CCM wakimpitisha Chenge kuwania Uspika, nitaamini kuwa Watanzania hatuko serious

CCM wakimpitisha Chenge kuwania Uspika, nitaamini kuwa Watanzania hatuko serious

Chenge kama lowasa tu ni tajiri kabla hata hajafanya kazi serikslini..
Hata hicho cheo cha mwanasheria mkuu amekitumikia mda mfupi tu enzi za mkapa, na hakuna shutuma zilikua proved.
Tatizo bongo tuna mentality ya kijamaa ambayo inafanya tuwa regard watu wenye fedha zao kama mafisadi,,
Huo ni utindiga[emoji851][emoji851]
Wanasiasa wanapenda kuchafuana.
Nakumbuka aliyekuwa spika awamu ya 4 alimchafua kwa kitu cha ajabu sana eti ameonekana kwenye kamwra akimwagamwaga unga unga bungeni, Jambo ambalo haliiupaswa kuletwa public.
Nchi hii tumejijengea misingi ya chuki, uzandiki na fitina.
Mzee wa watu Chenge ana machungu makubwa sana moyoni.
Hata kauli ya vijicent ni ule unyantunzu wake ulimpoonza, alimaanisha kama ni pesa nje ya nchi mbona za kwake ambazo ni kidogo (vijisenti) ndivyo vinapigiwa kelele kuliko wenye mkwanja mrefu?
 
Hivi pale nani anayejielewa kama Mh. Chenge. Binafsi sioni.
Kama ni tuhuma kila mtu ana tuhuma zake.

SUKAH
 
Change mwizi mkubwa uingereza alipelekwa na pingu mikononi kwa mipesa ya cha juu aliyoenda kuficha nchini kwao

Ikathibitika in kibaka pesa zilizoibiwa zikarudishwa Tanzania miradi ya Elimu

Ila kwa vile alikuwa serikali ya mijizi kipindi mile cha Kikwete wakamrudisha ubunge

Magufuli kuja akampiga chini hini sasa limeona fursa za wizi zinarudi limechukua fomu jizi kubwa

SFO yaani serious Fraud office ya uingereza wanamjua ni kibaka aliyekubuhu ni tishio kwa diplomasia ya kimataifa kuchagua mwizi certified international kuwa spika

Pitisheni yeyote CCM lakini sio hilo jizi ambalo hats ushahidi upon kimataifa uko SFO kwa wafanya vetting kama mumelala na hamjali
Chenge hakupelekwa ulaya kwa pingu, hizo ni siasa zako chafu , waingereza ndo walituuzia rada kwa bei kubwa kuliko na ilipigundulika wakajikosha kwa kurudisha hela,,,
Chenge si fundi makanika wa rada , eti ajue rada fulani ndo inafaaa, hela zilizorudishwa hazikutoka account ya chenge
 
Kuna minong'ono kwenye jukwaa letu kuwa jina Mtemi Chenge ndilo liko likely kupendekezwa na chama. Kama hii itatokea kwa kweli nitaamini kuwa kama Taifa hatuko serious. Change ana tuhuma kadhaa huko nyuma za ubadhirifu na ufisadi. Ilifikia mpaka kwa kiburi najeuri kudai wazi wazi kuwa zile pesa zinazosemekana kuwa kwenye account yake huko visiwa vya Jersey kuwa ni visenti tu.

Ingawa hajawahi kuchunguzwa au kuwa convicted kwa tuhuma lakini kitendo cha yeye kusema hivyo ni dhahiri kuwa alikubaliana kuwa ana pesa huko nje lakini hakuja wazi clean kuwa alizipataje. Hakuwahi kutuonyesha kama Taifa yeye kama mtumishi wa serikali tena wakati ule wa mishahara njiwa, yeye alizipataje pesa zote hizo mpaka za kufungua account kwenye bank za Matajiri nje ya nchi!?

