Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Gado nomaBaada ya kuhakikisha kuwa harudi baadhi ya MATAGA wameanza kuchukua ubongo wao
View attachment 1752925
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gado nomaBaada ya kuhakikisha kuwa harudi baadhi ya MATAGA wameanza kuchukua ubongo wao
View attachment 1752925
HAKIKA SIAMINI MACHO YANGU KWA HII THREAD YAKO.Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa CHADEMA halina afya kabisa kwa sasa.
Ofisi ya Waziri Mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.
Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Profesa Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.
CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.
Ramadhan Kareem!
Hapana kajitambua sasaPosho ulipwa nusu nini? maana unang'ata na kupuliza
Kibajaj atakuja kukutana na watu wenye misimamo hapo ndiyo bunge litawaka moto.Never underestimate the power of stupid people in a large group....
Bunge halina mwekelekeo utadhani ni gulio la washenzi.....
Disgusting....
Huo ubunge walipata kwa kufuata kigezo cha ujinga wao huo maana ccm inawategemea watu wa aina hiyo siyo kwa bahati mbaya.Kwa vyovyote vile...hata nikibaki peke yangu bado ntawaheshimu WASOMI...
hawa maprof wachache kina Kalamaganda Kabugi waliofanya wasomi wadharaulike. Sio kipimo cha kwamba elimu haina maana tena....
Kwa sababu hiyo Kibajaji na msukuma ni wapumbavu tu waliopata fedha kwa ushirikina then ndo wanadharau wasomi
Umemsahau na SangaMusukuma, Kibajaji, Milinga ni mitambo ya maangamizi inayotumiwa na Spika Ndugai and he is proud of them.
Hao ndiyo wapi tena?[emoji23][emoji23][emoji23]Niseme tu,
Umenena vema ila subiri mashambulizi toka umoja wa Wajinga Tanzania (UWT).
Kwa hawa mimi nitawadharau na kamwe sitowaheshimu.Ngoja Nijikite ktk Kuwatafasilia "Kibajaji na Musukuma," Kwani Kwao Hii NGENGE ni Mtihani Mkubwa wanadhani umewasifia... "Tusidharau Wajinga Wana Nguvu Kubwa Hasa Wawapo ndani ya Kundi Kubwa".
Anapambana kulikimbia kundi hovu lkn wenzake wanamkatalia.Wakati mwingine unakuwa Kama unarejewa na fahamu zako kwa dakika chache, Kisha unakata Tena moto
Anapambana kulikimbia kundi hovu lkn wenzake wanamkatalia.
Ila naona ataweza tu kujinasua kutoka kwenye kundi la mazuzu.
Spika na ofisi yake wanaamini kibajaji, msukuma na aina zao ndio wachangiaji wenye akili kuliko wote!!Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa CHADEMA halina afya kabisa kwa sasa.
Ofisi ya Waziri Mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.
Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Profesa Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.
CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.
Ramadhan Kareem!
Hilo nakubaliana na wewe kwa 100%. Ndugai kaidhalilisha mno Mhimili wa Bunge.Hili linachangizwa na ndungai mi ningeshauri wabunge wasomi wasichangie wawaachie hao std7 walioandaliwa na spika waongoze nchi kupitia bunge.
Hii akili imekuja na mwezi mtukufu au inapita tuu?Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa CHADEMA halina afya kabisa kwa sasa.
Ofisi ya Waziri Mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.
Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Profesa Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.
CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.
Ramadhan Kareem!
Hawa wanaoshabikia kutengenezwa mtaala wa watoro wa shule wanawakatisha tamaa wasomi na wanaosoma sasa.Wanahakikisha Sera hazijali na kuenzi wasomi,wanafanya kazi za umma kwa ujira mdogo na mazingira magumu ya kazi.Wanakimbilia kwenye Siasa na kushindanishwa na STD VII kupigania maslahi manono wanayoyafaidi wana wa siasa chakavu.Kwa vyovyote vile...hata nikibaki peke yangu bado ntawaheshimu WASOMI...
hawa maprof wachache kina Kalamaganda Kabugi waliofanya wasomi wadharaulike. Sio kipimo cha kwamba elimu haina maana tena....
Kwa sababu hiyo Kibajaji na msukuma ni wapumbavu tu waliopata fedha kwa ushirikina then ndo wanadharau wasomi
Milinga alipigwa chini!Musukuma, Kibajaji, Milinga ni mitambo ya maangamizi inayotumiwa na Spika Ndugai and he is proud of them.
Mchangiaji wa kwanza wa hotuba muhimu ya ofisi ya waziri mkuu mh Lusinde aliyepewa dakika za kipekee (15) kutumia muda mwingi kuwasimanga wasomi na wapinzani hasa CHADEMA halina afya kabisa kwa sasa.
Ofisi ya Waziri Mkuu ndio mlezi wa vyama vya siasa sasa kuipandikiza mbegu za chuki na husuda siyo jambo jema.
Kadhalika kuwashambulia wasomi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu haikubaliki kama wewe ni kidume ungemsubiri Profesa Ndalichako katika hotuba yake ndio uwanange maprofesa.
CCM tujiangalie huu msafara wa mamba nawaona kenge wengi.
Ramadhan Kareem!
Hahahaaaa....... Tunafuturu hapa na FF!Hii akili imekuja na mwezi mtukufu au inapita tuu?
Wanaccm wangebadilika kama johnthebaptist walao kwa mwezi mmoja tuu taifa hili lingeyaona mabadiliko makubwa