Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni chama chenye weledi.....Chama cha Mapinduzi kimemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Act Wazalendo mwaka 2020 na baadae kutangaza kujitoa kwenye chama hicho, na sasa ametangaza safari ya kurudi CCM chama chake kilichomlea na baadae kumfukuza kutokana na utovu wa nidhamu kuwa kitamjadili kwanza ili wamuone kama wamkubalie kurudi CCM au la.
CCM yazungumzia kauli ya Membe
=======
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema yuko njiani kurudi mahali fulani akishamaliza kusikiliza uamuzi wa shauri lake lililopo mahakamani Oktoba 12, mwaka huu.
Licha ya Membe kutoweka wazi mahali atakaporudi lakini inaonekana atarejea Chama cha Mapinduzi (CCM) alikovuliwa uanachama Februari 28, 2020 kwa madai ya kukiuka maadaili na mwenendo usioridhisha tangu mwaka 2014
Jana akiwa kwenye mkutano wa ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Membe alisema anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan na yupo tayari kumpigia kampeni katika Uchaguzi Mkuu 2025.
Hata hivyo, Katibu wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wa CCM, Kanali Ngemela Lubinga alisema kama alivyoondoka, akiomba kurejea atajadiliwa.
“Akiomba vikao vinavyohusika vitamjadili, vinaweza kumpokea au kumkataa. Aliondoka na anataka kurudi, basi kuna taratibu na kanuni. Ataomba, atajadiliwa, akionekana ana sifa za kurudi basi atarudi. Asipofikia kiwango atakataliwa,” alisema Lubinga alipozungumza na Mwananchi kwa njia ya simu.
Julai, 2020 Membe alijiunga na chama cha ACT Wazalendo na baadaye aliteuliwa kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu akichuana na John Magufuli (CCM) na Tundu Lissu (Chadema) na wagombea wengine.
Mwingine ameshaozeana chini ya ardhiKachero kama kachero maaneeneeer njaa mbaya, kapaukaaaa utadhani hakuwahi kuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10
Ulishawahi kusema hata Mdude hatoboi😆Hatoboi
Yeye anasema hajawahi kukihama chama!Julai, 2020 Membe alijiunga na chama cha ACT Wazalendo na baadaye aliteuliwa kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu akichuana na John Magufuli (CCM) na Tundu Lissu (Chadema) na wagombea wengine.
Mguse unuke?Chama cha Mapinduzi kimemjibu aliyekuwa mgombea urais wa Act Wazalendo mwaka 2020 na baadae kutangaza kujitoa kwenye chama hicho, na sasa ametangaza safari ya kurudi CCM chama chake kilichomlea na baadae kumfukuza kutokana na utovu wa nidhamu kuwa kitamjadili kwanza ili wamuone kama wamkubalie kurudi CCM au la.
CCM yazungumzia kauli ya Membe
=======
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema yuko njiani kurudi mahali fulani akishamaliza kusikiliza uamuzi wa shauri lake lililopo mahakamani Oktoba 12, mwaka huu.
Licha ya Membe kutoweka wazi mahali atakaporudi lakini inaonekana atarejea Chama cha Mapinduzi (CCM) alikovuliwa uanachama Februari 28, 2020 kwa madai ya kukiuka maadaili na mwenendo usioridhisha tangu mwaka 2014
Jana akiwa kwenye mkutano wa ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Membe alisema anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan na yupo tayari kumpigia kampeni katika Uchaguzi Mkuu 2025.
Hata hivyo, Katibu wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wa CCM, Kanali Ngemela Lubinga alisema kama alivyoondoka, akiomba kurejea atajadiliwa.
“Akiomba vikao vinavyohusika vitamjadili, vinaweza kumpokea au kumkataa. Aliondoka na anataka kurudi, basi kuna taratibu na kanuni. Ataomba, atajadiliwa, akionekana ana sifa za kurudi basi atarudi. Asipofikia kiwango atakataliwa,” alisema Lubinga alipozungumza na Mwananchi kwa njia ya simu.
Julai, 2020 Membe alijiunga na chama cha ACT Wazalendo na baadaye aliteuliwa kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu akichuana na John Magufuli (CCM) na Tundu Lissu (Chadema) na wagombea wengine.
Badala ya kunuka akaishia kufanya kampeni kwenye kijiji cha RondoMguse unuke?
Na CHADEMA = CHAGA DEVELOPMENT MOVEMENT ASSOCIATION au .........!Ili iweje wakati CCM kwa sasa inalindwa na Sirro.
CCM=Chama cha Mapolisi.
Binafsi niliwahi kuwaonya the so called wapinzani, kuwa watu kama akina Membe wanapelekwa kwenye vyama hivi kwa kazi maalum. Akimaliza kazi aliyotumwa basi anajirudia NYUMBANI! Wako wengi tu wanaotumwa na kisha kurudi CCM na watazidi kutumwa tu - wewe subiri come 2025 utaona - na ukiwa na kumbukumbu ya maneno yangu haya - UTANIAMBIA!kwa utamamaduni wa CCM, kauli ya Mwenyekiti wa chama ni ya mwisho, vikao ni justifications tu - so far Membe kasharudi CCM tayari, kitakachosubiriwa ni vikao kubariki ujio.
Maneno yenye machungu kwa chawa wakeMwingine ameshaozeana chini ya ardhi
Hamza alishahukumiwa na wana ccm wenzakeKweni keshahukumiwa?
Sukuma gang sasa wamelazimika kusalimu amriMguse unuke?
Anarudi kwao ccmBadala ya kunuka akaishia kufanya kampeni kwenye kijiji cha Rondo
Sukuma gang mmesalimu amriKabisa mkuu
Hamza ndiye Gaidi kutoka uvccmGaidi gang hali yenu vipi
Chama cha demokrasia ya magaidiIli iweje wakati CCM kwa sasa inalindwa na Sirro.
CCM=Chama cha Mapolisi.
Njaa haina baunsaKachero kama kachero njaa mbaya, kapaukaaaa utadhani hakuwahi kuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10