Kana kwmba haitoshi, huyu Mtemi Chenge alikuwa involvolved kwenye kesi ya Capable homicide ambapo alipata ajali usiku wa manane akitoka ulevini na mtu akafa. Ingawa alishinda kesi, bado wenye akili zetu hii kesi ilituachia maswali mengi. Ukichukulia kwamba huko nyuma yeye alishawahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa miaka 10. Hivyo kuna possibility kubwa kuwa inawezekana alitumia connections zake kujisafisha.

Binafsi simchukii Chenge kama watu wanavyoweza kutafsiri na inawezekana pia Chenge anatafuta nafasi ya kujisafisha lakini kama Taifa ni wakati wa kutumia akili mpya na kuachana na hawa walioshindwa kutufanyia lolote kama taifa walipopata nafasi na badala yake wamekuwa ni mifano mibaya kwa kizazi chetu. Kama Rais kawaondoa akina Kabudi na Lukuvi kwa kudai ni Wazee, why bring Chenge back wakati yeye ni mzee zaidi ya hao aliowaondoa kwenye Uwaziri.

Wanasilisha
itakuwa ngumu sana kumpitisha, kwanza kwa umri wake na maswala mengine mengi, Mama alishasema wazee wapumzike wawalee vijana na kuwaguide. Mtoto wa jijini dar Zungu maona akiwabwaga wote, cv iko vizuri na anauwezo wa kuliongoza Bunge, na hata kiwamudu vijana ambao ndio asilimia kubwa. lets see maana mchakato ndio upo jikoni
 
Kuna minong'ono kwenye jukwaa letu kuwa jina Mtemi Chenge ndilo liko likely kupendekezwa na chama. Kama hii itatokea kwa kweli nitaamini kuwa kama Taifa hatuko serious. Change ana tuhuma kadhaa huko nyuma za ubadhirifu na ufisadi. Ilifikia mpaka kwa kiburi najeuri kudai wazi wazi kuwa zile pesa zinazosemekana kuwa kwenye account yake huko visiwa vya Jersey kuwa ni visenti tu.

Ingawa hajawahi kuchunguzwa au kuwa convicted kwa tuhuma lakini kitendo cha yeye kusema hivyo ni dhahiri kuwa alikubaliana kuwa ana pesa huko nje lakini hakuja wazi clean kuwa alizipataje. Hakuwahi kutuonyesha kama Taifa yeye kama mtumishi wa serikali tena wakati ule wa mishahara njiwa, yeye alizipataje pesa zote hizo mpaka za kufungua account kwenye bank za Matajiri nje ya nchi!?

Kana kwmba haitoshi, huyu Mtemi Chenge alikuwa involvolved kwenye kesi ya Capable homicide ambapo alipata ajali usiku wa manane akitoka ulevini na mtu akafa. Ingawa alishinda kesi, bado wenye akili zetu hii kesi ilituachia maswali mengi. Ukichukulia kwamba huko nyuma yeye alishawahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa miaka 10. Hivyo kuna possibility kubwa kuwa inawezekana alitumia connections zake kujisafisha.

Binafsi simchukii Chenge kama watu wanavyoweza kutafsiri na inawezekana pia Chenge anatafuta nafasi ya kujisafisha lakini kama Taifa ni wakati wa kutumia akili mpya na kuachana na hawa walioshindwa kutufanyia lolote kama taifa walipopata nafasi na badala yake wamekuwa ni mifano mibaya kwa kizazi chetu. Kama Rais kawaondoa akina Kabudi na Lukuvi kwa kudai ni Wazee, why bring Chenge back wakati yeye ni mzee zaidi ya hao aliowaondoa kwenye Uwaziri.

Wanasilisha
mbona washampitisha. Chenge kinachombeba sio mchoyo anakula na wenzake, tulia hapo aandike maumivu.

hata sasaivi utakuta chenge kesha wapanga na kuwaambia; ndugu zangu kabla ya kunichagua embu tugawane vijicent hivi mkapate walau maji ya kunywa.

Nchi imerudi kwa wenyewe hii.
 
