SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Yani CCM hamna hoja yoyote, chama cha mafisadi na chama cha mavilazaAkaufanyie Bujumbura huko kwa nduguze
tunasubiri kundi litakaloshindwa ili lije kwetu wananchi tuungane kudai KATIBA MPYA.Hii ni vita tu kama ile ya Urusi vs Ukraine.
Yaani hapa ni CCM asili vs CCM makinikia.
Endelea kumshabikia Mdude nyagaliYani CCM hamna hoja yoyote, chama cha mafisadi na chama cha mavilaza
Katibu wa ccm kusema ya moyoni alikuwa ndg Kolimba (RIP) aliposema Chama kimepoteza dira.Wote tunakumbuka yaliyomsibu mara tu baada ya kuhojiwa na chama chake.Lakini nawe Bashi ungelisema nadhani viongozi tumekosa kutowashukuru wakulima na wafanyakazi kutuwezesha kutekeleza majukumu yetu.Maana nawe ulikuwa hukoUKIONA VYAELEA, UJUE VIMEUNDWA walisema wahenga wa zamani. Tumeshuhudia press ya Dk Bashiru na baadaye viongozi mbalimbali wakipinga vikali msimamo wa aliyekuwa katibu mkuu wa CCM. Tukio hili linafanana kwa ukaribu na tukio la kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika baada ya shinikizo Kali kutoka kwa wanachama.
Hivi majuzi tulishuhudia aliyekuwa Spika wa bunge akijiuzulu kufuatia "kumkosoa hadharani "Mwenyekiti wa Chama hicho. Hatukuona hoja za kufafanua au kumjibu badala yake tuliona akishambuliwa na kila kiongozi wa chama.
Je, tutegemee kuyaona ya Spika mstaafu? Au Ndugu Bashiru ataweza kutikisa kiberiti? Je ni kosa la jinai kuhoji utendaji kazi wa Serikali? Au ni hangover za kukosa madaraka? Au ni mkakati wa kutusahaulisha yanayoendelea (umeme na maji)?
ALL in ALL, strategist wa CCM anastahili pongezi kukaa madarakani 61yrs sio utani.
Mpinzani mwenyewe Bashiru?labda anataka kurudi zake CUF. walau tupate chama chenye mpinzani wa maana 2025
SSH amefanya sana uungwana angeweza kummwaga mazima baada ya kutangaza baraza la mawaziri.Bashiru ni mlafi wa madaraka, chama kinamtwanga vilivyo