Sera za kuengua wapinzani?1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sera za kuengua wapinzani?1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Kwa nini sasa mnaogopa kushindana na vyama vingine?Ni kwasababu tu uwezo wako ni mdogo, kila mwenye akili anajua CCM itashinda.
So what even now your majority nini kimebadilika since20151. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Trump kashinda katika open floor,yeah tuko vizuri lakini uwanja uwe huru.1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Umeshatatua tatizo la kusudio la kudhulumiwa wafanyakazi baada ya kampuni zao za awali kuuzwa na miktaba kutaka kubadilishwa kinyemela bila utaratibu na kunyima haki zao? blessings1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
They said gas will solve budget issue,non,they said gold will solve budget issue non,they said and said until now Agrey is under selling businessSo what even now your majority nini kimebadilika since2015
Uzuri majanga yakija yanaumiza wanachama wa CCM pia.1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Mngekuwa mnakubalika msingeibq kura,msingewaengua wagombea wa upinzani na msingeandikisha wapiga kura hewa.1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Ujasiri wa kuongelea ushind wa CCM kwa sasa unautoa wapi ili hali hadi sasa bado kuna watu wako chini ya kifusi ndani ya jiji lenye kila kitu!?1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Chama Cha matapeli (CCM)1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Kwa upuuzi huu wa kusimamia ujezi wa OVYO NA KUFANIKISHA SHINDENI HATA CHAGUZI ZA UONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI.1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo
Mda mwalim Mungu yupo kazini,1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo