Uchaguzi 2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

Uchaguzi 2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wanabodi,Siku nne kabla ya uchaguzi ngome zetu wana CCM hasa vijijini zimechakazwa na kutikiswa na Tundu Lissu.

Wilaya ya Tunduru Ruvuma, Mambo sio mambo ni ngome yetu wana CCM lakini wananchi wa miaka mitano iliyopita sio wananchi wa mwaka huu 2020 wamebadilika na kutugeuka kabisa.

Hii wilaya ni picha au taswira tosha kuwa sasa kunakoitwa vijijini sio vijijini tena kuna werevu na waelewa wengi kuliko mtazamo wetu ndani ya chama chetu CCM.

Mkutano wa Tundu Lissu huko Tunduru leo umenifanya nibadili taswira ya chama chetu ccm kuwa lazima sasa tubadilishe mfumo mzima wa itikadi na mawazo juu ya wananchi wa vijijini.

Mosi, CCM ikishinda na tutashinda ni muda wa kuanzisha siasa za usawa ,Maeneo tuliyoyaita vijijini leo sio vijijini tena kwani yana michanganyiko ya watu kutoka mijini hivyo madhara ya mitazamo juu ya CCM imetapakaa kila kona.

Pili, Uelewa wa wananchi umeongezeka sana kutokana na teknolojia ya mawasiliano hasa simu za mikononi hivyo imepelekea watu kujua ukweli halisi wa nchi inavyoendeshwa. Haya ndio madhara ya shule za kata kwa ccm wale wanafunzi hata kama wengi walipata sifuri lakini kuna kitu waliondoka nacho kidogo shule ambacho wanawaeleza ndugu na jamaa huko vijijini.

Kuanzia mwaka 2021 kuelekea mwaka 2025 ni muda wa kuanzisha mahusiano mema kwa kila chama na kurudisha furaha kwa wananchi tena. Madhara ya chuki yameshaonekana huko vijijini kwa wananchi kuanza kukisaliti chama cha mapinduzi.

Kuanzia 2021 ni muda wa kuwa waumilivu na kuruhusu hoja mbadala, Tuache watu waongee ya moyoni, wataongea kwa hasira lakini usiku watalala, Baada ya miaka mitano hawatakuwa na kinyongo kama sasa ambapo wanakwenda kutuadhibu mpaka wilaya kama Tunduru porini huko.
 
Lissu hata akifika kila kijiji hakuna wa kumpigia kura

Watanzania hawawezi kupigia kura msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Mkuu sidhani kama wewe ni mwana ccm

Unaleta mipasho na taarabu tu ,Kuna muda yapasa utumie kichwa chako kufikiri sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mzigo sawa na mizigo mingine

Mkuu hapa sio Facebook au Instagram hapa kuna wataalamu ,wabobezi na wasomi ,Ujinga wako peleka Facebook huko,Hapa ni takwimu na data zinaongea

Poroja na ujinga waachie wana ccm wa facebook huko

Sisi wana ccm wa JF ni wasomi na wataalamu wa report na tumefanya kazi duniani huko ,kwanini unaleta ushamba na ujinga ?

Waanzilishi wa chama ccm Mwalimu Nyerere alikuwa anajenga hoja na alishawishi watu tutafute uhuru

Hotuba ya kikwete akiwa Mwalimu Nyerere Memorial university alieleza kuwa Mwalimu Nyerere hakuogopa hoja na hoja hazipigwi lungu

Wewe unajiita mwana ccm huna kazi hapa JF zaidi ya kuleta ngonjera,mipasho na taarabu

Jaribu kushauri Chama nini kifanyike na wapi kunahitajika maboresho

Taarabu,Mipasho,Ngonjera ni mambo ya kiswahili na kishamba sana

Tushauri chama
 
Wanabodi,Siku nne kabla ya uchaguzi ngome zetu wana CCM hasa vijijini zimechakazwa na kutikiswa na Tundu Lissu.

