Acha kujifariji mpuuzi wewe, Nyamongo walikimbia yale mabomu ya mapolisi? Safari ndio mtajua hamjui.WATZ NI WAOGA SANA!JUZI NAONGEA NA MKUU WA KITUO CHA POLISI KIMOJA HV!!ANASEMA WABONGO WAOGA SANA HUWA TUNAPIGA MABOM KUTISHIA TU KAMA HAMTAOGOPA MKAENDELEA TUNA NYANYUA MIKONO NA KUSEMA HATUWEZI TUSIJE TUKAUA WATU!!SASA NYIE BOMU MOJA TU MSHAKIMBIA!!!
"wewe ni jimbi mimi ni jogoo wa maajabu"Acha kujifariji mpuuzi wewe, Nyamongo walikimbia yale mabomu ya mapolisi? Safari ndio mtajua hamjui.
Nguvu ya umma ipi kwa mfano?. Hii ya genge la wahuni wa saccos ya Mbowe.?. Ninyi kwanza hamwaminiani mtatawanyika nyote ninyi mkifinywa kidogo tu.Wataachia tu Mkuu hawana namna hakuna kitu kitakachoshinda nguvu ya umma.....
Mkuu jipangeni kuachia nchi.....Nguvu ya umma ipi kwa mfano?. Hii ya genge la wahuni wa saccos ya Mbowe.?. Ninyi kwanza hamwaminiani mtatawanyika nyote ninyi mkifinywa kidogo tu.
Kama kweli mpo na nguvu ya umma, mbona juzi kwenye adhabu ya tume mliufyata mkia na kutepeta kuanzia mwenyekiti wenu marienge.
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.
CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.
USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.
ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.
Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Hakuna chama, narudia tena hakuna chama cha kuishinda ccm. Hivyo kukabidhi nchi kwa mabwabwa wenzetu,pamoja na kina Amsterdam watanzania hawako tayari. Njooni na nguvu ya uma, visu, vijiko, misumeno vyote vitatulizwa. Chadema hii ya vibaraka na wakala wa mabeberu ni nyepesi kama unyoya.CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.
CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.
USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.
ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.
Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
BIG NOKuna kada mmoja Wa CCM amenihakikishia hilo kuwa kura zishapigwa tayari kabla ya uchaguzi,na jamaa kashashinda kwa asilimis 82.
Huo utakuwa mwisho wa hilo genge la wahuni wa saccos ya Mbowe. Ni suala la muda tu. Amani ya nchi hii, inalindwa kama mboni ya jicho na watanzania wazalendo.siku Lissu anatagazwa mshindi tukiwa tunasheherekea ushindi tutayauwa kwa kuyakata shingo ma CCM si chini ya buku hivi, najua yatakayo baki yatatimua mBio mithili ya farasi adi ukimbizini………………….hili halina ubishi kabisaaa ni swala la muda tuu
Mwana CCM wenyewe hawaitaki CCMCCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.
CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.
USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.
ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.
Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
The point is that, Meko fool lacks the mental capacity to serve this country as a local government chairman, sorry I mean a president.CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.
CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.
USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.
ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.
Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Baada ya kumsikiliza huyo mshenzi halafu ukamuacha hivi hivi bila hata kumchapa makonde mawili matatu, wote mnaingia kwenye kundi la wasengeremaKuna kada mmoja Wa CCM amenihakikishia hilo kuwa kura zishapigwa tayari kabla ya uchaguzi,na jamaa kashashinda kwa asilimis 82.
Wewe mwananchi upo tayari kuruka siku Mbowe akisema sasa tunaingia road kudai haki yetu na yeyote hasiyeshiriki maandamano atandikwe bakora ?Hivi vyama vya upinzani (CHADEMA kwa bara na ACT kwa Zanzibar), wanasubiri maajabu gani kwenye wao kupenya kwenye uchaguzi huu? Tetesi za Zanzibar tu kwa mfano mpaka sasa -ACT hawana chao! Mara tunaambiwa simu haziruhusiwi vituo vya kupigia kura. Wale mawakala wa vyama watafanyaje kazi? Na je usalama wao ukoje? Rushwa nayo itawaacha salama?
Kwenye huo wizi unaosemwa ambao utafanywa/ unafanywa tayari, mbona hatuoni strategies zozote za hivi vyama kwenye kukabili haya? Zaidi ya kuhoji kwa mabarua ambayo wala hayajibiwi hivi vyama vimejipangaje kwenye wizi huo wa kura? Najua hawawezi kuweka wazi kabisa strategies ila walau watutoe hofu. Bila ya kuwahakikishia wananchi eneo hili, aisee watu hawatatoka kwenda kupiga kura. Mpaka sasa hali ya Zanzibar tu imeanza kutukatisha tamaa.
Hao si wachungaji wa kondoo bali wanachunga nguruwe pori,na kama ni mashehe basi ni mashehe ubwabwaHa ha haaaa. Naona maombi ya baadhi ya wachungaji na mashekhe leo maombi yao yamekuwa ni kumtukuza Magufuli badala ya kumtukuza Mungu. Wachungaji na Mashekhe wanapiga kampeni kwa kutaja mafly over kwa kuponda wapinzani na kuponda wanaowaita Mabeberu. Sasa sijui wanaomba au wanapiga madongo.
Peter Mutharika hakutaka kuachia kwa hiyari, akalazimishwa kuachiaCCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.
CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.
USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.
ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.
Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?