CCM wakimpitisha Chenge kuwania Uspika, nitaamini kuwa Watanzania hatuko serious

CCM wakimpitisha Chenge kuwania Uspika, nitaamini kuwa Watanzania hatuko serious

Chenge hakupelekwa ulaya kwa pingu, hizo ni siasa zako chafu , waingereza ndo walituuzia rada kwa bei kubwa kuliko na ilipigundulika wakajikosha kwa kurudisha hela,,,
Chenge si fundi makanika wa rada , eti ajue rada fulani ndo inafaaa, hela zilizorudishwa hazikutoka account ya chenge
Chadema wewe mumehongwa pesa na chenge kama Lowasa alivyowahonga vibaka nyie

Usalama wa taifa na uingereza ndio wanajua vizuri wizi qa change alikuwa hawezi saini mkataba wowote wa mwekezaji wa kimataifa hadi apewe dola laki mbili

Suti zake zote zilikuwa zinaenda kufuliwa dry cleaner Ufaransa DHL ndio walikuwa wasafirishaji

Huyo fisadi kawahonga chadema kama Lowasa alivyowahonga

Ushahidi Upo DHL pia lifisadi hilo
 
Chenge hakupelekwa ulaya kwa pingu, hizo ni siasa zako chafu , waingereza ndo walituuzia rada kwa bei kubwa kuliko na ilipigundulika wakajikosha kwa kurudisha hela,,,
Chenge si fundi makanika wa rada , eti ajue rada fulani ndo inafaaa, hela zilizorudishwa hazikutoka account ya chenge
Kwa taarifa yako wewe fisadi mkubwa rekodi za ufisadi wa Chenge ziko recorded kimataifa sema fisadi Kikwete hakutaka kuchukua hatua Magufuli akadeal naye

Mama samia be careful usidhani una full control ya nchi kama General Ulimwengu alivyosema kuwa hujui Tanzania huyo fisadi kikwete asikuburuze anything anytime can happen
 
Kwa taarifa yako wewe fisadi mkubwa rekodi za ufisadi wa Chenge ziko recorded kimataifa sema fisadi Kikwete hakutaka kuchukua hatua Magufuli akadeal naye

Mama samia be careful usidhani una full control ya nchi kama General Ulimwengu alivyosema kuwa hujui Tanzania huyo fisadi kikwete asikuburuze anything anytime can happen
Ali deal nae kivipi wakati yuko nje anatamba? Acha ujinga.

Harafu wewe Sukuma gang unatutia kichefu chefu toka hapa mliharibu Nchi nyie kenge.
 
Kuna minong'ono kwenye jukwaa letu kuwa jina Mtemi Chenge ndilo liko likely kupendekezwa na chama. Kama hii itatokea kwa kweli nitaamini kuwa kama Taifa hatuko serious. Change ana tuhuma kadhaa huko nyuma za ubadhirifu na ufisadi. Ilifikia mpaka kwa kiburi najeuri kudai wazi wazi kuwa zile pesa zinazosemekana kuwa kwenye account yake huko visiwa vya Jersey kuwa ni visenti tu.

Ingawa hajawahi kuchunguzwa au kuwa convicted kwa tuhuma lakini kitendo cha yeye kusema hivyo ni dhahiri kuwa alikubaliana kuwa ana pesa huko nje lakini hakuja wazi clean kuwa alizipataje. Hakuwahi kutuonyesha kama Taifa yeye kama mtumishi wa serikali tena wakati ule wa mishahara njiwa, yeye alizipataje pesa zote hizo mpaka za kufungua account kwenye bank za Matajiri nje ya nchi!?

Kana kwmba haitoshi, huyu Mtemi Chenge alikuwa involvolved kwenye kesi ya Capable homicide ambapo alipata ajali usiku wa manane akitoka ulevini na mtu akafa. Ingawa alishinda kesi, bado wenye akili zetu hii kesi ilituachia maswali mengi. Ukichukulia kwamba huko nyuma yeye alishawahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa miaka 10. Hivyo kuna possibility kubwa kuwa inawezekana alitumia connections zake kujisafisha.

