CCM waibuka kidedea Bungeni

CCM waibuka kidedea Bungeni

Kwa takribani siku sita,kulikuwa na mjadala juu ya Vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Kudumu za Bunge la Katiba.Vifungu husika vinahusu namna ya kufikia uamuzi Bungeni kwa njia ya kupiga kura pale ambapo kutakuwa na haja ya kufanya hivyo. Kura zitapigwa hata wakati wa kupitishwa kwa kifungu kwa kifungu cha Rasimu ya Pili ya Katiba itakayojadiliwa na kupitishwa na Bunge.

Mvutano wa wazi na mkali ulikuwa juu ya Kura ya Wazi au Kura ya Siri. CCM katika mjadala mzima ilishindwa kuwashawishi Wajumbe waiunge mkono katika kuipigia upatu kura ya wazi. Mjadala ukawa mgumu na kuahirisha Bunge mara kwa mara. Ndipo ilipoundwa Kamati ya Maridhiano kushughulikia suala hilo.Hata Kamati nayo ikagonga mwamba katika kuamua.

Leo asubuhi,Bunge la Katiba limepitisha Kanuni husika likiviacha vifungu vya 37 na 38 kama vilivyo.Ikatolewa taarifa kuwa Kamati ya Maridhiano itashughulikia suala hilo. Hapo ndipo CCM iliponyakua ushindi. Baada ya kesho kuchaguliwa kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la Katiba na Bunge kuanza kazi yake ipasavyo,maamuzi mengi na mamlaka yatakuwa katika kiti cha Mwenyekiti.

Kamati ya Maridhiano italazimika kumwachia Mwenyekiti aamue kuhusu suala hilo kwa kutumia busara zake. Iko wazi kuwa Mwenyekiti wa Kudumu atatokea CCM.Hii ni kwa kuangalia idadi wa Wajumbe wenye mafungamano na CCM. Hivyobasi,kuna uwezekano mkubwa Mwenyekiti huyo kutoka CCM akasimamia msimamo wa chama chetu wa kura ya wazi wakati wa kupitisha Rasimu ya Katiba. Na hapo ndipo mchezo utakapoishia.....

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodoma)

Mwenyekiti wa bunge la katiba hatakua na nafasi ya kucheza rafu

Anayo nafasi nzuri sana ya kucheza kuifurahisha CCM lakini

Anayo pia fursa sahihi ya kuonyesha watanzania ikiwa ni pamoja na wapinzani umahiri wake wa kufanya maamuzi kwa maslahi ya taifa bila upendeleo na itakua karata yake ya turufu kuwania nafasi ya urais 2015
 
Ni heri kuwa umetoa msimamo wa kimtazamo wako mapema. Hii itawasaidia sana wale wa upande wa pili kujiweka sawa kukabiliana na hilo. Kumbuka kuwa upo UWAKA.
 
Ni wazi kwamba kama katiba mpya itapatikana kwa shinikizo la uwepo wa abunge wengi wa ccm, ni kuwa katiba hiyo haitakuwa na manufaa kwa Watanzania na itaacha kero nyingi katika jamii bila kushughulikiwa.

Kero hizo zitasababisha kuyumba kwa nchi na kulazimu kufanya marekebisho makubwa (amendments) kwenye katiba hiyo. Cha kusikitisha katika muonekano huo ni kwamba pesa za wananchi zitazidi kupotea, lakini hatimaye tutapata katiba ambayo wananchi wameiridhia.

Vile vile upo uwezekano wa ccm kupoteza uelekeo wake kutokana na shinikizo lao hili.

CCM ni nani? nani kawapeleka pale?,nani kampeleka lisu,mnyika,mbowe,Mhagama,kapten komba,nk hawa wote wamepelekwa na wananchi na kama ni wananchi basi wananchi wanao support ccm ni wengi kuliko wanaosupport vyama pinzani,mitaani wana ccm ni wengi na bungen wana ccm ni wengi huwezi kwepa kwa sasa,wait your time
 
Kwa takribani siku sita,kulikuwa na mjadala juu ya Vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Kudumu za Bunge la Katiba.Vifungu husika vinahusu namna ya kufikia uamuzi Bungeni kwa njia ya kupiga kura pale ambapo kutakuwa na haja ya kufanya hivyo. Kura zitapigwa hata wakati wa kupitishwa kwa kifungu kwa kifungu cha Rasimu ya Pili ya Katiba itakayojadiliwa na kupitishwa na Bunge.

Mvutano wa wazi na mkali ulikuwa juu ya Kura ya Wazi au Kura ya Siri. CCM katika mjadala mzima ilishindwa kuwashawishi Wajumbe waiunge mkono katika kuipigia upatu kura ya wazi. Mjadala ukawa mgumu na kuahirisha Bunge mara kwa mara. Ndipo ilipoundwa Kamati ya Maridhiano kushughulikia suala hilo.Hata Kamati nayo ikagonga mwamba katika kuamua.

