CCM tumshauri Rais Samia asigombee 2025

CCM tumshauri Rais Samia asigombee 2025

Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.

Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Usilete ulaghai katiba sio tatizo. Wala hata ukileta katiba mpya unafikiri itawasaidia vipi wapinzani?
Kwa ufupi wapinzani hawana nguvu kwa sasa. Ila nakubali kitu kimoja kitawapa nguvu wapinzani. Mama sio visionary na anashindwa kuelewa uungwaji mkono ccm ni kwa msimamo wake hasa chini ya magufuli wa kutetea maslahi ya umma. Kitendo chake kuingia mkenge mkononi mwa fikra za kiliberali za kina january makamba ndio zinaweza hata kuifanya ccm kushindwa au kulazimika kupora ushindi kitu itakua ndio mwanzo wa kuondolewa madarakani ccm. Watu wabinafsi walevi wa mali na madaraka wenye nia ya kugeuza mafanikio ya magufuli ndio adui wa ccm.
Mama hana uwezo kuongoza ingefaa asigombee 2025. Anachotaka kufanya atawarudisha mafisadi wote kuhujumu maendeleo yenye kuweka mbele maslahi ya umma.
Tuanzeni kutafuta magufuli mpya kwa mustakabali wa nchi yetu.
Viva jpm, a luta continua, vinceremos.
 
Sielewi mpaka sasa kwa nini kanda ya ziwa wanahasira na CCM!

si vijana wala wazee, wote hawataki kitu inaitwa CCM, nadhani mapimduzi mapya yataanzia huko, licha kwamba hata Chadema hawaitaki, sijui itakuweje yani,

Hata mimi nataka CCM nao waanguke bhana, tumekaa nao sana aisee
 
Mtafute Mzee mtu mzima aongee nae Kama mnaona asigombee
 
Kimsingi mama anapaswa amalizie tu hii miaka minne aliyoirithi kisha mchakato wa kutafuta mgombea mwingine ufanyike. Mama hatoshi kwenye kiti
 
Watz kama mnataka chadema iwaongoze semeni na sio kuzunguka mbuyu. Alafu Msije mkalaumu baadae, heri act wazalendo kuliko cdm
 
Kimsingi mama anapaswa amalizie tu hii miaka minne aliyoirithi kisha mchakato wa kutafuta mgombea mwingine ufanyike. Mama hatoshi kwenye kiti
Sio kweli
 
Dah ila Africa sijui nani atakuja kutupandikiza akili timamu, kiongoz msomi anafanya mambo usiyoyatarajia,

Wenzetu wanazid kufanya maendeleo kitechnolojia sisi tunapambana na wapinzani. Sijui ni lini tutapambana na ujinga.
Hata wapinzani wa wenzetu huwa wanawaza mambo ya maana si kupambana na chama dola
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.

Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Alishasema kuwa atagombea na cha kumfanya hamna
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.

Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Sio kumshauri asigombee, Ila CCM iruhusu demokrasia kwa wanachama kuomba ridhaa ya chama kwa ajili ya nafasi ya urais
Miaka 10 ya uongozi wake na kiongozi mwenzake JPM, mwisho 2025
Katiba inamruhusu kugombea yeye ili kuanza utawala wake mpya, na hapo apambanie hio fursa na wanachama wenzake
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.

Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Utaambiwa wewe ni mpinzani
 
Huyu mama hawezi kugombea 2025 atakuwa na miaka 64+ ..hatujawahi kuwa na raisi mzee..full stop
 
Anatafuta kuungwa mkono na wanawake ili ashinde uchafuzi....
 
Upinzani hawana mgombea wa kumutoa mtemi Hangaya,ila siku CCM ikimeguka ndo Mtemi Hangaya aanze kuimarisha makao yake kule zenji.

Maana vipande vitakuwa Msoga gang(Hangaya) vs Sukumagang.
Sukuma gang itashinda asubuhi kabla ya chai.
Maana Msogagang ilishakataliwa na wananchi siku nyingi, Mwendazake aliokoa jahazi na Watanzania bado wanaishi kwa falsafa za Mwendazake.mfano kidogo ni juu ya chanjo na kuvaa barakoa,mtemi Hangaya amebaki kuvaa barakoa peke yake na wanaokula mezani pake.
 
Back
Top Bottom