CCM wakimpitisha Chenge kuwania Uspika, nitaamini kuwa Watanzania hatuko serious

Exposed!!! Exposed kuliko Havard alumni!
Povu linakutoka speaker ameshapangwa na Mungu awe Fisadi Chenge au kijana Masele au Tulia au Mwijaku ameshaandikwa so relax
 
CCM ni ile ile, watampitisha chenge na hakuna kitu mtawafanya
 
M

Mh Raisi anapotoshwa na baadhi ya watu kwa personal interest zao ngoja wamzunge waje wampindue subili amuweke chenge

Amemuweka Tulia Akson Mwansasu...

Nafasi ya unaibu tena inakuwa Wazi.
 
Amemuweka Tulia Akson Mwansasu...

Nafasi ya unaibu tena inakuwa Wazi.


Amekosea angemuweka mwanaume kijana kama akizingua wana mndugai , Masele alifaa hapo angeweka Mwanaume kuepusha malalamiko yanayoendelea kwenye serikali yake kwamba hili upate teuzi kwa asilimia kubwa ni lazima uwe mzanzibar, au Mwanamke au Msoga gang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…