Leo asubuhi,Bunge la Katiba limepitisha Kanuni husika likiviacha vifungu vya 37 na 38 kama vilivyo.Ikatolewa taarifa kuwa Kamati ya Maridhiano itashughulikia suala hilo. Hapo ndipo CCM iliponyakua ushindi. Baada ya kesho kuchaguliwa kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la Katiba na Bunge kuanza kazi yake ipasavyo,maamuzi mengi na mamlaka yatakuwa katika kiti cha Mwenyekiti.

Kamati ya Maridhiano italazimika kumwachia Mwenyekiti aamue kuhusu suala hilo kwa kutumia busara zake. Iko wazi kuwa Mwenyekiti wa Kudumu atatokea CCM.Hii ni kwa kuangalia idadi wa Wajumbe wenye mafungamano na CCM. Hivyobasi,kuna uwezekano mkubwa Mwenyekiti huyo kutoka CCM akasimamia msimamo wa chama chetu wa kura ya wazi wakati wa kupitisha Rasimu ya Katiba. Na hapo ndipo mchezo utakapoishia.....

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodoma)
acha kupotosha watu
 
Kwa takribani siku sita,kulikuwa na mjadala juu ya Vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Kudumu za Bunge la Katiba.Vifungu husika vinahusu namna ya kufikia uamuzi Bungeni kwa njia ya kupiga kura pale ambapo kutakuwa na haja ya kufanya hivyo. Kura zitapigwa hata wakati wa kupitishwa kwa kifungu kwa kifungu cha Rasimu ya Pili ya Katiba itakayojadiliwa na kupitishwa na Bunge.

Mvutano wa wazi na mkali ulikuwa juu ya Kura ya Wazi au Kura ya Siri. CCM katika mjadala mzima ilishindwa kuwashawishi Wajumbe waiunge mkono katika kuipigia upatu kura ya wazi. Mjadala ukawa mgumu na kuahirisha Bunge mara kwa mara. Ndipo ilipoundwa Kamati ya Maridhiano kushughulikia suala hilo.Hata Kamati nayo ikagonga mwamba katika kuamua.

Leo asubuhi,Bunge la Katiba limepitisha Kanuni husika likiviacha vifungu vya 37 na 38 kama vilivyo.Ikatolewa taarifa kuwa Kamati ya Maridhiano itashughulikia suala hilo. Hapo ndipo CCM iliponyakua ushindi. Baada ya kesho kuchaguliwa kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la Katiba na Bunge kuanza kazi yake ipasavyo,maamuzi mengi na mamlaka yatakuwa katika kiti cha Mwenyekiti.

Kamati ya Maridhiano italazimika kumwachia Mwenyekiti aamue kuhusu suala hilo kwa kutumia busara zake. Iko wazi kuwa Mwenyekiti wa Kudumu atatokea CCM.Hii ni kwa kuangalia idadi wa Wajumbe wenye mafungamano na CCM. Hivyobasi,kuna uwezekano mkubwa Mwenyekiti huyo kutoka CCM akasimamia msimamo wa chama chetu wa kura ya wazi wakati wa kupitisha Rasimu ya Katiba. Na hapo ndipo mchezo utakapoishia.....

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodoma)
Ongera sana kwa ushindi huo wa mezani
Tunawasubiri huku kasarani.
 
CCM Oyeeeee......! Hakikisheni katiba inapita ikiwa na ibara nyingi zenye mlengo wa kukipa Chama tawala ushindi kwa chaguzi zote zijazo siku za mbele...! Tehe...teh...teh...!
 
Kwa takribani siku sita,kulikuwa na mjadala juu ya Vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Kudumu za Bunge la Katiba.Vifungu husika vinahusu namna ya kufikia uamuzi Bungeni kwa njia ya kupiga kura pale ambapo kutakuwa na haja ya kufanya hivyo. Kura zitapigwa hata wakati wa kupitishwa kwa kifungu kwa kifungu cha Rasimu ya Pili ya Katiba itakayojadiliwa na kupitishwa na Bunge.

Mvutano wa wazi na mkali ulikuwa juu ya Kura ya Wazi au Kura ya Siri. CCM katika mjadala mzima ilishindwa kuwashawishi Wajumbe waiunge mkono katika kuipigia upatu kura ya wazi. Mjadala ukawa mgumu na kuahirisha Bunge mara kwa mara. Ndipo ilipoundwa Kamati ya Maridhiano kushughulikia suala hilo.Hata Kamati nayo ikagonga mwamba katika kuamua.

