Nina mshikaji wangu huyu bwana
1. Ni HR wa Halmashauri X
2. Ana Masters ya MBA in HR
3. Mpiga kazi balaa
Sasa bwana kwenye chama cha CCM ...
1. Yeye kila mwaka ana jezi mpya
2. Hakuna event ya CCM ya mkoa au wilaya asihudhurie
3. Kaenda mara kibaoo kwenye mikutano ya Chama Dodoma
Ila sasa ....
Sio kiongozi yoyote, huwa namwambjaga kuwa "braza huko unapotea na kupoteza muda, CCM ina wenyewe na walio wenyewe ni hawa wenye koo za VIP au wanaojuana na hizo koo"" ila Haelwagi
Namuoneaga huruma sanaa huyu kijana wangu.
#YNWA
#YANGA_BINGWA