CCM tutashinda Kwa kishindo Chaguzi zote 2024&2025

CCM tutashinda Kwa kishindo Chaguzi zote 2024&2025

1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Sera za kuengua wapinzani?
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
So what even now your majority nini kimebadilika since2015
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo

Kwani mnashindana na nani? Mshamaliza kutoa watu kwenye kifusi?
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
download.jpeg
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Trump kashinda katika open floor,yeah tuko vizuri lakini uwanja uwe huru.
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Umeshatatua tatizo la kusudio la kudhulumiwa wafanyakazi baada ya kampuni zao za awali kuuzwa na miktaba kutaka kubadilishwa kinyemela bila utaratibu na kunyima haki zao? blessings

Vipi tatizo la wananchi waliofukiwa kwenye vifusi vya ghrofa lililoporomoka Kariakoo umeshirikije kuokoa uahi wao huku ukiota uchaguzi na ndoto za kujinufaisha kutokana nao? blessings

Wewe inawezekana ni mmoja wa wapiga dili na waharifu waliobobea katika taifa la Tanzania!!!
 
So what even now your majority nini kimebadilika since2015
They said gas will solve budget issue,non,they said gold will solve budget issue non,they said and said until now Agrey is under selling business
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Uzuri majanga yakija yanaumiza wanachama wa CCM pia.
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Mngekuwa mnakubalika msingeibq kura,msingewaengua wagombea wa upinzani na msingeandikisha wapiga kura hewa.
 

Attachments

  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 3
  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 2
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Ujasiri wa kuongelea ushind wa CCM kwa sasa unautoa wapi ili hali hadi sasa bado kuna watu wako chini ya kifusi ndani ya jiji lenye kila kitu!?

CCM acheni kuwaza siasa muda wote hadi mnakosa roho za utu na kujali , ndio maana hata mwenye kiti wenu hajali na hajaona hata haja ya kufika eneo la tukio kaenda zake ng'ambo, na ninyi mlio baki mnawaza uchaguzi badala ya kufikiria janga na msiba tulio nao mchini tunafanyaje
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Chama Cha matapeli (CCM)
 
Kwa upuuzi
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Kwa upuuzi huu wa kusimamia ujezi wa OVYO NA KUFANIKISHA SHINDENI HATA CHAGUZI ZA UONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI.
 
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.

2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.

NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Mda mwalim Mungu yupo kazini,
 
Tz hakuna uchaguzi , mnasema mmefanya mazuri mengi sana , huku ccm mnaogopa sanduku la kura, ujinga mtupu
 
Waafrica ujinga utatuisha lini?wagonjwa kariakoo wanabebwa na kirikuu wewe unajinasibu utshinda Kwa kishindo?
 
Back
Top Bottom