CCM vyeo wanagawiana familia zao na uongozi wanapeana wao kwa wao; je wanachama wengine ni wapagazi wa kubeba nyundo na majembe?

CCM vyeo wanagawiana familia zao na uongozi wanapeana wao kwa wao; je wanachama wengine ni wapagazi wa kubeba nyundo na majembe?

View attachment 3205616

Tukiwa katikati ya mtanange mkali wa kidemokrasia wa CHADEMA ambao umetoa usawa na fursa kwenye kugombea nafasi mbalimbali hivo kuibua vipaji vipya vya uongozi; CCM waliibuka na wao Dodoma kwenye mchakato wao wa kutafuta makamu mwenyekiti wa chama.

Kwa mbwembwe za msururu wa magari mapya (vinyulaa) yaliowabeba wajumbe wa CCM wakiambatana na viongozi wazito wa chama hicho, tulijua kuna jambo kubwa linaenda kutokea Dodoma ambalo halijawahi kutokea.

Kwa masikitiko makubwa, kimetokea kihoja Dodoma; mbali na nafasi ya makamu kupatikana pasipo misingi ya demokrasia ya kugawa fursa za kuchaguana kwa wote, CCM wamekuja na mzee asiyeendana na nyakati za kileo na mabadiliko makubwa ya kisiasa yanayotokea.

Nimepata huruma sana kwa wana CCM wengine ambao wao hawatoki kwenye familia za vigogo wala hawana ushawishi wowote kwenye chama; je hao watapewa lini fursa za kuonesha vipaji vyao vya uongozi kama bado kuna misingi ya demokrasia za majina ya mfukoni?

Au hawa wana CCM wengine wataishia kuwa wapagazi wa kuwabebea ma 'giants' wa CCM majembe na manyundo mpaka wanazeeka, huku wakisindikizwa na wapiga madebe akina Tlaatlaah ChoiceVariable na kamanda asiyechoka kububujika machozi Lucas Mwashambwa ?

Hii inahitaji tafakari sana, CCM msidhani kwamba kushangilia kwenu ukosefu wa misingi ya demokrasia nchini kunawanufaisha kwa chochote. Kwa misingi iliyopo ndani ya CCM wengi mtaishia kuwa wapagazi, wapambe na machawa mpaka mzeeke.

What a waste of life.
Hayakuhusu
 
Tusidanganyane, ndani ya CCM maji hufata mkondo.
Hata hizi nafasi za kiteuzi za Raisi kama DAS, RAS, Wakurugenzi, ETC utaona kabisa huteuliwa...
1. Wale ambao wazazi wao ni wana CCM tena hasa jumuia ya wazazi
2. Wale ambao wanajuana na koo za VIP
3. Kama ni mwanamke, utakuta mumewe ni someone serikalini.

Ila eti mwalimu wa Kiswahili kutoka halmashauri X ya ndanindanii kabisaa eti ateuliwe kuwa DAS dah badoo sanaa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Chadema wabunge wa viti maalumu ni Mahawala na wake za viongozi,
Huko chadema pia inabidi uwe mkubwa ili kupata fame, ukweli, kupanda ngazi ni rahisi CCM kuliko upinzani
 
Kuna mambo tunapaswa kuelewa vizuri kabisa CCM inawenyewe, sasa wewe umetoka kusiko jurikana ukoo wenu wote hakuna hata aliwahi kuwa diwani, jamani bado tuwalaumu hawa chama cha jembe na nyundo, binafsi sipo chadema wala ccm ila kuwa upande wa ccm bora niwe upande wa shetani tu
 
Hoja kama hizi ndo zilipaswa kuwemo jf kuliko watu kuwa wanasifia mashuzi tu kama sio wasomi huwa naboeka sana Taifa la ''wapelekwapelekwa''
 
Ndiyooo tena inatakiwa uwe na uwezo wa kuahirisha kufikiri kwa nafsi, a.k.a kujizima data, (chawa), yaani inatakiwa uwe mpumbavu
 
Gentleman,
huna haja ya kubababika wala kumbwelambwela,

Mbona iko wazi sana,
Ukiwa CCM, kadiri umri unavyo songa ndivyo akili pia inakomaa na kupevuka vizuri zaidi, hekima na busara vinaimarika zaidi, huku umakini na nguvu za mwana CCM huyo vinakua imara mara dufu zaidi.

Tofauti na chadema,
mathalani Mzee Azaveli Lwaitama, kadiri umri unavyosonga ndivyo anakua mpiga vizinga zaidi na anachoka zaidi, kinabaki kisogo na meno tu siji mangapi yale 🐒
Hopeless hungry monkey
 
View attachment 3205616

Tukiwa katikati ya mtanange mkali wa kidemokrasia wa CHADEMA ambao umetoa usawa na fursa kwenye kugombea nafasi mbalimbali hivo kuibua vipaji vipya vya uongozi; CCM waliibuka na wao Dodoma kwenye mchakato wao wa kutafuta makamu mwenyekiti wa chama.