Leo asubuhi,Bunge la Katiba limepitisha Kanuni husika likiviacha vifungu vya 37 na 38 kama vilivyo.Ikatolewa taarifa kuwa Kamati ya Maridhiano itashughulikia suala hilo. Hapo ndipo CCM iliponyakua ushindi. Baada ya kesho kuchaguliwa kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la Katiba na Bunge kuanza kazi yake ipasavyo,maamuzi mengi na mamlaka yatakuwa katika kiti cha Mwenyekiti.

Kamati ya Maridhiano italazimika kumwachia Mwenyekiti aamue kuhusu suala hilo kwa kutumia busara zake. Iko wazi kuwa Mwenyekiti wa Kudumu atatokea CCM.Hii ni kwa kuangalia idadi wa Wajumbe wenye mafungamano na CCM. Hivyobasi,kuna uwezekano mkubwa Mwenyekiti huyo kutoka CCM akasimamia msimamo wa chama chetu wa kura ya wazi wakati wa kupitisha Rasimu ya Katiba. Na hapo ndipo mchezo utakapoishia.....

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodoma)

Hivi hii katiba ya ccm siyo?!
 
Mzee tupa tupa huwa unajitahidi kuleta hoja ila hii ya leo umesimplify sana. It is not that much straight hii issue bhanaaa
 
CHADEMA na cuf wanataka siri ili ikifikia Yale mambo museveni ameyakataa wawezepiga kura bila kuffahamika hovyo kweli kura iwe ya wazii
Ulichoongea hapo ni utumbo kwa asilimia 100, how comes ulinganishe muswada wa kupinga ushoga alioupitisha Museveni na upitishwaji wa kifungu hadi kifungu, kwa kura ya wazi na siri!!

Nyinyi maCCM hila zenu siku zote zinaeleweka na umma wa watanzania, rasimu ya Katiba iliyoandaliwa na Tume ya Warioba imeandaliwa vizuri sana kwa maslahi mapana ya nchi yetu, lakini kwa kuwa nyinyi CCM mlikuwa mkipeta katika chaguzi zote zilizopita kutokana na kubebwa na Katiba iliyopo, mnataka kuwadhibiti wabunge wenu wa magamba ambao lengo lao ni kuweka maslahi muwadhibiti kwa kura za wazi, ili muwaone wale wanaoweka maslahi ya nchi mbele, na kuyaweka maslahi ya chama tawala kapuni!!!
 
Kwa takribani siku sita,kulikuwa na mjadala juu ya Vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Kudumu za Bunge la Katiba.Vifungu husika vinahusu namna ya kufikia uamuzi Bungeni kwa njia ya kupiga kura pale ambapo kutakuwa na haja ya kufanya hivyo. Kura zitapigwa hata wakati wa kupitishwa kwa kifungu kwa kifungu cha Rasimu ya Pili ya Katiba itakayojadiliwa na kupitishwa na Bunge.

Mvutano wa wazi na mkali ulikuwa juu ya Kura ya Wazi au Kura ya Siri. CCM katika mjadala mzima ilishindwa kuwashawishi Wajumbe waiunge mkono katika kuipigia upatu kura ya wazi. Mjadala ukawa mgumu na kuahirisha Bunge mara kwa mara. Ndipo ilipoundwa Kamati ya Maridhiano kushughulikia suala hilo.Hata Kamati nayo ikagonga mwamba katika kuamua.

Leo asubuhi,Bunge la Katiba limepitisha Kanuni husika likiviacha vifungu vya 37 na 38 kama vilivyo.Ikatolewa taarifa kuwa Kamati ya Maridhiano itashughulikia suala hilo. Hapo ndipo CCM iliponyakua ushindi. Baada ya kesho kuchaguliwa kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la Katiba na Bunge kuanza kazi yake ipasavyo,maamuzi mengi na mamlaka yatakuwa katika kiti cha Mwenyekiti.

Kamati ya Maridhiano italazimika kumwachia Mwenyekiti aamue kuhusu suala hilo kwa kutumia busara zake. Iko wazi kuwa Mwenyekiti wa Kudumu atatokea CCM.Hii ni kwa kuangalia idadi wa Wajumbe wenye mafungamano na CCM. Hivyobasi,kuna uwezekano mkubwa Mwenyekiti huyo kutoka CCM akasimamia msimamo wa chama chetu wa kura ya wazi wakati wa kupitisha Rasimu ya Katiba. Na hapo ndipo mchezo utakapoishia.....

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodoma)

You have a point. Hasa kama mwenyekiti akiwa Mama Makinda, Jennista Mhagama, Pindi Chana au watu wengine wenye mlengo mzito wa kichama. Sitta mwenyewe haeleweki sana, ana element kubwa ya kutanguliza maslahi yake kwanza.
 
