CCM tunaenda mbele au tunarudi nyuma? Hii ya Kibajaji kuwa mchangiaji wa kwanza Bajeti nyeti ya Waziri mkuu ni kama " babeli"

CCM tunaenda mbele au tunarudi nyuma? Hii ya Kibajaji kuwa mchangiaji wa kwanza Bajeti nyeti ya Waziri mkuu ni kama " babeli"

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa CHADEMA halina afya kabisa kwa sasa.

Ofisi ya Waziri Mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.

Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Profesa Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.

CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.

Ramadhan Kareem!
 
Kwa vyovyote vile...hata nikibaki peke yangu bado ntawaheshimu WASOMI...

hawa maprof wachache kina Kalamaganda Kabugi waliofanya wasomi wadharaulike. Sio kipimo cha kwamba elimu haina maana tena....

Kwa sababu hiyo Kibajaji na msukuma ni wapumbavu tu waliopata fedha kwa ushirikina then ndo wanadharau wasomi
 
Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa Chadema halina afya kabisa kwa sasa.

Ofisi ya waziri mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.

Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya waziri mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Prof Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.

CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.

Ramadhan Kareem!
Niseme tu,
Umenena vema ila subiri mashambulizi toka umoja wa Wajinga Tanzania (UWT).
 
Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa Chadema halina afya kabisa kwa sasa.

Ofisi ya waziri mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.

Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya waziri mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Prof Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.

CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.

Ramadhan Kareem!
Wakati mwingine unakuwa Kama unarejewa na fahamu zako kwa dakika chache, Kisha unakata Tena moto
 
Msitupigie kelele...

Mlisema wapinzani waliwachelewesha sana...

Mara hamtaki kuchanganyiwa ....

Haya pigeni nyungu na kula malimao kwa utulivu....

Mnao akina msukuma watachangia tu na kuonyesha upigaji nyungu ni bora kuliko chanjo...
images (13).jpeg
 
Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa CHADEMA halina afya kabisa kwa sasa.

Ofisi ya Waziri Mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.

Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Profesa Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.

CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.

Ramadhan Kareem!
Kumbe unakuwaga smart ee?

Asante sana kwa hoja murua!1

Ni jambo la kusikitisha kwamba CCM tunaendeleza siasa za chuki namna hii! Jambo hili halikubaliki!

Waziri Mkuu Majaliwa kushangilia huu uhuni na ushamba amejishushia hadhi sana. Nadhani mama amejua huyu msaidizi wake ni kiongozi wa namna gani. Atadeal nae kwa namna inayofaa. Kwangu mimi... He is too low to be a PM.
 
Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa CHADEMA halina afya kabisa kwa sasa.

Ofisi ya Waziri Mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.

Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Profesa Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.

CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.

Ramadhan Kareem!
Hili linachangizwa na ndungai mi ningeshauri wabunge wasomi wasichangie wawaachie hao std7 walioandaliwa na spika waongoze nchi kupitia bunge.
 
Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa CHADEMA halina afya kabisa kwa sasa.

Ofisi ya Waziri Mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.

Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Profesa Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.

CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.

Ramadhan Kareem!
none-direction
 
Back
Top Bottom