Zanzibar 2020 CCM waanza kufunga virago Zanzibar, waihofia ACT-Wazalendo

Zanzibar 2020 CCM waanza kufunga virago Zanzibar, waihofia ACT-Wazalendo

Kama mwinyi ni mzanzibar huu ni mwaka wa 20 yuko bungeni niliwahi kumsikia lini akaitetea Zanzibar au nyengine yy ni waziri wa vyombo vya ulinzi mbona mpaka Leo ushahidi hauja kamilika kuhusu mashehe wale wala yy kuwatetea mashehe wale

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hizo ndio hoja mnazompa Maalim azitoe mbele ya Wazanzibar wakati huu wa kampeni!? Mmeishiwa hoja tayari? Poleni sana.
 
habari zilizopo shamsi vua nahodha amechukuliwa tangu juzi yuko Dodoma huko anahojiwa kisa anawambia watu wa Zanzibar wasimchague mwinyi kwani mwinyi akichagulia ndio Zanzibar kashaifanya wilaya
hii habari ya shamsi ina ukweli wowote au ni redio kifua?
niliisikia kwa mtu mmoja ninayemuheshimu sana mchana wa jumamosi.
 
Katiba ya Zanzibar inasema unapo gombania urais wa Zanzibar lazima uwe mzanzibar maalim ni mzanzibar kwao mtambwe mkoa wa kaskazini Pemba wilaya ya wete na amesoma shule ya uondwe primary na secondary akaenda soma shule ya utaani iliyopo wete na badae akaenda Lumumba iliyopo unguja na kisha akeenda chuo kikuu cha daressalam jee mwinyi Zanzibar hii kwao ni wapi na amesoma shule gani hapa Zanzibar ??

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli CCM hawana option nyingine zaidi ya kufuta matokeo na kushusha Vifaru na Majeshi kutoka Tanganyika. Siyo kwenye sanduku la kura.
 
Hizo ndio hoja mnazompa Maalim azitoe mbele ya Wazanzibar wakati huu wa kampeni!? Mmeishiwa hoja tayari? Poleni sana.
Inaonekana hufuatilii kampeni za ACT, jana kibanda maiti Maalim wala hakuwa na muda kabisa na huyo jamaa wa MKURANGA.
Aliongea mambo mawili katika ilani ya ACT ambayo ni Uongozi na utawawala pamoja na Uchumi. Tafuta clip uone nondo zilizotemwa ni balaa, kwa hakika Husein Mwinyi anajuta kwanini hakuenda kugombea kwao MKURANGA.
 
CCM wameanza kuondoka Zanzibar kimyakimya, wanasema mziki wa ACT Wazalendo sio wakawaida, baadhi ya kauli ni kukifananisha Chama cha ACT Wazalendo na ng'ombe maarufu anaejulikana kwa Jina la kipole, hana msalie mtume.

Wengine wakisema hawatokubali kufanywa kuni ndani ya Zanzibar kwani kuwalinda wahafidhina wa CCM ni kuyatafuta mauti kwa hiari yako sababu ACT hawazuiliki hapa Zanzibar na wanaonekana wazi wana nguvu na kila sababu ya kushinda.

Kama Iddi Amini alipoivamia Tanzania tunajua kilichomtokea mjeshi wa Uganda sasa chukulia sisi CCM ndio kama Iddi Amin na ACT ndio majeshi ya Tanzania unafikiri tutapona.
Tusubiri sanduku la kura na kula
 
Mkutano wao juzi wa ccm walileta watu kutoka bara ktk meli ya baharesa ile Azam silink wa kiwemo na wasanii na huku unguja vikosi vyote vya kmkm, jku, zimamoto wote walivalishwa sare za chama na kupelekwa mikutanoni juzi ilikua watu wanatolewa sehemu za vijijini nakuletwa mjini kwa magari ya bure halafu unalipwa elfu 5 na huku mjini vijana walitiliwa mafuta kila mwenye vespa , gari bodaboda unatiliwa mafuta na unapewa elfu 10 na wakawaita vijana wote kike kiume walio maliza mtihani wa form 6 marahii nakuwambia waandike majina yao yote na wataje sehemu wanayoishi na kuwambia asiye andika hatopewa mkopo wa kuingia chuoni kwenda kusoma digree kwahiyo wote wakavaliswha sare za chama

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
huu mpambano utakuwa wa kukata na shoka, nadhani utavuta hisia za watu wengi kuufuatilia
 
Labda ishinde kwa kuleta wasanii lkn siyo kwa kura maana marahii musizanie tutasubiri tume itangaaze tutajitangaazaa wenyewe bara barani

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ni kawaida, mgombea wenu ambaye hajawahi kuwa na chama hujitangaza kuwa ameshinda, mara hii pia atajitangaza
 
Back
Top Bottom