issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Yy ndie aliyesema kama wamepindua hawatowi na mungu azidi kumpaa azabu huko aliko mjawalana yuleChief, tafadhali sana, mwache shangazi yangu Asha Bakari apumzike kwa amani, hahusiani na hii mada na alishafariki tangu 2016. Please I beg you.
Sent using Jamii Forums mobile app
Please! Hata kama alisema ni maneno tu ya kisiasa na kwasasa hayupo katika ulimwengu huu, mwache apumzike please!!Yy ndie aliyesema kama wamepindua hawatowi na mungu azidi kumpaa azabu huko aliko mjawalana yule
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Baba mukitaka amani na haki atakae shinda mtaangazeni mukifanya figisu twaanza na nyinyiSawa ila kumbuka kila amuombeae mwenziwe baya hafi ila nayeye litampata baya! Na mtu aliekwishafariki hana maangamizo atakayopata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm muna sema kweli hakuna maneno ya kisiasa mbona lisu kuwambia kweli mume mpa risasiPlease! Hata kama alisema ni maneno tu ya kisiasa na kwasasa hayupo katika ulimwengu huu, mwache apumzike please!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipo hapa kwa ajili ya mada yako, bali ni baada ya kuona umemtaja shangazi yangu tu! Mwache apumzike huko aliko. Hayo mengine mie simo!!Baba mukitaka amani na haki atakae shinda mtaangazeni mukifanya figisu twaanza na nyinyi
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo,na Mgombea yule ataludi
kwao Tanganyika?
Kifungu gani cha sheria au katiba gani inasema uraia wa mtu unakuwa determined na shule au madrasa aliyosomea? Kuwa waziri haimaanishi yuko juu ya sheria wacha mahaka iwatendee haki mashekh wako unaowataka uraiani kwa makosa ya ugaidi. Ndo maana nilikuambia hoja zenu ni utopolo na upumbavu kuzijibu .Jee mwinyi Zanzibar kasoma skuli gani au madrasa gani au kwao nikijiji kipi kwa hapa Zanzibar na jee tangu alipo kua bungeini amewahi kuitetea Zanzibar na jee yy ndie waziri wa wizara ya mambo ya ndani jee wale mashekhe mpaka Leo mbona anawatesa huu ni mwaka wa 8
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mhhhhii habari ya shamsi ina ukweli wowote au ni redio kifua?
niliisikia kwa mtu mmoja ninayemuheshimu sana mchana wa jumamosi.
Achana na Masheikh...lakini inafikirisha kuwa unataka kuwa Rais kwenye nchi ambayo huna mizizi pale. .hujàakulia hapo,hukusoma pàle...kuishi huko!Kifungu gani cha sheria au katiba gani inasema uraia wa mtu unakuwa determined na shule au madrasa aliyosomea? Kuwa waziri haimaanishi yuko juu ya sheria wacha mahaka iwatendee haki mashekh wako unaowataka uraiani kwa makosa ya ugaidi. Ndo maana nilikuambia hoja zenu ni utopolo na upumbavu kuzijibu .