Binafsi simchukii Chenge kama watu wanavyoweza kutafsiri na inawezekana pia Chenge anatafuta nafasi ya kujisafisha lakini kama Taifa ni wakati wa kutumia akili mpya na kuachana na hawa walioshindwa kutufanyia lolote kama taifa walipopata nafasi na badala yake wamekuwa ni mifano mibaya kwa kizazi chetu. Kama Rais kawaondoa akina Kabudi na Lukuvi kwa kudai ni Wazee, why bring Chenge back wakati yeye ni mzee zaidi ya hao aliowaondoa kwenye Uwaziri.

Wanasilisha

Wewe abiria wa ajabu sana! Driver anapiga U-turn kisha anatembea Km 200 kuelekea mlikotoka, lakini wewe bado hujui tu kwamba mnarudi mlikotoka?

Au unasubiri Mzee wa Msoga ahamie Ikulu ndipo ujue kwamba safari ya kwenda Canaan imeshakufa?
 
Wapitishe wengine alafu lawama sije kwa wote ?

Kweli wewe hauko Serious
 
Ali deal nae kivipi wakati yuko nje anatamba? Acha ujinga.

Harafu wewe Sukuma gang unatutia kichefu chefu toka hapa mliharibu Nchi nyie kenge.
Kibaka kikwete na genge LA vibaka wake akina Chenge ndio waliharibu nchi hadi ikataka kuchukuliwa na upinzani magufuli akairudisha kwenye reli
 
Kuna minong'ono kwenye jukwaa letu kuwa jina Mtemi Chenge ndilo liko likely kupendekezwa na chama. Kama hii itatokea kwa kweli nitaamini kuwa kama Taifa hatuko serious. Change ana tuhuma kadhaa huko nyuma za ubadhirifu na ufisadi. Ilifikia mpaka kwa kiburi najeuri kudai wazi wazi kuwa zile pesa zinazosemekana kuwa kwenye account yake huko visiwa vya Jersey kuwa ni visenti tu.

Ingawa hajawahi kuchunguzwa au kuwa convicted kwa tuhuma lakini kitendo cha yeye kusema hivyo ni dhahiri kuwa alikubaliana kuwa ana pesa huko nje lakini hakuja wazi clean kuwa alizipataje. Hakuwahi kutuonyesha kama Taifa yeye kama mtumishi wa serikali tena wakati ule wa mishahara njiwa, yeye alizipataje pesa zote hizo mpaka za kufungua account kwenye bank za Matajiri nje ya nchi!?

Kana kwmba haitoshi, huyu Mtemi Chenge alikuwa involvolved kwenye kesi ya Capable homicide ambapo alipata ajali usiku wa manane akitoka ulevini na mtu akafa. Ingawa alishinda kesi, bado wenye akili zetu hii kesi ilituachia maswali mengi. Ukichukulia kwamba huko nyuma yeye alishawahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa miaka 10. Hivyo kuna possibility kubwa kuwa inawezekana alitumia connections zake kujisafisha.

Binafsi simchukii Chenge kama watu wanavyoweza kutafsiri na inawezekana pia Chenge anatafuta nafasi ya kujisafisha lakini kama Taifa ni wakati wa kutumia akili mpya na kuachana na hawa walioshindwa kutufanyia lolote kama taifa walipopata nafasi na badala yake wamekuwa ni mifano mibaya kwa kizazi chetu. Kama Rais kawaondoa akina Kabudi na Lukuvi kwa kudai ni Wazee, why bring Chenge back wakati yeye ni mzee zaidi ya hao aliowaondoa kwenye Uwaziri.