Wapinzani wa nchi hii ni "legelege" na kwangu sitoshangaa hilo likitokea.

Hakuna watu waliozaliwa wapinzani hivyo hao legelege wewe unaweza kuwa ndio zaidi hata ya ulege lege!Jipiganie usitegemee wanaume wengine wakupiganie halafu wakishindwa unawaita lege lege!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kwa takribani siku sita,kulikuwa na mjadala juu ya Vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Kudumu za Bunge la Katiba.Vifungu husika vinahusu namna ya kufikia uamuzi Bungeni kwa njia ya kupiga kura pale ambapo kutakuwa na haja ya kufanya hivyo. Kura zitapigwa hata wakati wa kupitishwa kwa kifungu kwa kifungu cha Rasimu ya Pili ya Katiba itakayojadiliwa na kupitishwa na Bunge.

Mvutano wa wazi na mkali ulikuwa juu ya Kura ya Wazi au Kura ya Siri. CCM katika mjadala mzima ilishindwa kuwashawishi Wajumbe waiunge mkono katika kuipigia upatu kura ya wazi. Mjadala ukawa mgumu na kuahirisha Bunge mara kwa mara. Ndipo ilipoundwa Kamati ya Maridhiano kushughulikia suala hilo.Hata Kamati nayo ikagonga mwamba katika kuamua.

Leo asubuhi,Bunge la Katiba limepitisha Kanuni husika likiviacha vifungu vya 37 na 38 kama vilivyo.Ikatolewa taarifa kuwa Kamati ya Maridhiano itashughulikia suala hilo. Hapo ndipo CCM iliponyakua ushindi. Baada ya kesho kuchaguliwa kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Bunge la Katiba na Bunge kuanza kazi yake ipasavyo,maamuzi mengi na mamlaka yatakuwa katika kiti cha Mwenyekiti.

Kamati ya Maridhiano italazimika kumwachia Mwenyekiti aamue kuhusu suala hilo kwa kutumia busara zake. Iko wazi kuwa Mwenyekiti wa Kudumu atatokea CCM.Hii ni kwa kuangalia idadi wa Wajumbe wenye mafungamano na CCM. Hivyobasi,kuna uwezekano mkubwa Mwenyekiti huyo kutoka CCM akasimamia msimamo wa chama chetu wa kura ya wazi wakati wa kupitisha Rasimu ya Katiba. Na hapo ndipo mchezo utakapoishia.....

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodoma)

Kwa kweli mimi nilikuwa na nia ya kujiunga na CCM lakini nimehairisha maamuzi hayo baada ya kuona ubeberu unaoendelea kule Dodoma. Unapitisha kanuni za kuendesha bunge la katiba bila kupitisha kanuni ya jinsi ya kufanya maamuzi! Sijawahi kuona watu wenye akili za wendawazimu namna hiyo. Natamani jambo ili liingie kwenye kitabu cha kumbukumbu cha Dunia.
 
Kwa kweli mimi nilikuwa na nia ya kujiunga na CCM lakini nimehairisha maamuzi hayo baada ya kuona ubeberu unaoendelea kule Dodoma. Unapitisha kanuni za kuendesha bunge la katiba bila kupitisha kanuni ya jinsi ya kufanya maamuzi! Sijawahi kuona watu wenye akili za wendawazimu namna hiyo. Natamani jambo ili liingie kwenye kitabu cha kumbukumbu cha Dunia.

Halafu unaona wajumbe wanaotetea ukiwaangalia.vizuri nafsi zao zinawasuta
 
CHADEMA na cuf wanataka siri ili ikifikia Yale mambo museveni ameyakataa wawezepiga kura bila kuffahamika hovyo kweli kura iwe ya wazii

Hakunq kipengele cha ushoga katika rasimu ya katiba mpya nadhani unapenda sana ushoga au nawe ni mmoja wao!
 
Kumbe ww unachezea mzee 6 hana cha sisiem wala CHADEMA, Kitu mstari. Afu naomaba aendelee (na imani atapita) hadi budget ya mwaka 2014/15, Makinda na Job walipwe tu posho zao wakiwa wametulia kimya.
 
Halafu unaona wajumbe wanaotetea ukiwaangalia.vizuri nafsi zao zinawasuta

Sijui kama hao wanaotetea hoja ya ajabu namna hiyo kama wana familia. kama ningezaliwa katika familia ya baba au mama wa namna hiyo nadhani ningetamani ardhi ipasuke inifunike nisione aibu kubwa namna hiyo. Hata dhamira zao zimekufa ama kweli watu wakishaingiwa na ushetani wa kujitumikia wao wenyewe basi upofu wao ni mkubwa na akili zao huingia giza kiasi kwamba hata wakiwa uchi wanadhani wamevaa nguo.
 
Back
Top Bottom