Wilaya ya Tunduru Ruvuma, Mambo sio mambo ni ngome yetu wana CCM lakini wananchi wa miaka mitano iliyopita sio wananchi wa mwaka huu 2020 wamebadilika na kutugeuka kabisa...
Wire mliobaini hilo dawa yao ni kuwaadhibu vikali kesho kutwa na kuwasahau kwani hawasikii wala kutaka kuelewa,wasaidie na wenzako wengi kadiri unavyoweza nao waondokane na watesi wao nafasi ndio hii.Hawawezi na hawapo tayari kubadili utaratibu wao.
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu.

Pia kumbuka kura ya thamani ipo CCM, huko kwingine ni kuweka sukari ziwa victoria
Utajipigia kura mwenyewe. Mimi siwezi kumpa kura Magufuli.
 
Wewe ni msomi wa kufuga punda labda [emoji3]
Mkuu sidhani kama wewe ni mwana ccm

Unaleta mipasho na taarabu tu ,Kuna muda yapasa utumie kichwa chako kufikiri sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mzigo sawa na mizigo mingine

Mkuu hapa sio Facebook au Instagram hapa kuna wataalamu ,wabobezi na wasomi ,Ujinga wako peleka Facebook huko,Hapa ni takwimu na data zinaongea

Poroja na ujinga waachie wana ccm wa facebook huko

Sisi wana ccm wa JF ni wasomi na wataalamu wa report na tumefanya kazi duniani huko ,kwanini unaleta ushamba na ujinga ?

Waanzilishi wa chama ccm Mwalimu Nyerere alikuwa anajenga hoja na alishawishi watu tutafute uhuru

Hotuba ya kikwete akiwa Mwalimu Nyerere Memorial university alieleza kuwa Mwalimu Nyerere hakuogopa hoja na hoja hazipigwi lungu

Wewe unajiita mwana ccm huna kazi hapa JF zaidi ya kuleta ngonjera,mipasho na taarabu

Jaribu kushauri Chama nini kifanyike na wapi kunahitajika maboresho

Taarabu,Mipasho,Ngonjera ni mambo ya kiswahili na kishamba sana

Tushauri chama
 
Wanabodi,Siku nne kabla ya uchaguzi ngome zetu wana CCM hasa vijijini zimechakazwa na kutikiswa na Tundu Lissu.

Wilaya ya Tunduru Ruvuma, Mambo sio mambo ni ngome yetu wana CCM lakini wananchi wa miaka mitano iliyopita sio wananchi wa mwaka huu 2020 wamebadilika na kutugeuka kabisa

Hii wilaya ni picha au taswira tosha kuwa sasa kunakoitwa vijijini sio vijijini tena kuna werevu na waelewa wengi kuliko mtazamo wetu ndani ya chama chetu CCM

Mkutano wa Tundu Lissu huko Tunduru leo umenifanya nibadili taswira ya chama chetu ccm kuwa lazima sasa tubadilishe mfumo mzima wa itikadi na mawazo juu ya wananchi wa vijijini

Mosi,CCM ikishinda na tutashinda ni muda wa kuanzisha siasa za usawa ,Maeneo tuliyoyaita vijijini leo sio vijijini tena kwani yana michanganyiko ya watu kutoka mijini hivyo madhara ya mitazamo juu ya CCM imetapakaa kila kona

Pili,Uelewa wa wananchi umeongezeka sana kutokana na teknolojia ya mawasiliano hasa simu za mikononi hivyo imepelekea watu kujua ukweli halisi wa nchi inavyoendeshwa,Haya ndio madhara ya shule za kata kwa ccm wale wanafunzi hata kama wengi walipata sifuri lakini kuna kitu waliondoka nacho kidogo shule ambacho wanawaeleza ndugu na jamaa huko vijijini

Kuanzia mwaka 2021 kuelekea mwaka 2025 ni muda wa kuanzisha mahusiano mema kwa kila chama na kurudisha furaha kwa wananchi tena,Madhara ya chuki yameshaonekana huko vijijini kwa wananchi kuanza kukisaliti chama cha mapinduzi

Kuanzia 2021 ni muda wa kuwa waumilivu na kuruhusu hoja mbadala ,Tuache watu waongee ya moyoni ,wataongea kwa hasira lakini usiku watalala,Baada ya miaka mitano hawatakuwa na kinyongo kama sasa ambapo wanakwenda kutuadhibu mpaka wilaya kama Tunduru porini huko
Muda umeshakwisha.
 
