Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Ungesema tunaiba kwa kishindo na tutaiba kwa kishondo ujumbe ungeeleweka.1. Chama Cha Mapinduzi tuna Sera za maana.
2. Wapiga Kura wanatukubali Sana. Hivyo tegemeeni ushindi mkubwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.
NB: ushindi si chini 90% Kwa Sera tulizonazo