Kuna minong'ono kwenye jukwaa letu kuwa jina Mtemi Chenge ndilo liko likely kupendekezwa na chama. Kama hii itatokea kwa kweli nitaamini kuwa kama Taifa hatuko serious. Change ana tuhuma kadhaa huko nyuma za ubadhirifu na ufisadi. Ilifikia mpaka kwa kiburi najeuri kudai wazi wazi kuwa zile pesa zinazosemekana kuwa kwenye account yake huko visiwa vya Jersey kuwa ni visenti tu.

Ingawa hajawahi kuchunguzwa au kuwa convicted kwa tuhuma lakini kitendo cha yeye kusema hivyo ni dhahiri kuwa alikubaliana kuwa ana pesa huko nje lakini hakuja wazi clean kuwa alizipataje. Hakuwahi kutuonyesha kama Taifa yeye kama mtumishi wa serikali tena wakati ule wa mishahara njiwa, yeye alizipataje pesa zote hizo mpaka za kufungua account kwenye bank za Matajiri nje ya nchi!?

Kana kwmba haitoshi, huyu Mtemi Chenge alikuwa involvolved kwenye kesi ya Capable homicide ambapo alipata ajali usiku wa manane akitoka ulevini na mtu akafa. Ingawa alishinda kesi, bado wenye akili zetu hii kesi ilituachia maswali mengi. Ukichukulia kwamba huko nyuma yeye alishawahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa miaka 10. Hivyo kuna possibility kubwa kuwa inawezekana alitumia connections zake kujisafisha.

Binafsi simchukii Chenge kama watu wanavyoweza kutafsiri na inawezekana pia Chenge anatafuta nafasi ya kujisafisha lakini kama Taifa ni wakati wa kutumia akili mpya na kuachana na hawa walioshindwa kutufanyia lolote kama taifa walipopata nafasi na badala yake wamekuwa ni mifano mibaya kwa kizazi chetu. Kama Rais kawaondoa akina Kabudi na Lukuvi kwa kudai ni Wazee, why bring Chenge back wakati yeye ni mzee zaidi ya hao aliowaondoa kwenye Uwaziri.

Wanasilisha
Shida nnayoiona mm ni uvivu wa watu kufikiri na kutafuta maendeleo kwa kufanya kazi kwa kutumia Akili na Maarifa.


Mtu akipata utajiri kwa kujituma ataambiwa kajiunga na Freemason,Sijui Msukule etc.

MH Chenge ni Akili Kubwa.

Graduate wa Harvard University.

Extraordinary intelligence.

A cool and composed Lesrned Man.

Articulatory in law field at different approaches.

Full of advise and a true Navigator...


A fair referee at this moment.

Of course he is rich.

What is wrong by becoming Rich?
 
Shida nnayoiona mm ni uvivu wa watu kufikiri na kutafuta maendeleo kwa kufanya kazi kwa kutumia Akili na Maarifa.


Mtu akipata utajiri kwa kujituma ataambiwa kajiunga na Freemason,Sijui Msukule etc.

MH Chenge ni Akili Kubwa.

Graduate wa Harvard University.

Extraordinary intelligence.

A cool and composed Lesrned Man.

Articulatory in law field at different approaches.

Full of advise and a true Navigator...


A fair referee at this moment.

Of course he is rich.

What is wrong by becoming Rich?
He is a right person to be a speaker for sure.
 
Kuna minong'ono kwenye jukwaa letu kuwa jina Mtemi Chenge ndilo liko likely kupendekezwa na chama. Kama hii itatokea kwa kweli nitaamini kuwa kama Taifa hatuko serious. Change ana tuhuma kadhaa huko nyuma za ubadhirifu na ufisadi. Ilifikia mpaka kwa kiburi najeuri kudai wazi wazi kuwa zile pesa zinazosemekana kuwa kwenye account yake huko visiwa vya Jersey kuwa ni visenti tu.

Ingawa hajawahi kuchunguzwa au kuwa convicted kwa tuhuma lakini kitendo cha yeye kusema hivyo ni dhahiri kuwa alikubaliana kuwa ana pesa huko nje lakini hakuja wazi clean kuwa alizipataje. Hakuwahi kutuonyesha kama Taifa yeye kama mtumishi wa serikali tena wakati ule wa mishahara njiwa, yeye alizipataje pesa zote hizo mpaka za kufungua account kwenye bank za Matajiri nje ya nchi!?