Wanasilisha
Tangu lini watanzania na CCM walikuwa serious, vingap vinafanyika na kufanywa na viongozi, wananchi tumebaki kuuchapa usingizi?
Yeyote atakayepita hakuna kipya kitakachotokea kwa wananchi
 
Ali deal nae kivipi wakati yuko nje anatamba? Acha ujinga.

Harafu wewe Sukuma gang unatutia kichefu chefu toka hapa mliharibu Nchi nyie kenge.


Ali deal kwa kumkata jina lake bahati yake alikua anajua chocho za kuroga usukumani JPM hakumfunga
 
Ukistuka kuona kichuguu,, basi utazimia siku ukiuona Mlima...

Chenge anaweza pita,,, hii nchi yote yanawezekana
 
M
Ukistuka kuona kichuguu,, basi utazimia siku ukiuona Mlima...

Chenge anaweza pita,,, hii nchi yote yanawezekana
Mh Raisi anapotoshwa na baadhi ya watu kwa personal interest zao ngoja wamzunge waje wampindue subili amuweke chenge
 
maselle ni mzuri kuliko wote

Bila kutueleza specific accomplishments zake, tutakushauri umkaribishe kwako mnywe naye chai tu. Hivyo ndivyo Mwalimu alivyokuwa anawashauri watu waliokuwa wanasema irrationally kuwa wanawapenda candidates fulani!
 
Shida nnayoiona mm ni uvivu wa watu kufikiri na kutafuta maendeleo kwa kufanya kazi kwa kutumia Akili na Maarifa.


Mtu akipata utajiri kwa kujituma ataambiwa kajiunga na Freemason,Sijui Msukule etc.

MH Chenge ni Akili Kubwa.

Graduate wa Harvard University.

Extraordinary intelligence.

A cool and composed Lesrned Man.

Articulatory in law field at different approaches.

Full of advise and a true Navigator...


A fair referee at this moment.

Of course he is rich.

What is wrong by becoming Rich?

What has he done for this country to remember him for? That’s what counts. All else is his own grandeur with little or no real value to the country!
 
Change mwizi mkubwa uingereza alipelekwa na pingu mikononi kwa mipesa ya cha juu aliyoenda kuficha nchini kwao

Ikathibitika in kibaka pesa zilizoibiwa zikarudishwa Tanzania miradi ya Elimu

Ila kwa vile alikuwa serikali ya mijizi kipindi mile cha Kikwete wakamrudisha ubunge

Magufuli kuja akampiga chini hini sasa limeona fursa za wizi zinarudi limechukua fomu jizi kubwa

SFO yaani serious Fraud office ya uingereza wanamjua ni kibaka aliyekubuhu ni tishio kwa diplomasia ya kimataifa kuchagua mwizi certified international kuwa spika

Pitisheni yeyote CCM lakini sio hilo jizi ambalo hats ushahidi upon kimataifa uko SFO kwa wafanya vetting kama mumelala na hamjali

Chenge ni kama Makonda na USA kumludisha ni kumtia doa Mh Raisi kimataifa
 
Bila kutueleza specific accomplishments zake, tutakushauri umkaribishe kwako mnywe naye chai tu. Hivyo ndivyo Mwalimu alivyokuwa anawashauri watu waliokuwa wanasema irrationally kuwa wanawapenda candidates fulani!


Personally ningependa kuona uzoefu wa Masele kimataifa na kitaifa kama former Minister,Mbunge na Vice President wa Bunge la PAP unakuja kutumika nyumbani Tanzania kwenye Dunia ya utandawazi.
Chenge enzi zake za mwalimu zimepita alishaiba akashiba Hana jipya tusimchafue mh Raisi kimataifa, Tulia hatuwezi Kua na mihilimili mikubwa yote inaongozwa na wanawake
Tusiwawekee figisu figisu na wivu Huu ndio wakati wakutumia vijana wenye upeo na exposure Kama Masele akili ikiwa bado inanguvu tusisubili wafike umri wa Chenge ndio tuwatumie
 

Attachments

  • IMG_0922.MP4
    3.2 MB
Back
Top Bottom