Sasa huo ubaguzi sisi ni watanzania nchi moja tujadili kuwa na uchaguzi huru na haki ukabila na udini iwe mwiko kwetu
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote ni vyama vyetu iwe ccm.cdm.chauma nk chochote kitawale ila kisitutenge kwa udini au ukabila tubaki na tanzania yetu sawa tu zec isimamie haki kuzaliwa tabora au unguja visiwe sababu ya kutawala huku au kule tubaki ni mtanzania popote anaishi ndani ya TanzaniaZanzibar ikichukuliwa na ACT-W basi hapo ndipo muungano utakuwa wa kweli sio huu wa sasa ambao ni wa kitapeli.
Kwahiyo kama ni rais mtarajiwa kwani nikosa Raiya wake kujua rais wao shule aliyo soma na sehemu ya kijiji chao anachotokaNdiyo rais wako mtarajiwa huyo muheshimu tafadhali
Bila ya haki hakuna amani ww boya watangaaza amani wakati haki unaibinyaKuilinda amani ni gharama, wajinga hawawezi kuachiwa waiporomoshe. Walinzi wa amani hao wape support
Matokeo yao yalipinduliwa dodomaYule aliyekuwa Makamo Nahodha yupo wapi? Kwanini hakupewa
Kwahiyo hata Lissu hapati kura?CCM wameanza kuondoka Zanzibar kimyakimya, wanasema mziki wa ACT Wazalendo sio wakawaida, baadhi ya kauli ni kukifananisha Chama cha ACT Wazalendo na ng'ombe maarufu anaejulikana kwa Jina la kipole, hana msalie mtume.
Wengine wakisema hawatokubali kufanywa kuni ndani ya Zanzibar kwani kuwalinda wahafidhina wa CCM ni kuyatafuta mauti kwa hiari yako sababu ACT hawazuiliki hapa Zanzibar na wanaonekana wazi wana nguvu na kila sababu ya kushinda.
Kama Iddi Amini alipoivamia Tanzania tunajua kilichomtokea mjeshi wa Uganda sasa chukulia sisi CCM ndio kama Iddi Amin na ACT ndio majeshi ya Tanzania unafikiri tutapona.
Yes, Maalim huu ndio mwaka wake mwisho na ndio maana kuliko miaka ya nyuma yote, mara hii huenda akaisimamia kauli yake ya liwalo na liwe. Maana kama hajaingia mwaka huu, haingii tena na umri unamtupa mkono. Pia watu wamechoka na figisu za CCM, mwaka ule 2010, watu waliizingira Bwawani, walikuwa wanasubiri Maalim atoe kauli tu pale pale lianzishwe. Maalim mwenyewe aliona joto alipokwenda kuwatuliza.Nadhani sasa hivi kwa sababu ya umri, hii itakua awamu ya mwisho kwa maalimu kugombea na kwa sasa hatakua na lolote lile la kupoteza na ameshesema hatawazuia vijana kuingia barabarani huku yeye mwenyewe akiwa frontline,akitekeleza hayo then Zanzibar ni pa kupaangalia kwa jicho la umakini sana.
Nilipewa habari siku alokuja Zanzibar wakafanya mkutano wao na vijana wa chuo CCM pale SUZA ziliruka ngumi kwa sababu kuna CCM alimhoji uhalali wa kugombea urais Zanzibar wakati hakufikia masharti. Wakuletwa wakanuna na kuanza kuzichapa 😀Hussein mwinyi siyo mzanzibar Bali huku hakuzaliwa wala hakusoma shule wala madrasa na wala hakuna hata MTU mmoja kama aliwahi kucheza nae ktk udogo wake na baba ake alipo kua Rais mwaka 1984- 1985 yani aliteuliwa Dodoma nakuja kukaa tu Zanzibar wala hakupigiwa kura kwahiyo na habari zilizopo shamsi vua nahodha amechukuliwa tangu juzi yuko Dodoma huko anahojiwa kisa anawambia watu wa Zanzibar wasimchague mwinyi kwani mwinyi akichagulia ndio Zanzibar kashaifanya wilaya
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
ccm hawamwezi seif kwa namna yoyote ileCCM wameanza kuondoka Zanzibar kimyakimya, wanasema mziki wa ACT-Wazalendo sio wakawaida, baadhi ya kauli ni kukifananisha Chama cha ACT-Wazalendo na ng'ombe maarufu anaejulikana kwa Jina la kipole, hana msalie mtume.
