CCM: Tutamjadili kwanza Benard Membe

CCM ni chama chenye weledi.....

Alijirudi Komredi Lowassa na kupokelewa nyumbani tena.....

Haitoshindikana kwa Komredi Bernard Camilius Membe......

#SiempreJMT
 
Julai, 2020 Membe alijiunga na chama cha ACT Wazalendo na baadaye aliteuliwa kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu akichuana na John Magufuli (CCM) na Tundu Lissu (Chadema) na wagombea wengine.
Yeye anasema hajawahi kukihama chama!
 
Mguse unuke?
 
All crews wa Msoga hawawezi kugomewa kujoin the team. Huo ni mkwara mee tu!
 
kwa utamamaduni wa CCM, kauli ya Mwenyekiti wa chama ni ya mwisho, vikao ni justifications tu - so far Membe kasharudi CCM tayari, kitakachosubiriwa ni vikao kubariki ujio.
Binafsi niliwahi kuwaonya the so called wapinzani, kuwa watu kama akina Membe wanapelekwa kwenye vyama hivi kwa kazi maalum. Akimaliza kazi aliyotumwa basi anajirudia NYUMBANI! Wako wengi tu wanaotumwa na kisha kurudi CCM na watazidi kutumwa tu - wewe subiri come 2025 utaona - na ukiwa na kumbukumbu ya maneno yangu haya - UTANIAMBIA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…