Kwa mbwembwe za msururu wa magari mapya (vinyulaa) yaliowabeba wajumbe wa CCM wakiambatana na viongozi wazito wa chama hicho, tulijua kuna jambo kubwa linaenda kutokea Dodoma ambalo halijawahi kutokea.

Kwa masikitiko makubwa, kimetokea kihoja Dodoma; mbali na nafasi ya makamu kupatikana pasipo misingi ya demokrasia ya kugawa fursa za kuchaguana kwa wote, CCM wamekuja na mzee asiyeendana na nyakati za kileo na mabadiliko makubwa ya kisiasa yanayotokea.

Nimepata huruma sana kwa wana CCM wengine ambao wao hawatoki kwenye familia za vigogo wala hawana ushawishi wowote kwenye chama; je hao watapewa lini fursa za kuonesha vipaji vyao vya uongozi kama bado kuna misingi ya demokrasia za majina ya mfukoni?

Au hawa wana CCM wengine wataishia kuwa wapagazi wa kuwabebea ma 'giants' wa CCM majembe na manyundo mpaka wanazeeka, huku wakisindikizwa na wapiga madebe akina Tlaatlaah ChoiceVariable na kamanda asiyechoka kububujika machozi Lucas Mwashambwa ?

Hii inahitaji tafakari sana, CCM msidhani kwamba kushangilia kwenu ukosefu wa misingi ya demokrasia nchini kunawanufaisha kwa chochote. Kwa misingi iliyopo ndani ya CCM wengi mtaishia kuwa wapagazi, wapambe na machawa mpaka mzeeke.

What a waste of life.
Hata sisi huku chini ya Mbowe
 
Chadema wabunge wa viti maalumu ni Mahawala na wake za viongozi,
Huko chadema pia inabidi uwe mkubwa ili kupata fame, ukweli, kupanda ngazi ni rahisi CCM kuliko upinzani
Mimi ni mwana CCM mwenye kadi ya electronic, sijui chochotee kuhusu CHADEMA.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Chadema wabunge wa viti maalumu ni Mahawala na wake za viongozi,
Huko chadema pia inabidi uwe mkubwa ili kupata fame, ukweli, kupanda ngazi ni rahisi CCM kuliko upinzani
Lissu atatatua hili suala ni msafi
 
View attachment 3205616

Tukiwa katikati ya mtanange mkali wa kidemokrasia wa CHADEMA ambao umetoa usawa na fursa kwenye kugombea nafasi mbalimbali hivo kuibua vipaji vipya vya uongozi; CCM waliibuka na wao Dodoma kwenye mchakato wao wa kutafuta makamu mwenyekiti wa chama.

Kwa mbwembwe za msururu wa magari mapya (vinyulaa) yaliowabeba wajumbe wa CCM wakiambatana na viongozi wazito wa chama hicho, tulijua kuna jambo kubwa linaenda kutokea Dodoma ambalo halijawahi kutokea.

Kwa masikitiko makubwa, kimetokea kihoja Dodoma; mbali na nafasi ya makamu kupatikana pasipo misingi ya demokrasia ya kugawa fursa za kuchaguana kwa wote, CCM wamekuja na mzee asiyeendana na nyakati za kileo na mabadiliko makubwa ya kisiasa yanayotokea.

Nimepata huruma sana kwa wana CCM wengine ambao wao hawatoki kwenye familia za vigogo wala hawana ushawishi wowote kwenye chama; je hao watapewa lini fursa za kuonesha vipaji vyao vya uongozi kama bado kuna misingi ya demokrasia za majina ya mfukoni?

Au hawa wana CCM wengine wataishia kuwa wapagazi wa kuwabebea ma 'giants' wa CCM majembe na manyundo mpaka wanazeeka, huku wakisindikizwa na wapiga madebe akina Tlaatlaah ChoiceVariable na kamanda asiyechoka kububujika machozi Lucas Mwashambwa ?

Hii inahitaji tafakari sana, CCM msidhani kwamba kushangilia kwenu ukosefu wa misingi ya demokrasia nchini kunawanufaisha kwa chochote. Kwa misingi iliyopo ndani ya CCM wengi mtaishia kuwa wapagazi, wapambe na machawa mpaka mzeeke.

What a waste of life.
MaDAS maDC na MaDED ni wale wale tu tangu tupate uhuru.

Wengine wavaa kofia tu na Tshirt
 
Tunaposema ccm ni kampuni ya familia zisizozidi 1000 muwe mnaelewa! Yani hao watu na koo zao ziishe ndio wamkumbuke mwashambwa atakua keshachakaa kwa kusifia wanaume mitandaoni na kazeeka kawa mstaafu!
 
Lugha ya picha hiyo, simaanishi mwanae ila ni kwamba watapeana wao kwa wao.
Ni kweli, usitegemee wakatoa vyeo kwa CUF watapeana wao kwa wao huko ccm.

Kumbuka hao walioko juu wana ndugu zao nao ccm, na ndio unao waita "wao kwa wao".
 
Lucas mwashambwa leo alikutwa vyoo cha jk convention analia very sad sijui alipatwa na nn huyu kijana
 
Back
Top Bottom