyeinuliwa na Mungu Mwenyewe
Ameamua yeye na bwana NANANA ANA NAUYYYUmeamua wewe na nani? Maana unasema tumeamua
Alisema hajawahi ua mtu labda sisimizi,just quotesEmbu soma tena ulichoandika uone kama kinaingia akilini.
Mimi ni mwana ccm ila kwakweli kura yangu ni Siri yangu.Ndugu zangu Watanzania,
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndugu zangu Watanzania,
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Fomu ni moja tu ya Urais kwa ajili ya Rais Samia.sisi ndio CCM na wana CCM ndio tumeamua hivyo.CCM ni Chama kongwe cha kidemokrasia, itatoa fomu za ugombea Urais kwa wana CCM wote wenye sifa washindanishwe. Pia muda wa wagombea Urais kujitangaza haujafika hado oktoba 2025.
Nakula kwa jasho langu kwa kuchapa kazi vyema shambani kwangu
Fomu ni moja tu ya Urais kwa ajili ya Rais Samia.sisi ndio CCM na wana CCM ndio tumeamua hivyo.
Kuna mambo ya kukubaliana katika hiliNdugu zangu Watanzania,
Huo ndio uamuzi kutoka katika mioyo ya mamilioni ya wafuasi, wakereketwa,mashabiki na wanachama wa CCM Nchini kwote.kuwa ni lazima tumpe Miaka mitano Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na
Kwa jinsi alivyoonyesha umahiri wa kuteka na kuua wapinzani ni kwanini msimpe hiyo mitano tena?Ndugu zangu Watanzania,
Huo ndio uamuzi kutoka katika mioyo ya mamilioni ya wafuasi, wakereketwa,mashabiki na wanachama wa CCM Nchini k
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Endelea kuropoka ropoka tu kama mlevi wa gongoKwa jinsi alivyoonyesha umahiri wa kuteka na kuua wapinzani ni kwanini msimpe hiyo mitano tena?
Wewe ndiye huna sifa hata ya kujadili hoja hiiCcm sio wajinga kuruhusu mgombea asiye na sifa