Wengine wakisema hawatokubali kufanywa kuni ndani ya Zanzibar kwani kuwalinda wahafidhina wa CCM ni kuyatafuta mauti kwa hiari yako sababu ACT-Wazalendo hawazuiliki hapa Zanzibar na wanaonekana wazi wana nguvu na kila sababu ya kushinda.
Kama Iddi Amini alipoivamia Tanzania tunajua kilichomtokea mjeshi wa Uganda sasa chukulia sisi CCM ndio kama Iddi Amin na ACT-Wazalenda ndio majeshi ya Tanzania unafikiri tutapona.
ccm wana mbinu nyingi katika kushinda/kushindwa. 2015 walifuta matokeo na uchaguzi wote wa znz kwa ujumla. 2020 wamepima upepo wameona hakuna namna zaidi yakuweka mzanzibara badala ya mzanzibari kupeperusha bendera ya chama chao, ili maalim atakapo chukua nchi waje na kisingizio kwamba wamesalitiana wenyewe kwa wenyewe.CCM wameanza kuondoka Zanzibar kimyakimya, wanasema mziki wa ACT-Wazalendo sio wakawaida, baadhi ya kauli ni kukifananisha Chama cha ACT-Wazalendo na ng'ombe maarufu anaejulikana kwa Jina la kipole, hana msalie mtume.
Wengine wakisema hawatokubali kufanywa kuni ndani ya Zanzibar kwani kuwalinda wahafidhina wa CCM ni kuyatafuta mauti kwa hiari yako sababu ACT-Wazalendo hawazuiliki hapa Zanzibar na wanaonekana wazi wana nguvu na kila sababu ya kushinda.
Kama Iddi Amini alipoivamia Tanzania tunajua kilichomtokea mjeshi wa Uganda sasa chukulia sisi CCM ndio kama Iddi Amin na ACT-Wazalenda ndio majeshi ya Tanzania unafikiri tutapona.
Kama mwinyi ni mzanzibar kasoma shule gani au madrasa gani kwa hapa Zanzibar na jee kwao nikijiji gani kwa hapa Zanzibarccm wana mbinu nyingi katika kushinda/kushindwa. 2015 walifuta matokeo na uchaguzi wote wa znz kwa ujumla. 2020 wamepima upepo wameona hakuna namna zaidi yakuweka mzanzibara badala ya mzanzibari kupeperusha bendera ya chama chao, ili maalim atakapo chukua nchi waje na kisingizio kwamba wamesalitiana wenyewe kwa wenyewe.
Kuna hoja gani ya kujibu hapo?zaidi ya utopolo.
Jibu hoja broo usije na matusi lkn siwalaumu nyinyi matusi mushazoea kwani mumerisi kwa shangazi yenu Asha Bakari
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kama mwinyi ni mzanzibar kasoma shule gani au madrasa gani kwa hapa Zanzibar na jee kwao nikijiji gani kwa hapa Zanzibar
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mungu amuangamize huko alipo,kupitia yeye anataka zanzibar imwagike damu ili tu ccm ibaki madarakani.Chief, tafadhali sana, mwache shangazi yangu Asha Bakari apumzike kwa amani, hahusiani na hii mada na alishafariki tangu 2016. Please I beg you.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila kumbuka kila amuombeae mwenziwe baya hafi ila nayeye litampata baya! Na mtu aliekwishafariki hana maangamizo atakayopata.Mungu amuangamize huko alipo,kupitia yeye anataka zanzibar imwagike damu ili tu ccm ibaki madarakani.
Jee mwinyi Zanzibar kasoma skuli gani au madrasa gani au kwao nikijiji kipi kwa hapa Zanzibar na jee tangu alipo kua bungeini amewahi kuitetea Zanzibar na jee yy ndie waziri wa wizara ya mambo ya ndani jee wale mashekhe mpaka Leo mbona anawatesa huu ni mwaka wa 8Kuna hoja gani ya kujibu hapo?zaidi ya utopolo.