Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
UKIONA VYAELEA, UJUE VIMEUNDWA walisema wahenga wa zamani. Tumeshuhudia press ya Dk Bashiru na baadaye viongozi mbalimbali wakipinga vikali msimamo wa aliyekuwa katibu mkuu wa CCM. Tukio hili linafanana kwa ukaribu na tukio la kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika baada ya shinikizo Kali kutoka kwa wanachama.
Hivi majuzi tulishuhudia aliyekuwa Spika wa bunge akijiuzulu kufuatia "kumkosoa hadharani "Mwenyekiti wa Chama hicho. Hatukuona hoja za kufafanua au kumjibu badala yake tuliona akishambuliwa na kila kiongozi wa chama.
Je, tutegemee kuyaona ya Spika mstaafu? Au Ndugu Bashiru ataweza kutikisa kiberiti? Je ni kosa la jinai kuhoji utendaji kazi wa Serikali? Au ni hangover za kukosa madaraka? Au ni mkakati wa kutusahaulisha yanayoendelea (umeme na maji)?
ALL in ALL, strategist wa CCM anastahili pongezi kukaa madarakani 61yrs sio utani.
Hivi majuzi tulishuhudia aliyekuwa Spika wa bunge akijiuzulu kufuatia "kumkosoa hadharani "Mwenyekiti wa Chama hicho. Hatukuona hoja za kufafanua au kumjibu badala yake tuliona akishambuliwa na kila kiongozi wa chama.
Je, tutegemee kuyaona ya Spika mstaafu? Au Ndugu Bashiru ataweza kutikisa kiberiti? Je ni kosa la jinai kuhoji utendaji kazi wa Serikali? Au ni hangover za kukosa madaraka? Au ni mkakati wa kutusahaulisha yanayoendelea (umeme na maji)?
ALL in ALL, strategist wa CCM anastahili pongezi kukaa madarakani 61yrs sio utani.