issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Yy ndie aliyesema kama wamepindua hawatowi na mungu azidi kumpaa azabu huko aliko mjawalana yuleChief, tafadhali sana, mwache shangazi yangu Asha Bakari apumzike kwa amani, hahusiani na hii mada na alishafariki tangu 2016. Please I beg you.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app