Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Naona miccm inaparurana hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika kama alikaa miaka 10 mkuu? Kumbuka vizuri mkuuKachero kama kachero njaa mbaya, kapaukaaaa utadhani hakuwahi kuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10
Watauwana na nape kwenye nafasi ya ubunge, maana uraisi hapatiMkuu membe anakutesa sana!!zile zilikuwa chuki binafsi za jiwe, sasa hayupo na jamaa anarudi kwa kishindo, mwendazake masalia mtapiga kelele sana lakini ni machozi ya samaki!!unadhania jana kwenye mkutano wa PM, alijipeleka tu, hukumuona nape alivyokuwa anatabasamu kwa pembeni!!jamaa lilikuwa na siasa za kishamba sana toka tumepata uhuru.MUNGU FUNDI
Mbona mnajibu vitu visivyoeleka kwenye facts?Sungura baada ya kushindwa kupata zile zabibu alisema "sizitaki, kwanza ni mbichi, hazijaiva"!
Which facts?Mbona mnajibu vitu visivyoeleka kwenye facts?
View attachment 1972259
CCM inalindwa na Mapolisi fact, CCM inaiba Kura Fact, CCM iko nyuma ya mauaji na Utekaji wa Wapinzani Fact.Which facts?
Nyie ni mazuzu ya kuibiwa kila wakatiCCM inalindwa na Mapolisi fact, CCM inaiba Kura Fact, CCM iko nyuma ya mauaji na Utekaji wa Wapinzani Fact.
Unataka nini la zaidi ndugu Taga?
Membe anajikomba tu ,aligombea urais akafanya kampeni kijiji cha Rondo tu.Sababu kubwa ya kumrejesha Membe ccm ni kwamba alifikuzwa bila kufuata utaratibu!
Kama kawaida anamtegemea kaka yake.Membe anajikomba tu ,aligombea urais akafanya kampeni kijiji cha Rondo tu.
Chuki binafsi!? Chuki gani? Kwani kwa mawazo yako unajiaminisha kuwa Jasusi alizaliwa kuwa kwenye kila Cabinet ya kila Rais? Wangapi waliachwa kwenye Cabinet mbalimbali, hizo ni chuki binafsi? Tuache CHEAP POLITICS. Kuachwa kwa wailokuwa kwenye Cabinet za JPM na Rais SSH ni chuki binafsi au ni nini? Tuache sisasa uchwara jamani.Mkuu membe anakutesa sana!!zile zilikuwa chuki binafsi za jiwe, sasa hayupo na jamaa anarudi kwa kishindo, mwendazake masalia mtapiga kelele sana lakini ni machozi ya samaki!!unadhania jana kwenye mkutano wa PM, alijipeleka tu, hukumuona nape alivyokuwa anatabasamu kwa pembeni!!jamaa lilikuwa na siasa za kishamba sana toka tumepata uhuru.MUNGU FUNDI
Tuanzie hapa kwanza, ungekuwa ni mkutano wa hadhara wa JPM, jasusi huyo angetia mguu wake pale?Chuki binafsi!? Chuki gani? Kwani kwa mawazo yako unajiaminisha kuwa Jasusi alizaliwa kuwa kwenye kila Cabinet ya kila Rais? Wangapi waliachwa kwenye Cabinet mbalimbali, hizo ni chuki binafsi? Tuache CHEAP POLITICS. Kuachwa kwa wailokuwa kwenye Cabinet za JPM na Rais SSH ni chuki binafsi au ni nini? Tuache sisasa uchwara jamani.
Halafu uwepo wa Jasusi kwenye mikutano ya hadhara huko kwao ni jambo la kawaida tu, kwani hiyo ni haki yake ya kikatiba na hakuna mwaliko wowote aliopewa kuhudhuria huo mkutano, vinginevyo ni uzushi usio na maana yoyote. Jasussi atarudishwa CCM kama wanavyo rudi wengine na baada ya kurudi wao, that is the end of it. Tumewaona wengi wanarudi kama Jasusi kwa hiyo hakuna jipya in his come back!
Pole sana imhotep kama hujaelewa hiyo falsafa yangu. Kwa maoni yangu, sioni any facts hapo!Mbona mnajibu vitu visivyoeleka kwenye facts?
View attachment 1972259
Wa kujibu swali hilo kwa usahihi kabisa ni Jasusi mwenyewe na kwa vile anatarajiwa kurudi kwenye public politics, basi ni matarajio yangu kuwa hilo swali anaweza kuklijibu siku moja akiulizwa!Tuanzie hapa kwanza, ungekuwa ni mkutano wa hadhara wa JPM, jasusi huyo angetia mguu wake pale?
Hao hawakufukuzwaCCM hii mtamjadili kwanza wapi wakati tayari kesharudishwa, je Nyarandu, Lowasa,Sumaye mliwajadili lini?