Kana kwmba haitoshi, huyu Mtemi Chenge alikuwa involvolved kwenye kesi ya Capable homicide ambapo alipata ajali usiku wa manane akitoka ulevini na mtu akafa. Ingawa alishinda kesi, bado wenye akili zetu hii kesi ilituachia maswali mengi. Ukichukulia kwamba huko nyuma yeye alishawahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa miaka 10. Hivyo kuna possibility kubwa kuwa inawezekana alitumia connections zake kujisafisha.

Binafsi simchukii Chenge kama watu wanavyoweza kutafsiri na inawezekana pia Chenge anatafuta nafasi ya kujisafisha lakini kama Taifa ni wakati wa kutumia akili mpya na kuachana na hawa walioshindwa kutufanyia lolote kama taifa walipopata nafasi na badala yake wamekuwa ni mifano mibaya kwa kizazi chetu. Kama Rais kawaondoa akina Kabudi na Lukuvi kwa kudai ni Wazee, why bring Chenge back wakati yeye ni mzee zaidi ya hao aliowaondoa kwenye Uwaziri.

Wanasilisha
KAMA BUNGE hakiheshimu KATIBA Yeyeto atakayepishwa tutakuwa hatuko Serious
 
Chenge kama lowasa tu ni tajiri kabla hata hajafanya kazi serikslini..
Hata hicho cheo cha mwanasheria mkuu amekitumikia mda mfupi tu enzi za mkapa, na hakuna shutuma zilikua proved.
Tatizo bongo tuna mentality ya kijamaa ambayo inafanya tuwa regard watu wenye fedha zao kama mafisadi,,
Huo ni utindiga[emoji851][emoji851]
Unaposema C henge na Lowasa wametajirika kabla ya kuingia serikalini ... hapo sikuelewi au wewe ndiye huelewi.

Chenge amekuwa ofisi ya Mwanasheria Mkuu na maisha yake yote yamekuwa serikalini. Lowasa alikuwa ni Mkurungenzi wa AICC Arusha, kampuni ya serikali. Hapa swala siyo ujamaa bali ni uwajibikaji. Watu wasitajirike kwa mgongo wetu ... Chenge kama Mwanasheria mkuu mikataba mingi ya hovyo imesainiwa chini yake, sema tu hakuna anayataka kufukua makaburi nchi hii.
 
Shida nnayoiona mm ni uvivu wa watu kufikiri na kutafuta maendeleo kwa kufanya kazi kwa kutumia Akili na Maarifa.


Mtu akipata utajiri kwa kujituma ataambiwa kajiunga na Freemason,Sijui Msukule etc.

MH Chenge ni Akili Kubwa.

Graduate wa Harvard University.

Extraordinary intelligence.

A cool and composed Lesrned Man.

Articulatory in law field at different approaches.

Full of advise and a true Navigator...


A fair referee at this moment.

Of course he is rich.

What is wrong by becoming Rich?
Akili kubwa ameliingiza Taifa kenye mikataba ya hovyo kivile ..... labda ni akili kubwa nkijijini kwake!!
 
Sasa watz ukisema wako serious labda kwenye memes, connections, ila sio mambo hayo, ila tutampitisha kwa ndioooooooooo
 
Nimepitia uzi huu kwa makini 😳😳😳 comment zote hadi page ya 4, hakuna anayekumbusha kuwa bunge lililopita chenge alikuwa mmojawapo wa wenyeviti (?) Wa bunge!!! Kama hao watanzania (ccm) unaotaka kuwashangaa sasa hawakupinga huyo mtemi kuwa mmojawapo wa viongozi bungeni inakuwaje sasa wamkatae?! Hata asipochaguliwa kuwa spika, wabongo hamjawahi kumkataa!!! Kama ninakumbuka vizuri, hata uchaguzi uliopita aliamua kutogombea mwenyewe, siyo kwamba alienguliwa kwenye mchakato. Hivi mbona hamjawahi kumkataa vasco da gama?! Au yeye siyo kibaka?!
 
Back
Top Bottom