Uchaguzi 2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

Uchaguzi 2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi Lissu, amepeleka magundu Chadema

Tanzania hatutaki ushoga,
Wewe ndie graduate wa TEKu university

Ahaa kwa akili kama zako hata mbwa hawezi kukuajiri

Certified idiot at work

Lete idea mpya mkuu

Wewe kama upo ccm basi ni choka mbaya na maskini wa kutupwa hoe hae huna jipya na huna ankara

Angalia thread za wakudadavua,Barbosa hawaongei pumba kama wewe

Hata Pascal Mayalla ni mwana ccm kama mimi haongei pumba na upuuzi kama wewe

Wewe ni mipasho na ngonjera tu
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Wewe ndie graduate wa TEKu university

Ahaa kwa akili kama zako hata mbwa hawezi kukuajiri

Certified idiot at work

Lete idea mpya mkuu

Wewe kama upo ccm basi ni choka mbaya na maskini wa kutupwa hoe hae huna jipya na huna ankara

Angalia thread za wakudadavua,Barbosa hawaongei pumba kama wewe

Hata Pascal Mayalla ni mwana ccm kama mimi haongei pumba na upuuzi kama wewe

Wewe ni mipasho na ngonjera tu
 
Nakumbuka tuliwahi tofautiana kuhusu andiko lako lile kuwa maisha yekuwa nafuu ndani ya miaka 5 ya JPM.

Kwa andiko lako la leo unakiri dhahiri kuwa kuna mambo fulani fulani ndani ya CCM ambayo si mazuri.

Kama kweli wewe una imani yoyote ile ya dini na unashabikia yanayofanywa na CCM nadhani unamkosea Mungu wako.
 
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Sasa Vituo hewa vya nini?
 
Back
Top Bottom