Wanabodi,Siku nne kabla ya uchaguzi ngome zetu wana CCM hasa vijijini zimechakazwa na kutikiswa na Tundu Lissu.

Wilaya ya Tunduru Ruvuma, Mambo sio mambo ni ngome yetu wana CCM lakini wananchi wa miaka mitano iliyopita sio wananchi wa mwaka huu 2020 wamebadilika na kutugeuka kabisa

Hii wilaya ni picha au taswira tosha kuwa sasa kunakoitwa vijijini sio vijijini tena kuna werevu na waelewa wengi kuliko mtazamo wetu ndani ya chama chetu CCM

Mkutano wa Tundu Lissu huko Tunduru leo umenifanya nibadili taswira ya chama chetu ccm kuwa lazima sasa tubadilishe mfumo mzima wa itikadi na mawazo juu ya wananchi wa vijijini

Mosi,CCM ikishinda na tutashinda ni muda wa kuanzisha siasa za usawa ,Maeneo tuliyoyaita vijijini leo sio vijijini tena kwani yana michanganyiko ya watu kutoka mijini hivyo madhara ya mitazamo juu ya CCM imetapakaa kila kona

Pili,Uelewa wa wananchi umeongezeka sana kutokana na teknolojia ya mawasiliano hasa simu za mikononi hivyo imepelekea watu kujua ukweli halisi wa nchi inavyoendeshwa,Haya ndio madhara ya shule za kata kwa ccm wale wanafunzi hata kama wengi walipata sifuri lakini kuna kitu waliondoka nacho kidogo shule ambacho wanawaeleza ndugu na jamaa huko vijijini

Kuanzia mwaka 2021 kuelekea mwaka 2025 ni muda wa kuanzisha mahusiano mema kwa kila chama na kurudisha furaha kwa wananchi tena,Madhara ya chuki yameshaonekana huko vijijini kwa wananchi kuanza kukisaliti chama cha mapinduzi

Kuanzia 2021 ni muda wa kuwa waumilivu na kuruhusu hoja mbadala ,Tuache watu waongee ya moyoni ,wataongea kwa hasira lakini usiku watalala,Baada ya miaka mitano hawatakuwa na kinyongo kama sasa ambapo wanakwenda kutuadhibu mpaka wilaya kama Tunduru porini huko
Ndiyo mtatia adabu, bothi wenu yupo karatu anasema leo haondoki huko hadi kieleweke...aka watoto weupe kibao ha ha ha
 
Mkuu sidhani kama wewe ni mwana ccm

Unaleta mipasho na taarabu tu ,Kuna muda yapasa utumie kichwa chako kufikiri sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mzigo sawa na mizigo mingine

Mkuu hapa sio Facebook au Instagram hapa kuna wataalamu ,wabobezi na wasomi ,Ujinga wako peleka Facebook huko,Hapa ni takwimu na data zinaongea

Poroja na ujinga waachie wana ccm wa facebook huko

Sisi wana ccm wa JF ni wasomi na wataalamu wa report na tumefanya kazi duniani huko ,kwanini unaleta ushamba na ujinga ?

Waanzilishi wa chama ccm Mwalimu Nyerere alikuwa anajenga hoja na alishawishi watu tutafute uhuru

Hotuba ya kikwete akiwa Mwalimu Nyerere Memorial university alieleza kuwa Mwalimu Nyerere hakuogopa hoja na hoja hazipigwi lungu

Wewe unajiita mwana ccm huna kazi hapa JF zaidi ya kuleta ngonjera,mipasho na taarabu

Jaribu kushauri Chama nini kifanyike na wapi kunahitajika maboresho

Taarabu,Mipasho,Ngonjera ni mambo ya kiswahili na kishamba sana

Tushauri chama
Huyo ni mwimba mpambio tu anapewa japo pesa ya kula makande wana maana basi hawa? Waone hivi hivi tu
 
Back
Top Bottom